Turudi kwenye kikao cha chama kati ya Waheshimiwa mawaziri na Mh. Makonda ni nani anakaa viti vya mbele kuwahutubia wenziwe?

Turudi kwenye kikao cha chama kati ya Waheshimiwa mawaziri na Mh. Makonda ni nani anakaa viti vya mbele kuwahutubia wenziwe?

Haupo objective, wewe unaongelea hisia zako sasa. Swali ni kuwa mawaziri wote wanaingia kwenye vikao vyote vya chama? Na wakiingia wanaingia kama nani mawaziri au wanachama ? Na kama wakiingia kama wanachama ukiangalia structure wa CCM kipi ni kipi na nani ni nani?
Bahati mbaya wengi mnaotoa hoja humu sio Wana CCM. So, inakuwa ngumu kiwajibu. Ngoja tuendelee kuwaangalia tu.
 
Hapana...Itifaki ya vikao vya Chama haiko hivyo..Meza Kuu ni
1.Mwenyekiti
2.Makamu wa Mwenyekiti
3.Katibu Mkuu
Wengine wote kukaa kama wajumbe wenye hadhi sawa akiwemo huyo Mwenezi.
Sawa mkuu,ILA tunakubaliana kuwa serikali iliyopo imeundwa na ccm?,kama hili nalo hatukubaliani it's okay bcs we have the right to disagree
 
Kwani Mawaziri wote wanaingia kwenye hizo vikao vya Chama? Pia tueleze Makonda anaingia kama nani na hao mawaziri pia wanaingia kama nani...then tuanze kujadili
Bwashee acha ujuaji wa chagga za vitanda jibu swali sio swali juu ya swali
 
Makonda ni msemaji wa chama nje ya chama siyi ndani.
Kama serikali ilivyo na msemaji, anapokea maelekezo ya nini aje atuambie. Aache kujitwika madataka yasiyo yake, ajifunze kazi yake.
Yeye anapaswa kuzungumza na vyombo vya habari, kuhusu mambo ya chama tu, siyo ya serikali.
Ni mtoa taarifa, tena anazopewa na vikao vya ndani siyo kubuni nini cha kusema.
Kwani ni msemaji?
Au katibu wa itikadi na Uenezi?
 
Drama za wanasiasa ni hadaa ya kupata vyeo na mamlaka kwa manufaa binafsi na si kwa nchi
 
Back
Top Bottom