Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Sasa akili kubwa zenu zimefanya nini sasa. Mbona ujitapa kitu ambacho huna. Sasa mmeshindwaje kuwazuia hawa CCM ambao hawana akili?Unaelewa hata maana ya akili kubwa?
Hakuna akili kubwa itumikayo Bali nguvu na mabavu.
Ndio maana ya kujiita chama dola
Nimekuuliza huyo Mbowe kuwafukuza Mdee siyo ukatili?..kuwekwa mahabusu kwa kesi ya kusingiziwa ni ukatili.
..ukiacha viongozi kama Mbowe, Mdee, Sugu, Lijualikali, kuna wanachadema zaidi ya 400 waliokuwa wamefungwa au kushtakiwa kwa kesi za kusingiziwa. Je huo sio ukatili?
..Wilaya ya Tunduma peke yake kulikuwa na makesi au wafungwa waliobambikiwa kesi zaidi ya 80. Huo sio ukatili?
..Ccm walimfungulia kesi Halima Mdee, Esther Bulaya, na Esther Matiko. Waliwapiga na kuwafunja mikono. Hata wakoloni hawakuwa wakatili kwa wanawake wa Tanu kiasi hicho. Hatukuwahi kusikia Bibi Titi kapigwa na askari wa Wakoloni.
..Vilevile, hoja kwamba Mbowe kamshtaki Halima Mdee umeitoa wapi? Kesi iliyopo mahakamani imefunguliwa na Mdee dhidi ya Chadema.
Hivi unaelewa Matumizi ya nguvu za majeshi?Sasa kama wameweza kuwa madarakani kukuzidi wewe mwenye akilli. Maana yake huna mbinu za kuwazidi. Wewe endelea tu kuwa na akili hizo maana zinakutosha wewe pekee yako.
Kama akili kubwa imeshindwa hata kujenga ofisi ya makao makuu kwa miaka 30, basi itakuwa akili kubwa ya kuku.Unaelewa hata maana ya akili kubwa?
Hakuna akili kubwa itumikayo Bali nguvu na mabavu.
Ndio maana ya kujiita chama dola
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]Sasa akili kubwa zenu zimefanya nini sasa. Mbona ujitapa kitu ambacho huna. Sasa mmeshindwaje kuwazuia hawa CCM ambao hawana akili?
Nimekuuliza huyo Mbowe kuwafukuza Mdee siyo ukatili?
Hivi unaelewa Matumizi ya nguvu za majeshi?
Hivi tukio la Lisu kupigwa risasi ndio Matumizi ya akili?
Unazifahamu nguvu za chama Cha siasa?
Mtaji wa chama Cha siasa kina nani?
Kama chama hakina hizo sifa?
Basi ujue unatawaliwa na Wakoloni ila wenyewe ni weusi tu.
Kwahiyo hujui kuwa Mdee na wenzake ni wabunge wa Mahakama?..kina Mdee wakithibitisha kwamba walipitishwa na kamati kuu ya Cdm kuwa viti maalum, halafu Mbowe akawafukuza, itakuwa ni ukatili.
Tanu kilitumia miaka mingapi kujenga ofisi zake?Kama akili kubwa imeshindwa hata kujenga ofisi ya makao makuu kwa miaka 30, basi itakuwa akili kubwa ya kuku.
tusubirie kudra za mungu au mungu aamue ugomviUnjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.
Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .
Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.
CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.
Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.
Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.
Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.
Shalom.
Si umeona?Je Mwenye akili na mwenye nguvu wakiwekwa kushindana kwenye siasa nani atashinda?
Kwahiyo hujui kuwa Mdee na wenzake ni wabunge wa Mahakama?
Kifupi hawa wamejimaliza kwenye ulimwengu wa siasa...utaratibu ni kamati kuu ya Chadema kuteua viti maalum.
..it is very simple. Halima na wenzake waonyeshe kuwa kamati kuu ya Chadema iliketi na kuwateua.
..kinyume na hivyo, wao sio wabunge halali, na wanastahili kufukuzwa ktk chama.
Umesema wanakili ndogo baadae unarudi unajilinganisha na wenye akili ndogo, nan anaakili ndogo hapo!?Tanu kilitumia miaka mingapi kujenga ofisi zake?
AA kilijenga ofisi zake lini?
TAA nao walitumia muda gani?
Hii ni hoja mfu na mufilisi.
Kifupi hawa wamejimaliza kwenye ulimwengu wa siasa.
Waamue kurudi CCM wakawe hakuna anaye wakumbuka au waende ACT rasmi kitambulike ni chama Cha wasaliti na wachumia tumbo.
Soma mada na mtililiko wake kabla hujakomenti.Umesema wanakili ndogo baadae unarudi unajilinganisha na wenye akili ndogo, nan anaakili ndogo hapo!?
Hapa kuna hoja ya msingiUnjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.
Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .
Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.
CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.
Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.
Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.
Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.
Shalom.
Na Mkuu..kama Samia atakuwa tayari kuwakingia kifua sawa.
..lakini nadhani sasa hivi Ccm hawana hamu na waunga mkono juhudi toka upinzani.
..Ccm wameamua kulinda nafasi za watu waliokipigania chama chao, na sio wahamiaji.
Ahahahah ila wew jamaa umekuja kivingine kbsa eti ukonbozi ni kwenda mbinguni[emoji23]Ukombozi wa kweli ni kwenda mbinguni. Duniani tupo na ukombozi wa kisiasa, kiutamaduni na kiuchumi.