Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Nyie mnapiga porojo bure Wananchi wenyewe bado hawajawa na ufahamu wa kutosha. Nchi bado ina matatizo kibao chini ya CCM lakini huoni watu wakijali kila mtu na maisha yake jamii ya kipumbavu kabisa. Bongo lala, Bongo balaa.
 
Zingatia nilicho kujibu mwanzo kwa hili swali lako, huwa sipendi majibizano yasiyo na maana hiyo ndiyo desturi yangu.
Wewe usijifanye kichwa ngumu. Sasa unataka kuongoza wananchi kichwa chako kigumu kiasi hiki utaweza kweli!?

UKOMBOZI WA NCHI UPO KATIKA MAKUNDI MATATU:-

1. Ukombozi wa Kisiasa
2. Ukombozi wa Kiuchumi
3. Ukombozi wa Kiutamaduni.

Sasa tunapoongelea nchi siyo sawa na unapoongelea familia yako mzee

Ndiyo maana ninakuuliza katika hayo matatu unataka ukombozi gani!?
 
Sasa tunarudi kwetu hapa. CHADEMA ilianzishwa 1992 mpaka leo 2022 ni miaka 30 hawana ofisi. Je, hizi ndizo siasa za kutaka kuongoza nchi!?

..Majengo na maofisi ya Tanu / Ccm tangu tulipofuta vyama vingi 1965 mpaka 1992 ni mali ya Ccm au Watanzania wote?
 
Wewe usijifanye kichwa ngumu. Sasa unataka kuongoza wananchi kichwa chako kigumu kiasi hiki utaweza kweli!?
Naona umeanza kunitafsiri katika njia yako inayo kufurahisha, nani amekuambia mimi nataka kuongoza wananchi ?

Nili kuambia mazungumzo yako yanapaswa kuzingatia muktadha wa eneo husika hapa tuna zungumzia mimi kuongoza wananchi ?

Jitahidi kufikiri kila Jambo kabla ya kuandika.
 
Naona umeanza kunitafsiri katika njia yako inayo kufurahisha, nani amekuambia mimi nataka kuongoza wananchi ?

Nili kuambia mazungumzo yako yanapaswa kuzingatia muktadha wa eneo husika hapa tuna zungumzia mimi kuongoza wananchi ?

Jitahidi kufikiri kila Jambo kabla ya kuandika.
Sasa mwana hasira ya nini tena!?

UKOMBOZI WA NCHI UPO KATIKA MAKUNDI MATATU:-

1. Ukombozi wa Kisiasa
2. Ukombozi wa Kiuchumi
3. Ukombozi wa Kiutamaduni.

Sasa tunapoongelea nchi siyo sawa na unapoongelea familia yako mzee

Ndiyo maana ninakuuliza katika hayo matatu unataka ukombozi gani!?
 
Mbona hujibu swali mwanangu. Je, ni halali kwa CHADEMA yenye umri wa miaka 30 kukosa ofisi ya makao makuu!?

..Chadema inazo ofisi za makao makuu hapa Dsm.

..Pia Chadema inazo ofisi ktk maeneo mbalimbali hapa Tanzania.

..Sasa na mimi naomba unijibu swali langu.

Je majengo ya Tanu / Ccm yaliyojengwa kati ya 1965 na 1992 kipindi tulipokuwa na mfumo wa chama kimoja hayapaswi kurejeshwa serikalini?
 
..Chadema inazo ofisi za makao makuu hapa Dsm.

..Pia Chadema inazo ofisi ktk maeneo mbalimbali hapa Tanzania.

..Sasa na mimi naomba unijibu swali langu.

Je majengo ya Tanu / Ccm yaliyojengwa kati ya 1965 na 1992 kipindi tulipokuwa na mfumo wa chama kimoja hayapaswi kurejeshwa serikalini?
Nitajie ofisi zilijengwa lini!?
 
..Chadema inazo ofisi za makao makuu hapa Dsm.

..Pia Chadema inazo ofisi ktk maeneo mbalimbali hapa Tanzania.

..Sasa na mimi naomba unijibu swali langu.

Je majengo ya Tanu / Ccm yaliyojengwa kati ya 1965 na 1992 kipindi tulipokuwa na mfumo wa chama kimoja hayapaswi kurejeshwa serikalini?
Kwa sheria namba ngapi boss? 😲
 
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.
Kifo cha ccm ni ccm yenyewe. Ccm uhai wake ni chini ya miaka 10.
 
Nitajie ofisi zilijengwa lini!?

..Chadema wanajenga ofisi kila mahali kwa nyakati mbalimbali kulingana na vipaumbele na malengo yao.

Naomba unijibu swali langu.

..Majengo ya Tanu / Ccm kati ya 1965 na 1992 wakati wa mfumo wa chama kimoja ni mali ya Watanzania wote au Ccm peke yao?
 
Mtoa mada mbona unateseka sana!? Kwani wamekukataza na wewe kuwa CCM!? Jiunge na Chama kisha hayo mapendekezo utayafanya ukiwa ndani.
 
Wapinzani hata wakitoka mitandaoni wakienda field, bado wanakutana na rungu la kuzuia mikutano ya hadhara, CCM wamehodhi kila kitu mpaka mawazo na matendo yetu.
Si mlisema magufuli ndo alizuia na mkashangilia alivokufa? Bado kazuia yeye?
 
Mleta mada alipodokeza hadi matibabu atashughulikia!!! Nikaona kama simu imeisha chaji.
 
Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .
[emoji1752][emoji1545]
Kila siku lets make sure katiba inapatikana.. no action taken.. walioanzisha hii agenda wametulia machame na ufipa
 
..Chadema wanajenga ofisi kila mahali kwa nyakati mbalimbali kulingana na vipaumbele na malengo yao.

Naomba unijibu swali langu.

..Majengo ya Tanu / Ccm kati ya 1965 na 1992 wakati wa mfumo wa chama kimoja ni mali ya Watanzania wote au Ccm peke yao?
Bado hujanijibu. Maana mara ya mwisho niliangalia na kuona Makao makuu ya CHADEMA yapo katika nyumba mbovu ya kupanga. Je, ni halali Chama hicho chenye miaka 30 kukosa ofisi ya makao makuu?

Umesema wanajenga. Sasa nauliza ni lini walijenga makao makuu!?
 
Back
Top Bottom