Tusameheni Zitto, Dr. Slaa na wengine wote mliopakaziwa tuhuma za usaliti ndani ya CHADEMA. Mlikuwa mbele ya wakati

Tusameheni Zitto, Dr. Slaa na wengine wote mliopakaziwa tuhuma za usaliti ndani ya CHADEMA. Mlikuwa mbele ya wakati

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Wahenga walisema ukweli huwa una tabia ya kuchelewa lkn siku ukifika huwa uwongo unakimbia kama giza kwenye mwanga.

Waathirika wa kusingiziwa kuwa ni wasaliti ndani ya chadema hatimaye leo wameibuka kidedea na kinara wa kuchafua wenzake ameonekana.

Zitto, Prof. Kitila, Dr. Slaa, Msigwa, mzee Sumaye, Mwambe, n.k tunaomba radhi kwa kushangilia tusichokijua.

Kumbe chadema ni mali ya mtu na wala siyo taasisi kama inavyojinadi. Huyo mtu ndiye mtoa maamuzi, ndiye mtoa hela, ndiye mpitisha wagombea na ana kiburi balaa

Kwa heri ya kuonana Chadema!
 
Niliwaambieni chadema ni wapumbavu na mbowe ni muhuni mkaniona mpuuzi ....chadema ni saccos ya mbowe ....pia ni ngumu mbowe kuachia kiti kwa sababu kuna damu nyuma yake ni kama samia tu ....samia na mbowe wanajaribu kuvuta wakati ....
 
Niliwaambieni chadema ni wapumbavu na mbowe ni muhuni mkaniona mpuuzi ....chadema ni saccos ya mbowe ....pia ni ngumu mbowe kuachia kiti kwa sababu kuna damu nyuma yake ni kama samia tu ....samia na mbowe wanajaribu kuvuta wakati ....
Ndiyo maana nimeamua kusema "Chadema kwendraaa!!"
 
team Lissu wamepigwa na kitu kizito chenye ncha kali cha kichwa
 
Back
Top Bottom