Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
UNATAKA AJIKEMEE?
kwa akili yako mtawala ndiye anatawala kweli?
 
Itoshe kusema ww ni mpumbavu sina haja ya kupoteza muda kuendelea kujadiliana na ww.
Unaonaje hizo hasira ukaenda kumalizia chumbani kwa dada yako usiku wa manane ?
 
Mkuu thibitisha hili
Unahitaji uthibitisho gani zaidi ya huu wa kumuweka Samia kuwa mgombea pekee wa CCM?

Anavyoboronga Samia mzee wa Msoga hakemei kwa sababu ni mnufaika katika uborongaji wa Samia.

Rais mstaafu asiyeweza kudhibiti uhuni ndani ya chama na serikali bali anaushiriki huo uhuni...

Ikiwa ulifuatilia mkutano 'uliompitisha Samia' kuwa mgombea pasipo kuwepo mshindani ndani ya chama kisha ukaunganisha na kauli ya huyu mhuni utapata uthibitisho kamili kuwa Samia ni rasrimali mtu ya mzee wa Msoga.

Bado unahitaji uthibitisho?

Kukiukwa kwa katiba ya CCM (mzee wa Msoga akiwa msimamizi) kulipitisha jina la Samia kama mgombea pekee bila kushindanishwa na wanachama wengine wenye nia..

Bado unahitaji uthibitisho?
 
Sema uwezavyo,tuite majina utakayo ila mwisho wa yote utafika. Na atawajibika Kwa yote aliyo na anayotenda.
Nyinyi ndo mtalipia hayo maneno ya uongo mnayo mzushia kikwete mbele ya mungu wenu muda ukifika maana mnamzushia maneno ambayo mkiambiwa mlete udhibitisho mnabaki mnabungaa.
Mungu hafanyi kazi zake kwa mtazamo wa chuki binafisi kama ww.
Ndio maana huyo unaye mchukia anaishi na unaye mpenda amelala kaburini.
Unaweza kuta huyo kikwete ana thamani zaidi ya mara 10000 yako mbele ya mungu ambaye ww upo unajihesabia haki mbele ya haki.
Tuache chuki ,chuki hukaa kifuani mwa mpumbavu.
 
Sasa ndio aunge mkono ujinga wa kumpitisha huyu Mama agombee tena uraisi?
Ulitaka apinge ili ukuzwe uanachama kama yule mzeze wa Arusha sijui?
Membe alipo chukua fomu kupinga Jiwe ni kipi kilimkuta?
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
huwa najiuliza Mungu mwenye haki anayaona kwele haya maovu tunayotendewa watanganyika? Hivi kweli amerizika na kuwaacha watesi wetu wazidi kutuhujumu kiasi hiki? Ajabu hata viongozi wa dini nao wanaunga mkono serikali dhalimu. Nadhan ni vema tungefanya maombi na dua ili kulikomboa taifa letu Mungu atuletee kiongozi atakaerejesha na kulinda rasilimali za tanganyika. Mungu ibariki tanganyika.
 
huwa najiuliza Mungu mwenye haki anayaona kwele haya maovu tunayotendewa watanganyika? Hivi kweli amerizika na kuwaacha watesi wetu wazidi kutuhujumu kiasi hiki? Ajabu hata viongozi wa dini nao wanaunga mkono serikali dhalimu. Nadhan ni vema tungefanya maombi na dua ili kulikomboa taifa letu Mungu atuletee kiongozi atakaerejesha na kulinda rasilimali za tanganyika. Mungu ibariki tanganyika.
Hata ww hapo ulipo una rundo la madhambi na huyo Mungu hajawahi kukufanya kitu kibaya.
Mungu hafanyi mambo kwa mihemko bali anafanya kwa muda muafaka na sahihi.
 
Tumeshaambiwa wachawi walishakufa, ngoja tuone wasio watakavyoishi milele
Aongea kwa kujiamini baada ya kuwapukutisha wenzie waliokuwa kizingiti kufanya mawizi yake.. hakuna atayeishi milele..naye atafukiwa tani nyingi za mchanga..
 
Siye wengine tunajua anachokifanya Mastermind JK,hatuna wasiwasi naye kabisa!
Mungu mjalie maisha marefu JAKAYA MRISHO KIKWETE!
 
Mama kajiteua mkuu na kikwete asingeweza kupinga! Upingaji wake utauona soon huyo mzee amebobea sanaa kwenye movie za kikorea mda ni mwalimu mzuri sana
Yupo kama Firigisi,nyama nje,ngozi ndani🤣🤣🤣🤣
 
Unahitaji uthibitisho gani zaidi ya huu wa kumuweka Samia kuwa mgombea pekee wa CCM?

Anavyoboronga Samia mzee wa Msoga hakemei kwa sababu ni mnufaika katika uborongaji wa Samia.

Rais mstaafu asiyeweza kudhibiti uhuni ndani ya chama na serikali bali anaushiriki huo uhuni...

Ikiwa ulifuatilia mkutano 'uliompitisha Samia' kuwa mgombea pasipo kuwepo mshindani ndani ya chama kisha ukaunganisha na kauli ya huyu mhuni utapata uthibitisho kamili kuwa Samia ni rasrimali mtu ya mzee wa Msoga.

Bado unahitaji uthibitisho?

Kukiukwa kwa katiba ya CCM (mzee wa Msoga akiwa msimamizi) kulipitisha jina la Samia kama mgombea pekee bila kushindanishwa na wanachama wengine wenye nia..

Bado unahitaji uthibitisho?
Yule ni kama nyuzi za Pascal Mayala. Zinatafsiriwa in reverse way😄
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Absolutely, huyu mzee ni tatizo...

Mtu timamu, hivi hawa wanawezaje hata kufikiri kumpa nafasi ya juu ya uongozi wa chama mtu wa sampuli ya mzee Steven Wassira mwenye umri wa miaka 86..?

Haina shaka yoyote kuwa, huu itakuwa ilikuwa ni ushauri huyu huyu mzee Kikwete...!

Wanaogopa nini hawa? Wana hofu ya nini hawa...?
 
Hvi jamani huyu mama ana akiki timamu kweli?kwaiyo kanogewa?anagombea kbsa?hata haya haoni?a FAILURE!
 
Back
Top Bottom