Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa ungwana ungeanza kutaja kama nilivyo kuomba halafu ndio unitake nikutajie.Mkapa! Nitajie aliyemrudisha.
Kwani JK alifukuzwa na nani?Mkuu kwa ungwana ungeanza kutaja halafu ningekutajia. Ila kwa kukufundisha ungwana nakutakia mmoja tu;~ JK
Mkuu nimekujibu ulichouliza, hayo maswali mengine kafanye utafiti mwenyewe. Ila kwa kukusaidia na kuongezea majina mengine:- Rudi kwenye ubao wangu wa awali utayaona!Kwani JK alifukuzwa na nani?
🤣 🤣 🤣Kwa hiyo samia baada ya kuwarudisha machawa ya Magufuri akina Makonda Kabudi,Charamila jiwe ndo ana muongoza mama kutoka kaburini?
Mkuu hapa nakuunga mkono, kwa kweli alipotoka.Anaropoka kuwa wachawi wamekufa (Mkapa,Mwinyi,Magufuli,Lowasa,Membe.et) amabaki yeye,kweli anahitaji wataalamu wa psychology kumuweka sawa..
🤔🤔🤔Sukuma gang wana nguvu sana katika hiki chama cha mashetani!! Magufuli kokote aliko Anamuongoza Samia kwa kupitia genge hili!
🌤️🙋♂️💭✍️🎯👍👏👊🤝🙏💐🎁🛡️Watanzania tunapenda kulaumu wengine na kutaka wao ndio wabebe msalaba. Ndugu yangu anza wewe kwanza wengine watafuata.
🤣 🤣 🤣Huyu Mr. Smile file lake la hukumu kwa Mungu li tayari. Linasubiria aitwe tu kusomewa hukumu yake na kibaya ni kwamba makosa yake yapo wazi hatatakiwa kujitetea,hivyo ni moja kwa moja motoni. Maana kutubu kwake ni ngumu. Hawezi kurudisha kwa watanzania vyote alivyofisidi au hasara yoyote kwa taifa iliyotokana na kuhusika kwake.
kwel kabisa ifike mahali tukubali kuwa samia ndiye top wa Tanzania na kikwete sio lolote kwake.Samia hamuitaji mtu yeyote kubaki madarakani nguvu yake ya urais aliyo nayo inamtosha kufanya chochote anacho jisikia na asiwepo mtu atakayebweka ndani nchi hii.
Nguvu ya kimamlaka aliyo nayo Samia kwa sasa anaweza kuitumia kumpoteza hata huyo Kikwete.
porojo za vijiweni na kujifariji hiziMwisho wa huyo Mzee utakuwa mbaya Sana huyu Mzee ana dhambi nyingi Sana na amebeba machozi ya watanzania juu yake.
Rasilimali zote za nchi hii anauza kilasiku
Madada poa waliosoma law wanapenda sana kuitumia hii kauli.Taratibu mdau asije kukusikia .anyway mimi sina ela ya kumlipa wakili ila ushaur wangu ndo huo.
Watesi wa nchi hii ni nyinyi wenyewe msio kuwa na akili, kikwete kaingia madarakani kakuta nchi ina miaka 45 imepata uhuru na bado akaikuta inanuka umasikini kila sehemu, akatawala miaka 10 akaondoka akaiacha nchi inanuka umasikini mpaka ana miaka 10 ameondoka madakani nchi bado inanuka umasikini.Hatumchukiii. Kikwete ndiye mtesi wa taifa hili.