Zitaje majina hizo shule za kata zilizojengwa kabla ya 2005. Mimi sizijui.Kwani zile shule za kata zilizoanza kuchukua wanafunzi tangu mwaka 2005 January zilijengwa wakati wa raisi gani? Baba ako kikwete ndio alizijenga sio? Licha ya yeye kuingia madarakani mwaka huo huo mwezi wa 12 eeh?
Mjinga sana wewe nenda mwanza huko, wilaya ya Nyamaghana tu kuna shule zaidi ya tano zilizoanza kujengwa 2003 na kisha kuanza kuchukua wanafunzi 2005 ambazo baadhi niZitaje majina hizo shule za kata zilizojengwa kabla ya 2005. Mimi sizijui.
Nitajie majina yake
Mjinga sana wewe nenda mwanza huko, wilaya ya Nyamaghana tu kuna shule zaidi ya tano zilizoanza kujengwa 2003 na kisha kuanza kuchukua wanafunzi 2005 ambazo baadhi ni
1)Mbugani Secondary
2)Olenjolay(jina la mkuu wa mkoa wa wakati huo)
3)Nyamanoro Secondary
4)Mahina Secondary
5)Nyaburogoya
Tatizo huna taarifa halafu unaongea kwa kujiamini sana mpuuzi wewe.... endeleen kumtukuza huyo fisadi aliyekubuhu baba ako kikwetena kuwaona maraisi wengine sio chochote
Ha ha ha shule za kata zilijengwa mkoa mmoja mwanza tu. mikoa mingine kama Dar haikujengwa hata moja
Ukiwa Muongo uwe mjanja pia.
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.
Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania
Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!
Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?
Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.
Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?
Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno
Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??
Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?
Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?
Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!
Na mtaanguka wote!!
One thing in your mind, hata kama hutamchagua Rais, lakini atakuwa Rais wako, Dodoma Kuna dimba la mpira wa Miguu Lina uwezo wa kubeba watu 32,000, litagharimu bilioni miatatu na point.Bibie anatii kila asemacho mkwere hata kama ni cha kipuuzi..
Anachokifanya bibie ni maelekezo ya mkwere kwa manufaa binafsi ya mkwere na watu wake, serikali imejaa viongozi mafisadi, mkwere na bibi hawawezi kuondoa ufisadi serikalini kwa sababu nao ni wale wale.
Rais fisadi hawezi kudhibiti mafisadi
Wanajua watanzania hawajui kutumia mamlaka yao kuwawajibisha. Wanasahau kuwa kila jambo lina mwisho wake.Wajinga hawajuagi kuongoza nchi, zaidi ya kuendekeza anasa tu na kujinufaisha wao na syndicates zao huku majority ya watanzania wakiteseka wenye hali ya chini, sababu nchi inakuwaga ni ya wachache sana wenye nguvu ndio wanaifaidi maana huwa wanafanya chochote wanachojiskia yaani bila hofu ya kuchukuliwa hatua.
Nakumbuka Kitana alikuwa anadhulumu sana watu kwenye shughuli za uvuvi huko ziwa Victoria, wavuvi wengi sana wadogo wadogo wameumia kwa kunyang'anywa mitumbwi yao na kitana kisa tu walikuwa wanavua karibu na kisiwa chake...
Alipoingia chuma madarakani alipigwa biti moja tu ule uonevu wote ukaisha na kila mtu akawa anavua kwa uhuru bila hofu yoyote hata kwenye maeneo ambayo kitana alikuwa amaye monopoly kuwa anavua peke yake yake tu.
Sasa hivi unaambiwa ule uonevu umerudi kwa kasi, na hakuna tena mvuvi mdogo anayesogelea kwenye himaya yake, yaani jamaa amerudi tena kuogopwa kama awali...
Na hakuna hata anayejali sio waziri wala raisi kwamba kuna wavuvi wadogo wadogo wanaonewa huko visiwani.
Kajinyakulia jukumu la u-King Maker wa mchi hii katika kipindi akiwa bado hai, yaani kisha jihakikishia marais wajao hadi 2040 ni maswahiba wake yaani after SSH anaingia Nchimbi.Huyu mzee ndiye yuko nyuma ya uhuni wote unaofanyika
Alikuwa na machungu pamoja na kuuza kila kitu kwa jina la ubinafsishaji?! Madudu yote yale ya Meremeta, BoT, EPA n.k halafu unataka kutuaminisha alikuwa na uchungu?! Hayo yote hayatokana na human imperfection bali kukosa uchungu!Raisi pekee aliye kuwa na machungu ni mkapa, japo nae hakuwa perfect ila angalau ali umia.
Hii ni sherehe kwako?Dodoma Kuna dimba la mpira wa Miguu Lina uwezo wa kubeba watu 32,000, litagharimu bilioni miatatu na point.
Kama nakuelewa hivi,maana Magu alijitoa kutetea nchi yetu na kutetea wananchi ila bado watu walimkosoa na kumchukiaTatizo siyo Kikwete, ni watz wenyewe
Ianeni tuu huko who cares by the wayThe man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.
Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania
Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!
Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?
Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.
Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?
Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno
Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??
Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?
Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?
Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!
Na mtaanguka wote!!
Ongeza Igoma, hapo nayo imeanza 2005Mjinga sana wewe nenda mwanza huko, wilaya ya Nyamaghana tu kuna shule zaidi ya tano zilizoanza kujengwa 2003 na kisha kuanza kuchukua wanafunzi 2005 ambazo baadhi ni
1)Mbugani Secondary
2)Olenjolay(jina la mkuu wa mkoa wa wakati huo)
3)Nyamanoro Secondary
4)Mahina Secondary
5)Nyaburogoya
Tatizo huna taarifa halafu unaongea kwa kujiamini sana mpuuzi wewe.... endeleen kumtukuza huyo fisadi aliyekubuhu baba ako kikwetena kuwaona maraisi wengine sio chochote
Unadhani ubunge mpk umakamo aliupata hivi hivi bila mafisadi kumbeba?Siuoni utaratibu wa kifisadi uliotumika kumfikisha alipo, bali mafisadi yamemwingia baada ya kutawala.
Wameona anapenda sana kusifiwa, ndiyo mwanya huo huo yakatumia kujipenyeza.