Tuseme ukweli tu, Hayati Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais

Mkibishana miradi ya ujenzi muwage na akili basi.
Estim anapiga rangi nyumba za Halmashauri?
Estim anarepair mabomba ya majengo ya serikali?
Kazi kama hizo ndogo ndogo ndizo zinawaajiri makandarasi wazalendo.
Sasa ninyi mnaotoa mawazo kwa nini msiwe kama Kibajaji au Makamba kwa weledi?
 
Hapana alivuruga kila kitu. Acheni kuleta vi uchambuzi vidogo vidogo kupoteza muda. Hana jema na alivuruga nchi yote!
 
Kwa East Africa Tanzania tunaweza kuwa tunaongoza kwa kuwa na barabara nyingi substandard.
 
Kumnang'a ×
Kumnanga ✓

Punguza panic sukuma gang, au ni kweli kwamba ulikuja Tanzania kutoka nchi iliyopakana na Kigoma baada ya mjomba yako kupata Urais?
Kumbe nawe ni mpuuzi!
 
Hii akili yangu ndogo ni kubwa kuliko yako.
Na ubinafsi na roho mbaya kinara ni jamaa yako.
Na baada ya hapo jibu hoja siyo kubwabwaja tu.
Acha ubinafsi ndiyo maana unahangaika na micro issues badala ya macro issues.
 
Alivuruga uchumi jumla wala sio sekta ya ujenzi pekee.
 
Miradi mikubwa walipewa/wanapewa makampuni ya kigeni hasa China.
Makampuni hayo yalileta/yanaleta subcontractors kutoka kwao.Asili mia kubwa ya fedha za miradi mikubwa ya ujenzi inarudi kwao.
Laiti kama masharti ya mikataba ya ujenzi kwa miradi mikubwa yangewahusisha makampuni ya kizalendo yenye vigezo,fedha angalau asilimia 60 zingebaki nchini na mzunguko wa fedha ungeimarika.
Wachina sio muarobaini wa kujenga Tanzania bali ni kirusi kibaya kuliko saratani.
 
Bado haikuwa tiketi inayomruhusu kufanya ufisadi. Ni kwamba jamaa alikuwa mbinafsi, katili na anataka apate peke yake. Rot in Hell Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…