Kwenye hiki kifurushi tumeumia wengi sanaJamani nimekandika bando via halopesa nashangaa napata bando njiwa napitia hapa viwango inasikitisha jamani lile bando pendwa la usiku la 1500 liililokuwaga 10gb likashuka hadi 5gb tukavumilia kwa sasa ni mb 1160
Nimenyoosha mikono, iam done
Line ya chuo Angalau kwa 1000 na 3000 unapata 1GB na 3GB respectively kwa wiki. (Ukinunua kwa halopesa)Hata ukibadili line inabaki ya chuo ila mbona line ya chuo halotel haina cha zaidi.
umeangalia leo ndugu?Line ya chuo Angalau kwa 1000 na 3000 unapata 1GB na 3GB respectively kwa wiki. (Ukinunua kwa halopesa)
Line ya chuo Angalau kwa 1000 na 3000 unapata 1GB na 3GB respectively kwa wiki. (Ukinunua kwa halopesa)
Imenibidi nicheki, naona wameshusha sana.umeangalia leo ndugu?
hatari sana sijui tutafanyaje sasa hata kutop up bando lililobaki kuongezea wek mbele wametoa piaImenibidi nicheki, naona wameshusha sana.
Nilinunua jana GB6 kwa 5000. Leo kwa hiyo bei unapata 3GBs
Dah kweli ulikuwa mnawanyonya hallotel,Kutoka MB 1024 hadi MB 600 kwa buku[emoji2297]View attachment 1979530
Hiyo haiumi sana lakini ile ya usiku kutoka 10 gb ikafika 5 sasa ni 1160 yaani ukeshe saa sita usiku hadi 12 asubuhi utoe 1500 kwa mb 1160?Dah kweli ulikuwa mnawanyonya hallotel,
Halotel huduma kwa kwa wateja hawajawahi pokea simu yangu.Hawa jamaaa wanazingua sana juzi wamenitoa hewani siku nzima, na huduma kwa wateja hawapokei
Ttcl nao wamepunguza from 1.2gb to 600 mb.Ttcl ila kifurushinchako jiunge kupitia tpesa hutajuta
Tupe code tuhamie hukoNgoja niendelee kutulia na Zantel yangu
Nawashangaa akina Alikiba, Diamond na wasanii wengine wapo kimya tu wakati kupitia MB zetu ndio tunaenda kuwapush huko YouTubeWateja hatuna mtetezi. Serikali na mitandao lao moja kutunyonga tu wanyonge!!!
Bongo tushazoe kujiunga kila siku vifurushi vya wiki.Voda pasua kichwa..
Kifurushi wanakuletea cha wiki/ mwezi ukiunga hata siku hakimalizi..
Hawajaligi wao wakitoa upuuzi wao wanataka watu wakaangalie youtube no wonder raia siku hizi wanawapotezeaNawashangaa akina Alikiba, Diamond na wasanii wengine wapo kimya tu wakati kupitia MB zetu ndio tunaenda kuwapush huko YouTube