Tushirikishane maneno uliyosikia, anadhani amekata simu kumbe unasikia

Tushirikishane maneno uliyosikia, anadhani amekata simu kumbe unasikia

Infopaedia

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
1,231
Reaction score
1,491
Kuna yale maneno ya mwisho hutokea unayasikia kwa bahati mbaya. Mwenzio anajua amekata simu kumbe bado iko hewani. Au anakosa subira na kuyaongea kidole kikielekea kukata simu.

Nilipigiwa simu na shangazi yangu. Tukaongea, then akaniambia hana hela ya sukari. Nikasema, nitakutumia shangazi.

Kumaliza kuongea tukaagana. Ila kwa mbali nikasikia anasema "shenzi kabisa, nilishika mavi yako kukutawaza." Dah!!! Sikutegemea.
 
Kuna yale maneno ya mwisho hutokea unayasikia kwa bahati mbaya. Mwenzio anajua amekata simu kumbe bado iko hewani. Au anakosa subira na kuyaongea kidole kikielekea kukata simu.

Nilipigiwa simu na shangazi yangu. Tukaongea, then akaniambia hana hela ya sukari. Nikasema, nitakutumia shangazi. Kumaliza kuongea tukaagana. Ila kwa mbali nikasikia anasema "shenzi kabisa, nilishika mavi yako kukutawaza." Dah!!! Sikutegemea.
Hahahahah
Ndo ukome.

Vumilia ndo ukubwa huo
 
Nilikuwa na shida nikampigia simu mjomba wangu, akajua nimekata kumbe bado nikasikia wanaongea na mkewe ,tumpe mtoto wetu akawe wakuosha vyombo....

Nilimpigia saa hiyo hiyo tena nikamwambia nimewasikia...ila nilijisikia vibaya sana wao kuongea vile sikupenda.
 
Wanangu mmi kanipigia simu nikapokea " we chizi uko wapi naibika hapa nitumie Chochote kwa tigopesa na fanya fasta fala wewe" nikamwambia "haya siburia kidogo"

Nikashusha simu nasikia yeye hajakata bado anaamiwa watu ila anaonekana yupo club anasema " HUYU NDO MWANANGU WENGI MIYEYESHO NAMKUBALI SANA "
 
Daaah

Kuna manzi yangu tulipomaliza kuongea akaanza kuniongelea kwa wenzake 'huyu mwanaume ana manywele marefu mapajani hadi miguuni km nyaaani...'

Daaah niliamua kukata tu simu
Madem zangu wanajifanyaga 'mazuri haya!'. Mi moyoni hujisemea 'maninaa moyoni una lako'.

Sema dem mmoja sikumoja amelewa akanichana wakati akinipapasa akaropoka 'duh! Kama majani!' 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom