Hahaha ulituma?Wanangu mmi kanipigia simu nikapokea " we chizi uko wapi naibika hapa nitumie Chochote kwa tigopesa na fanya fasta fala wewe" nikamwambia "haya siburia kidogo"
Nikashusha simu nasikia yeye hajakata bado anaamiwa watu ila anaonekana yupo club anasema " HUYU NDO MWANANGU WENGI MIYEYESHO NAMKUBALI SANA "