Nilikua naongea na mama, sasa tukapiga umbeya na kusogoa wee, tukamaliza na kuagana, yeye akajua nimeshakata, kumbe mie akuuuh nli delay, nasikia anasema
"Yaan huyu kichaa utadhan sijamzaa mie, haijulikan mama nan, mtoto nan, limenizoea kupitiliza linaniona km shost ake tu"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nilicheka kwa nguvu mnoo, akastuka, nkakata. Baadae akatuma text.
"Wee umezidi bhana na ukome" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]