Tushirikishane maneno uliyosikia, anadhani amekata simu kumbe unasikia

Tushirikishane maneno uliyosikia, anadhani amekata simu kumbe unasikia

Alimipigia demu wangu mmoja hv nikapokea fasta...nikasika "Nyamazeni nyamazeni jaman naongea na yule kaka mtema mate akionge na mnuka mdomo yule,anayevaa mashat makubwa ka gauni..."nikamwambia ahsante sana ..[emoji52]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1732][emoji3526][emoji3526]
 
Nilikua naongea na mama, sasa tukapiga umbeya na kusogoa wee, tukamaliza na kuagana, yeye akajua nimeshakata, kumbe mie akuuuh nli delay, nasikia anasema

"Yaan huyu kichaa utadhan sijamzaa mie, haijulikan mama nan, mtoto nan, limenizoea kupitiliza linaniona km shost ake tu"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nilicheka kwa nguvu mnoo, akastuka, nkakata. Baadae akatuma text.

"Wee umezidi bhana na ukome" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mi ni mnafiki nyumbani nilikua naishi maisha mengine na chuo naishi maisha mengine kabisa ya kishetani.Sasa siku moja bimkubwa (mfia dini) akanipigia nikajibadilisha na kasauti 'bwana Yesu asifiwe' tukapiga piga stori kumbe mwenzake niko valuu za kutosha tukaagana simu nikairusha mezani nikamrudia mate wangu kumpa feedback za siku nzima.Aisee nilitukana siku ile,wanawake niliowakaza,misambwanda,,yaaani nilijimwaga vibaya mate wangu naye anachombeza kwa matusi tu.Nikalala zangu kesho naamka nakutana na text ' USIWE UNATUKANA BABA'.Hakuwahi kuniambia kwa nini aliniandikia vile ila nilijua ni kwa nini.Na akaamua kuja chuo kuangalia naishi vipi.Nashangaa siku moja washikaji wananiambia bi mkubwa yupo getini huko kufika yuko na maandazi,sembe,dagaaa ikabidi nijitwishe mpaka geto .Jioni huyo akarudi zake kwa ndugu zake.Asante.
[emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]duuhhhhh....
 
Bwana wee Nilikuwa nampigia simu mshua sasa akawa anachelewa kupokea Nikawa kama nimemind nikatukana "Pokea Qumer ww" wakati nasema kumbe mtu kapokea kilichonikuta 🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Yule mjinga alipokea bila kujua kama keshapokea, nikasikia anamwambia mwenzie eti "Cecy huyu ndio yule jamaa niliyewaambiaga ananuka kikwapa ni hatari, basi tu kwa vile huwa ananijali"wakacheeeeeeeeka.......nikakata simu, muda sio mrefu akanipigia tena nikamwambia ngoja kwanza nikaoge nipunguze harufu ya kikwapa naona kila ninaepishana nae hapa anageuka kuniangalia, akakata simu ghafla...ikawa ndio jumla hakunitafuta tena Ng'ombe yule, nikasema huu mchezo lazima niibuke mshindi tu.

Nikafanya juu chini nikafanikiwa kumnasa yule rafiki yake Cecy (ndio jina lake halisi) hivi na vile nenda rudi panda shuka nyingi hatimae nikamzagamua pumbavu, siku moja nikaweka status nikiwa na Cecy......alikasirika vibaya sana akanipigia na matusi kibao, nikamwambia we ulishindwa kuvumilia kikwapa changu lakini mwenzio Cecy amekivumilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787], akaniambia eti aliongea vile ili kumkatisha tamaa kwa sababu rafiki yake alionesha dalili za kunitaka, nikamwambia basi ndio amenipata ivo
Naomba namba ya yule uliyemuacha
 
Yule mjinga alipokea bila kujua kama keshapokea, nikasikia anamwambia mwenzie eti "Cecy huyu ndio yule jamaa niliyewaambiaga ananuka kikwapa ni hatari, basi tu kwa vile huwa ananijali"wakacheeeeeeeeka.......nikakata simu, muda sio mrefu akanipigia tena nikamwambia ngoja kwanza nikaoge nipunguze harufu ya kikwapa naona kila ninaepishana nae hapa anageuka kuniangalia, akakata simu ghafla...ikawa ndio jumla hakunitafuta tena Ng'ombe yule, nikasema huu mchezo lazima niibuke mshindi tu.

Nikafanya juu chini nikafanikiwa kumnasa yule rafiki yake Cecy (ndio jina lake halisi) hivi na vile nenda rudi panda shuka nyingi hatimae nikamzagamua pumbavu, siku moja nikaweka status nikiwa na Cecy......alikasirika vibaya sana akanipigia na matusi kibao, nikamwambia we ulishindwa kuvumilia kikwapa changu lakini mwenzio Cecy amekivumilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787], akaniambia eti aliongea vile ili kumkatisha tamaa kwa sababu rafiki yake alionesha dalili za kunitaka, nikamwambia basi ndio amenipata ivo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa ni kweli Kwapa lilikuwa/linatoa harufu.
 
Madem zangu wanajifanyaga 'mazuri haya!'. Mi moyoni hujisemea 'maninaa moyoni una lako'.

Sema dem mmoja sikumoja amelewa akanichana wakati akinipapasa akaropoka 'duh! Kama majani!' [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom