Tushirikishane maneno uliyosikia, anadhani amekata simu kumbe unasikia

Tushirikishane maneno uliyosikia, anadhani amekata simu kumbe unasikia

Mimi nilipigiwa na baba yangu video call...it was his first time doing that. Nilikua sebleni na dada yangu mkubwa nilikwenda kumtembelea kwake.

Tukaongea tumemaliza nikajua kakata. Mi nikajimaliza huku "makubwa leo huyu mzee kapiga video call. Mvua zitanyesha " daddekkk nasikia mtu anacheka sana kwenye simu af akasema "we mtoto wewe yani unanisema kabisa eti sijawah kukuvideo call...." Nikaua soo hamna baba tunapiga tu story na dada hapo aibu pambee usoni.... Nikasema sasa ningeropokwa meng leo ingekuaje....kiruuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Alimipigia demu wangu mmoja hv nikapokea fasta...nikasika "Nyamazeni nyamazeni jaman naongea na yule kaka mtema mate akionge na mnuka mdomo yule,anayevaa mashat makubwa ka gauni..."nikamwambia ahsante sana ..[emoji52]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna yale maneno ya mwisho hutokea unayasikia kwa bahati mbaya. Mwenzio anajua amekata simu kumbe bado iko hewani. Au anakosa subira na kuyaongea kidole kikielekea kukata simu.

Nilipigiwa simu na shangazi yangu. Tukaongea, then akaniambia hana hela ya sukari. Nikasema, nitakutumia shangazi.

Kumaliza kuongea tukaagana. Ila kwa mbali nikasikia anasema "shenzi kabisa, nilishika mavi yako kukutawaza." Dah!!! Sikutegemea.
🤣🤣🤣🤣shangazi lakini si kasema ukweli?
 
Nilikua naongea na mama, sasa tukapiga umbeya na kusogoa wee, tukamaliza na kuagana, yeye akajua nimeshakata, kumbe mie akuuuh nli delay, nasikia anasema

"Yaan huyu kichaa utadhan sijamzaa mie, haijulikan mama nan, mtoto nan, limenizoea kupitiliza linaniona km shost ake tu"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nilicheka kwa nguvu mnoo, akastuka, nkakata. Baadae akatuma text.

"Wee umezidi bhana na ukome" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule mjinga alipokea bila kujua kama keshapokea, nikasikia anamwambia mwenzie eti "Cecy huyu ndio yule jamaa niliyewaambiaga ananuka kikwapa ni hatari, basi tu kwa vile huwa ananijali"wakacheeeeeeeeka.......nikakata simu, muda sio mrefu akanipigia tena nikamwambia ngoja kwanza nikaoge nipunguze harufu ya kikwapa naona kila ninaepishana nae hapa anageuka kuniangalia, akakata simu ghafla...ikawa ndio jumla hakunitafuta tena Ng'ombe yule, nikasema huu mchezo lazima niibuke mshindi tu.

Nikafanya juu chini nikafanikiwa kumnasa yule rafiki yake Cecy (ndio jina lake halisi) hivi na vile nenda rudi panda shuka nyingi hatimae nikamzagamua pumbavu, siku moja nikaweka status nikiwa na Cecy......alikasirika vibaya sana akanipigia na matusi kibao, nikamwambia we ulishindwa kuvumilia kikwapa changu lakini mwenzio Cecy amekivumilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787], akaniambia eti aliongea vile ili kumkatisha tamaa kwa sababu rafiki yake alionesha dalili za kunitaka, nikamwambia basi ndio amenipata ivo
 
Yule mjinga alipokea bila kujua kama keshapokea, nikasikia anamwambia mwenzie eti "Cecy huyu ndio yule jamaa niliyewaambiaga ananuka kikwapa ni hatari, basi tu kwa vile huwa ananijali"wakacheeeeeeeeka.......nikakata simu, muda sio mrefu akanipigia tena nikamwambia ngoja kwanza nikaoge nipunguze harufu ya kikwapa naona kila ninaepishana nae hapa anageuka kuniangalia, akakata simu ghafla...ikawa ndio jumla hakunitafuta tena Ng'ombe yule, nikasema huu mchezo lazima niibuke mshindi tu.

Nikafanya juu chini nikafanikiwa kumnasa yule rafiki yake Cecy (ndio jina lake halisi) hivi na vile nenda rudi panda shuka nyingi hatimae nikamzagamua pumbavu, siku moja nikaweka status nikiwa na Cecy......alikasirika vibaya sana akanipigia na matusi kibao, nikamwambia we ulishindwa kuvumilia kikwapa changu lakini mwenzio Cecy amekivumilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787], akaniambia eti aliongea vile ili kumkatisha tamaa kwa sababu rafiki yake alionesha dalili za kunitaka, nikamwambia basi ndio amenipata ivo
Duuh
 
Yule mjinga alipokea bila kujua kama keshapokea, nikasikia anamwambia mwenzie eti "Cecy huyu ndio yule jamaa niliyewaambiaga ananuka kikwapa ni hatari, basi tu kwa vile huwa ananijali"wakacheeeeeeeeka.......nikakata simu, muda sio mrefu akanipigia tena nikamwambia ngoja kwanza nikaoge nipunguze harufu ya kikwapa naona kila ninaepishana nae hapa anageuka kuniangalia, akakata simu ghafla...ikawa ndio jumla hakunitafuta tena Ng'ombe yule, nikasema huu mchezo lazima niibuke mshindi tu.

Nikafanya juu chini nikafanikiwa kumnasa yule rafiki yake Cecy (ndio jina lake halisi) hivi na vile nenda rudi panda shuka nyingi hatimae nikamzagamua pumbavu, siku moja nikaweka status nikiwa na Cecy......alikasirika vibaya sana akanipigia na matusi kibao, nikamwambia we ulishindwa kuvumilia kikwapa changu lakini mwenzio Cecy amekivumilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787], akaniambia eti aliongea vile ili kumkatisha tamaa kwa sababu rafiki yake alionesha dalili za kunitaka, nikamwambia basi ndio amenipata ivo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie khaaaah
 
Mimi nilipigiwa na baba yangu video call...it was his first time doing that. Nilikua sebleni na dada yangu mkubwa nilikwenda kumtembelea kwake.

Tukaongea tumemaliza nikajua kakata. Mi nikajimaliza huku "makubwa leo huyu mzee kapiga video call. Mvua zitanyesha " daddekkk nasikia mtu anacheka sana kwenye simu af akasema "we mtoto wewe yani unanisema kabisa eti sijawah kukuvideo call...." Nikaua soo hamna baba tunapiga tu story na dada hapo aibu pambee usoni.... Nikasema sasa ningeropokwa meng leo ingekuaje....kiruuu
Pambee maana yake Ni Nini mkuu?
 
Kuna rafiki yang alimpigia cm demu wake akimtak aje gheto waduu sasa jamaa akajua demu kakata cm maana yeye hanaga tabia ya kukata hata akipiga. Sindo akaanza ropoka......yaan huyu k*m* akija nitamt*mb* mpaka k iwake moto...tukasikia kwenye simu aaah kumbe ndo ulivyonipangia eeerh sijii....
 
Kuna rafiki yang alimpigia cm demu wake akimtak aje gheto waduu sasa jamaa akajua demu kakata cm maana yeye hanaga tabia ya kukata hata akipiga. Sindo akaanza ropoka......yaan huyu k*m* akija nitamt*mb* mpaka k iwake moto...tukasikia kwenye simu aaah kumbe ndo ulivyonipangia eeerh sijii....
Hii inauma kinyama 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom