[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahMimi nilipigiwa na baba yangu video call...it was his first time doing that. Nilikua sebleni na dada yangu mkubwa nilikwenda kumtembelea kwake.
Tukaongea tumemaliza nikajua kakata. Mi nikajimaliza huku "makubwa leo huyu mzee kapiga video call. Mvua zitanyesha " daddekkk nasikia mtu anacheka sana kwenye simu af akasema "we mtoto wewe yani unanisema kabisa eti sijawah kukuvideo call...." Nikaua soo hamna baba tunapiga tu story na dada hapo aibu pambee usoni.... Nikasema sasa ningeropokwa meng leo ingekuaje....kiruuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alimipigia demu wangu mmoja hv nikapokea fasta...nikasika "Nyamazeni nyamazeni jaman naongea na yule kaka mtema mate akionge na mnuka mdomo yule,anayevaa mashat makubwa ka gauni..."nikamwambia ahsante sana ..[emoji52]
🤣🤣🤣🤣shangazi lakini si kasema ukweli?Kuna yale maneno ya mwisho hutokea unayasikia kwa bahati mbaya. Mwenzio anajua amekata simu kumbe bado iko hewani. Au anakosa subira na kuyaongea kidole kikielekea kukata simu.
Nilipigiwa simu na shangazi yangu. Tukaongea, then akaniambia hana hela ya sukari. Nikasema, nitakutumia shangazi.
Kumaliza kuongea tukaagana. Ila kwa mbali nikasikia anasema "shenzi kabisa, nilishika mavi yako kukutawaza." Dah!!! Sikutegemea.
Mbona sentensi ndefu sana hiyoAlimipigia demu wangu mmoja hv nikapokea fasta...nikasika "Nyamazeni nyamazeni jaman naongea na yule kaka mtema mate akionge na mnuka mdomo yule,anayevaa mashat makubwa ka gauni..."nikamwambia ahsante sana ..😐
🤣🤣🤣Me nilipokea haraka haraka yaani nilikua na cm mkononi ile anapiga ata haijaita nikawa nimepokea.
Nasikia "uwa hapokeagi simu uyu.. anadharau tokea apate kazi.."
🤣🤣🤣Niliwahi kumsimanga mtu na mama dakika 15 nzima kumbe hajakata simu.
Alisikia kila kitu nioijiskia vibaya sitasahau
DuuhYule mjinga alipokea bila kujua kama keshapokea, nikasikia anamwambia mwenzie eti "Cecy huyu ndio yule jamaa niliyewaambiaga ananuka kikwapa ni hatari, basi tu kwa vile huwa ananijali"wakacheeeeeeeeka.......nikakata simu, muda sio mrefu akanipigia tena nikamwambia ngoja kwanza nikaoge nipunguze harufu ya kikwapa naona kila ninaepishana nae hapa anageuka kuniangalia, akakata simu ghafla...ikawa ndio jumla hakunitafuta tena Ng'ombe yule, nikasema huu mchezo lazima niibuke mshindi tu.
Nikafanya juu chini nikafanikiwa kumnasa yule rafiki yake Cecy (ndio jina lake halisi) hivi na vile nenda rudi panda shuka nyingi hatimae nikamzagamua pumbavu, siku moja nikaweka status nikiwa na Cecy......alikasirika vibaya sana akanipigia na matusi kibao, nikamwambia we ulishindwa kuvumilia kikwapa changu lakini mwenzio Cecy amekivumilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787], akaniambia eti aliongea vile ili kumkatisha tamaa kwa sababu rafiki yake alionesha dalili za kunitaka, nikamwambia basi ndio amenipata ivo
🤣🤣🤣baada ya kuomba nimtumie elfu 50 anaumwa,kwenye back ground nasikia huyu fala tuu hachomoi subiria tukale bata.....alikula barn mazima.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie khaaaahYule mjinga alipokea bila kujua kama keshapokea, nikasikia anamwambia mwenzie eti "Cecy huyu ndio yule jamaa niliyewaambiaga ananuka kikwapa ni hatari, basi tu kwa vile huwa ananijali"wakacheeeeeeeeka.......nikakata simu, muda sio mrefu akanipigia tena nikamwambia ngoja kwanza nikaoge nipunguze harufu ya kikwapa naona kila ninaepishana nae hapa anageuka kuniangalia, akakata simu ghafla...ikawa ndio jumla hakunitafuta tena Ng'ombe yule, nikasema huu mchezo lazima niibuke mshindi tu.
Nikafanya juu chini nikafanikiwa kumnasa yule rafiki yake Cecy (ndio jina lake halisi) hivi na vile nenda rudi panda shuka nyingi hatimae nikamzagamua pumbavu, siku moja nikaweka status nikiwa na Cecy......alikasirika vibaya sana akanipigia na matusi kibao, nikamwambia we ulishindwa kuvumilia kikwapa changu lakini mwenzio Cecy amekivumilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787], akaniambia eti aliongea vile ili kumkatisha tamaa kwa sababu rafiki yake alionesha dalili za kunitaka, nikamwambia basi ndio amenipata ivo
Pambee maana yake Ni Nini mkuu?Mimi nilipigiwa na baba yangu video call...it was his first time doing that. Nilikua sebleni na dada yangu mkubwa nilikwenda kumtembelea kwake.
Tukaongea tumemaliza nikajua kakata. Mi nikajimaliza huku "makubwa leo huyu mzee kapiga video call. Mvua zitanyesha " daddekkk nasikia mtu anacheka sana kwenye simu af akasema "we mtoto wewe yani unanisema kabisa eti sijawah kukuvideo call...." Nikaua soo hamna baba tunapiga tu story na dada hapo aibu pambee usoni.... Nikasema sasa ningeropokwa meng leo ingekuaje....kiruuu
Hasa kama alietamka hivi ni mwanaume,italeta ukakasi sana.Pambee maana yake Ni Nini mkuu?
Kwann ulikata mapemaKitendo Cha simu kuwaka inaanza ita nikapokea nikasikia anaambiwa akipokea usisahau kumwambia Kuna sare inatakiwa nilivosikia tu nikakata simu nikazima
Hii inauma kinyama 🤣🤣🤣Kuna rafiki yang alimpigia cm demu wake akimtak aje gheto waduu sasa jamaa akajua demu kakata cm maana yeye hanaga tabia ya kukata hata akipiga. Sindo akaanza ropoka......yaan huyu k*m* akija nitamt*mb* mpaka k iwake moto...tukasikia kwenye simu aaah kumbe ndo ulivyonipangia eeerh sijii....