Hahaha ulituma?Wanangu mmi kanipigia simu nikapokea " we chizi uko wapi naibika hapa nitumie Chochote kwa tigopesa na fanya fasta fala wewe" nikamwambia "haya siburia kidogo"
Nikashusha simu nasikia yeye hajakata bado anaamiwa watu ila anaonekana yupo club anasema " HUYU NDO MWANANGU WENGI MIYEYESHO NAMKUBALI SANA "
NilimtumiaHahaha ulituma?
Duh pole sana mkuuNilikuwa na shida nikampigia simu mjomba wangu, akajua nimekata kumbe bado nikasikia wanaongea na mkewe ,tumpe mtoto wetu akawe wakuosha vyombo....
Nilimpigia saa hiyo hiyo tena nikamwambia nimewasikia...ila nilijisikia vibaya sana wao kuongea vile sikupenda.
Hata kama ni wewe, unaachaje sasa kumtumia!!! Hakuna mtu asiyependa shanapa.Hahaha ulituma?
Kama unanijua it's only 0.00001%. Kuniona siku moja au mbili haifanyi unijue. Hata ukisema yangu unayoyajua bado nitafurahi sitanuna.Hao unafurahia Mwenyewe watakuwa hawakujui- ila tunaokujua tukianza kukusema hutaandika hivi, nauhakika 😅😅😅😅
HahahhhHahahha...
Kitu wanawake wasichojua ni kwamba sisi wanaume tumeumbiwa tamaa sana, sometimes kichwa kidogo ukikiachia utawala na maamuzi kinaweza amua kipite kwa marafiki wa demu wako, au mwanamke yeyote utakayekutana naye, ndiyo maana uzi wa kimasihara umeenda viral.
🤣🤣🤣Shangazi alikuwa sawa..Kuna yale maneno ya mwisho hutokea unayasikia kwa bahati mbaya. Mwenzio anajua amekata simu kumbe bado iko hewani. Au anakosa subira na kuyaongea kidole kikielekea kukata simu.
Nilipigiwa simu na shangazi yangu. Tukaongea, then akaniambia hana hela ya sukari. Nikasema, nitakutumia shangazi.
Kumaliza kuongea tukaagana. Ila kwa mbali nikasikia anasema "shenzi kabisa, nilishika mavi yako kukutawaza." Dah!!! Sikutegemea.
Ha haaaa si muwe mnayapunguza jamani na Ile mnatolea ndevu?Madem zangu wanajifanyaga 'mazuri haya!'. Mi moyoni hujisemea 'maninaa moyoni una lako'.
Sema dem mmoja sikumoja amelewa akanichana wakati akinipapasa akaropoka 'duh! Kama majani!' 🤣🤣🤣
Kwani hupigi mswaki vizuri?Alimipigia demu wangu mmoja hv nikapokea fasta...nikasika "Nyamazeni nyamazeni jaman naongea na yule kaka mtema mate akionge na mnuka mdomo yule,anayevaa mashat makubwa ka gauni..."nikamwambia ahsante sana ..😐
🤣🤣🤣🤣AiseeMe nilipokea haraka haraka yaani nilikua na cm mkononi ile anapiga ata haijaita nikawa nimepokea.
Nasikia "uwa hapokeagi simu uyu.. anadharau tokea apate kazi.."
[emoji1][emoji38][emoji38][emoji38] usiombe kukutwa aseeeNiliwahi kumsimanga mtu na mama dakika 15 nzima kumbe hajakata simu.
Alisikia kila kitu nioijiskia vibaya sitasahau
Looohh....usiombe ikukute hiii!!!mbaya sanaNiliwahi kumsimanga mtu na mama dakika 15 nzima kumbe hajakata simu.
Alisikia kila kitu nioijiskia vibaya sitasahau
[emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji1]Ukome na Muache umbea[emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]mwanao Sana huyoooWanangu mmi kanipigia simu nikapokea " we chizi uko wapi naibika hapa nitumie Chochote kwa tigopesa na fanya fasta fala wewe" nikamwambia "haya siburia kidogo"
Nikashusha simu nasikia yeye hajakata bado anaamiwa watu ila anaonekana yupo club anasema " HUYU NDO MWANANGU WENGI MIYEYESHO NAMKUBALI SANA "
Professional cheaterWengine tuko very sensitive na simu, mistakes not allowed
Na cheat na nani sasa wakati niko alone almost 100 percentProfessional cheater