Tushirikishane maneno uliyosikia, anadhani amekata simu kumbe unasikia

Alimipigia demu wangu mmoja hv nikapokea fasta...nikasika "Nyamazeni nyamazeni jaman naongea na yule kaka mtema mate akionge na mnuka mdomo yule,anayevaa mashat makubwa ka gauni..."nikamwambia ahsante sana ..[emoji52]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1732][emoji3526][emoji3526]
 
[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
[emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]duuhhhhh....
 
Bwana wee Nilikuwa nampigia simu mshua sasa akawa anachelewa kupokea Nikawa kama nimemind nikatukana "Pokea Qumer ww" wakati nasema kumbe mtu kapokea kilichonikuta πŸƒπŸΎβ€β™‚οΈπŸƒπŸΎβ€β™‚οΈ
 
Naomba namba ya yule uliyemuacha
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa ni kweli Kwapa lilikuwa/linatoa harufu.
 
Madem zangu wanajifanyaga 'mazuri haya!'. Mi moyoni hujisemea 'maninaa moyoni una lako'.

Sema dem mmoja sikumoja amelewa akanichana wakati akinipapasa akaropoka 'duh! Kama majani!' [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…