Tusidanganyane, hakuna mwanamke asiye na mpenzi

Asante kwa kuelewa, Thats a great move!
 
Una akili kama yangu. Nasisistiza, hakuna demu aliye single. Ni wanaume tu ndo huwa single.
 
Siku ukipata kikiozi kichopona,homa za mara kwa mara,ukafika hospital wakakuchukua dama ya kwenye mkono hlafu ukaona majibu yanachelewa ukiuliza uakajibiwa majibu yako tayari lkn kabla ya kukupa ukaulizwa umekuja na nani ndo utajua haujui
Hiyo ni ajali kazini tu mzee baba. Siwezi kuacha kuchakata mkuu
 
UKWELI MCHUNGU SANA HUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…