Tusidanganyane, mimi napenda pesa sana

Tusidanganyane, mimi napenda pesa sana

Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE

Utakuwa na vinasaba na jiwe.

Hutoki Chatto wewe?
 
Wewe utampa nini huyo mwanaume aliyejipanga?
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
 
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Sawa mchele mpunga bei gani
 
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Raha jipe mwenyewe, mwanaume anahusika aje wakati una biashara zako?
 
pambana utafute hela zako mwenyewe iweje mwanaume akikupenda akupe pesa?
Msigeuze wanaume vitega uchumi vyenu
 
Nyie malaya wenye damu ya Kinyarwanda mna maisha magumu mnooo! Kuna mmoja huyo yupo chuo cha Uhasibu DSM, anakiuza hatari na anajikuta mzuri hatari
 
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Wachaaa weeeeeeee..........eeenheeeiii.......

Biashara ya mchele,ila si shangai hata yule dada mwenye msambwanda feki Nicole Berry (Jina lake halisi TABU),nae analima mchele na ndio maana kwenye page yake ANAUNIKAGA SANA MPUNGA WAKE na wateja anawapata.

Mcheleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.............kauze mcheleeeeee we.
 
Mimi naomba kuuliza;
Je hiyo picha kwenye profile yaani avatar ni wewe au umeweka picha ya mtu mwingine?
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
 
Gharama yako ni ndogo au kubwa kulingana na we mwenyewe ulivyo, yaani ; sura ,umbo, (kimo , rangi, sauti) na akili.

nilivyoweka kwenye mabano si kipaumbele changu.

Nitumie picha nianze mchakato.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hahaha million 4 kwa mwezi kwa kuuza mchele ..eboo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Angalia usipende sana watakufanya vibaya watoto wa kihuni.
 
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
TAFUTA PESA ZAKO KA UNA HIZO AKILI
 
Back
Top Bottom