Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
😊😍😍habibtiShukrani sana sweetheart
Maneno matam Kama haya yanipa hamasa kuatafuta pesa Kama chizi
Kwako mateka nisiye na vikwazo😂😂
Uwena na siku poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😊😍😍habibtiShukrani sana sweetheart
Kwa hiyo wewe ni malaya unajiuzaNapenda sana pesa sina haja ya kuficha,
Mwanaume akinipenda ajipange
Silali njaa
Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
Maharage nakula mara tatu tu kwa week
Natumia iPhone tu kuanzia 8+
Vocha naunga mwezi kifurushi
Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket
Ndo maana najitahid kujisgughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Asante kwa kuanza na maneno mazuri naamini siku yangu itaenda poa, ukizipata pesa leta nikutunzie😜😊😍😍habibti
Maneno matam Kama haya yanipa hamasa kuatafuta pesa Kama chizi
Kwako mateka nisiye na vikwazo😂😂
Uwena na siku poa
mimi sema ukweli maharage ndo chakula nachopenda sana hasa nikipata wali maharage na samaki au nyama ya kukaanga pembeni!! Burudani..yamenikuza hayo😋Una mawazo ya kimaskini Sana yani unaona kula maharage ni adhabu, yes wapenda pesa wewe kipato chako kikoje?
Mimi napenda maharage kuliko nyama,I always wonder why watu wanaona kula maharage ni umaskini?mimi sema ukweli maharage ndo chakula nachopenda sana hasa nikipata wali maharage na samaki au nyama ya kukaanga pembeni!! Burudani..yamenikuza hayo[emoji39]
[emoji16][emoji16][emoji16]so tukianza kidate iphone yako ina haribika?Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,
Mwanaume akinipenda ajipange
Silali njaa
Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
Maharage nakula mara tatu tu kwa week
Natumia iPhone tu kuanzia 8+
Vocha naunga mwezi kifurushi
Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket
Ndo maana najitahid kujisgughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Dulce miel mi amor noelia.Shukrani sana sweetheart
Ni win-win situation mkuu...Nyie ndio mnafirwa afu mwisho siku ukishachakaa unaachwa coz ukipenda sana pesa ya mwanaume ukubali pia kumpa kila anachokitaka
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,
Mwanaume akinipenda ajipange
Silali njaa
Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
Maharage nakula mara tatu tu kwa week
Natumia iPhone tu kuanzia 8+
Vocha naunga mwezi kifurushi
Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket
Ndo maana najitahid kujisgughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Safi sanaMimi napenda maharage kuliko nyama,I always wonder why watu wanaona kula maharage ni umaskini?
Mimi maharage hayanichoshi hasa yenye nazi
Afadhazali lewe umekua mkweli, ila uwe tayari na wewe kutumia sehemu ya pesa yako kumhudumia na kumtunza huyo Mwanaume.Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,
Mwanaume akinipenda ajipange
Silali njaa
Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
Maharage nakula mara tatu tu kwa week
Natumia iPhone tu kuanzia 8+
Vocha naunga mwezi kifurushi
Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket
Ndo maana najitahid kujisgughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Ujumbe mwanana shukrani sanaDulce miel mi amor noelia.
Nyimbo ya Pedro -Calma iwe mahsusi kwako kwa siku ya leo.