Tusidanganyane, mimi napenda pesa sana

Tusidanganyane, mimi napenda pesa sana

Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Kaka madenge toa tamko kwa wanachama wajihadhari na uyu bibiye😆😆
 
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
pesa sio tatizo mama nami nikikwambia ninachopenda utanipa?
 
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Tusidanganyane, mi napenda sanaa papucha.

Hela zangu nitakupa ila PAPUCHI LAZIMA UTOEE..

#YNWA
 
The Icebreaker
Na wanachama wote ukiwemo wewe katibu Mnyatiaji
Naomba ufikishe taarifa kuwa shankupe hili ni khatari kwa ustawi wa chama chetu
Hilo halina shaka,kikao cha dharura cha kamati ya usalama wa chama kinakutana ili kukabiliana na jambo hilo,kila member atakayekuja kwenye kikao aje na maji ya kunywa toka kwake,kikao hakitahusika kutoa hata mia.
 
unauza maku rejareja kwa sisi tusioweza kununua jumla?
 
Kifupi umeonyesha jinsi gani ulivyo mshamba, kwanza na wasiwasi sana na elimu yako wigo wako wa kufikiri bado madogo sana ndio mana ukifwatilia kwenye uzi wako umepewa majina flani flani sio lazima niya taje.
Elewa kuwa wanao penda pesa lazima pia wajuwe jinsi ya kuzisaka na sio kwa mishe mbili kama wewe ya shares za DSE zinazo zidi kudorora kila siku na mishe za mchele, wenye kupenda pesa wako busy kweli kweli hata mda wa kupost hapa hamna. Yani akianza kukueleza ratiba yake ya siku unaeza dhania ni mchezo ila ndio ukweli mafanikio yake haya ongei kwa mdomo kama wewe ila utayaona adharani bila kuambiwa kuanzia ndinga anayo push sio swala la uber, ukicheck simu, check mishe zake, check wanao mzunguka wana status gani sio watu wa kuvizia mabwana za watu ni watu wa kupigania tender na mishe za town, check familia yake wanaishi vipi nani maeneo gani?
So kuja kuongelea maswala una miliki iphone 8+ ni ushamba wakati kifurushi tu kumbe una nunuliwa. Take care mdogo wangu uta tumika kama tissue wata kutupa na kuku flash down the drains. Wanaume sasahivi tuna taka beauty with brain matako, hizo iphones na shopping tumewaachia vijana wa chuo.
 
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,

Mwanaume akinipenda ajipange

  • Silali njaa.
  • Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
  • Maharage nakula mara tatu tu kwa week
  • Natumia iPhone tu kuanzia 8+
  • Vocha naunga mwezi kifurushi
  • Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket

Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Ww unamiliki nini
 
Back
Top Bottom