Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asara ipo kwa mwanamke coz akishachakaa ndio bas tena thaman inashukaNi win-win situation mkuu...
Unapata unachotaka na Yeye anapata so hakuna maumivu hapo.
Kaka madenge toa tamko kwa wanachama wajihadhari na uyu bibiye😆😆Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,
Mwanaume akinipenda ajipange
- Silali njaa.
- Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
- Maharage nakula mara tatu tu kwa week
- Natumia iPhone tu kuanzia 8+
- Vocha naunga mwezi kifurushi
- Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket
Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Kunywa soda kwa mangi takuja kulipa kuna ela naiskiliziaKaolewe na bank
The IcebreakerKaka madenge toa tamko kwa wanachama wajihadhari na uyu bibiye😆😆
😂😂 Nishikie na Bank cardAsante kwa kuanza na maneno mazuri naamini siku yangu itaenda poa, ukizipata pesa leta nikutunzie😜
😂😂Asante kwa kuanza na maneno mazuri naamini siku yangu itaenda poa, ukizipata pesa leta nikutunzie😜
pesa sio tatizo mama nami nikikwambia ninachopenda utanipa?Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,
Mwanaume akinipenda ajipange
- Silali njaa.
- Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
- Maharage nakula mara tatu tu kwa week
- Natumia iPhone tu kuanzia 8+
- Vocha naunga mwezi kifurushi
- Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket
Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Tusidanganyane, mi napenda sanaa papucha.Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,
Mwanaume akinipenda ajipange
- Silali njaa.
- Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
- Maharage nakula mara tatu tu kwa week
- Natumia iPhone tu kuanzia 8+
- Vocha naunga mwezi kifurushi
- Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket
Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Hilo halina shaka,kikao cha dharura cha kamati ya usalama wa chama kinakutana ili kukabiliana na jambo hilo,kila member atakayekuja kwenye kikao aje na maji ya kunywa toka kwake,kikao hakitahusika kutoa hata mia.The Icebreaker
Na wanachama wote ukiwemo wewe katibu Mnyatiaji
Naomba ufikishe taarifa kuwa shankupe hili ni khatari kwa ustawi wa chama chetu
Khumbu umefufuka mbona konda msafi kasema umerip kitamboKaolewe na bank
Ww unamiliki niniNapenda sana pesa sina haja ya kuficha,
Mwanaume akinipenda ajipange
- Silali njaa.
- Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
- Maharage nakula mara tatu tu kwa week
- Natumia iPhone tu kuanzia 8+
- Vocha naunga mwezi kifurushi
- Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket
Ndo maana najitahidi kujishughulisha nipate walau 4,000,000 kwa mwezi kwa biashara ya mchele na shares nilizoinvest DSE
Acha wivuUna mawazo ya kimaskini Sana yani unaona kula maharage ni adhabu, yes wapenda pesa wewe kipato chako kikoje?