Tusilaumu mabinti wanaokwepa wanaume maskini, ndoa za kiafrika ni muunganiko wa familia mbili, upo tayar binti yenu aolewe na maskini?

Tusilaumu mabinti wanaokwepa wanaume maskini, ndoa za kiafrika ni muunganiko wa familia mbili, upo tayar binti yenu aolewe na maskini?

Tatizo sio hela tatizo ni mindset inayotengenezwa na hali ya kiuchumi. Nina mademu wawili mmoja familia inajiweza na mwingine familia ya kipato cha chini sana. Huyo wanaojiweza kwao mapenzi hajui ila yuko real, nikitaka kuoa kuhusu yeye sijiulizi mara mbili. Ana akili ya maisha kuliko maelezo, ana uzoefu na shughuli za nyumbani kwao na akishauri kitu unajua hapa kuna uhai wa akili. Nimeanza kumuona tupo sekondari, form four kapiga Div. 1 ya 10 serikalini, dip kamaliza na 4+ GPA.

Huyu mwingine mrembo zaidi, bright future behind her, ngozi nyororo na mapenzi anayajua sana. Huyu nimemkamata anacheat mara mbili, mara moja na mbaba mtu mzima kama sponsor. Tatizo ni umaskini hadi kodi ananitegemea wakati yuko chuo. Wadogo zake wote hawajafika form four wanakataa shule, yeye tu ndio kapiga diploma kwa mbinde na penyewe kasoma mwaka mmoja wa ziada kisa akili chache kichwani na kuendekeza starehe akafeli mtihani (sababu kwao huwezi pata starehe, na elimu sio kipaumbele ukoo mzima). Mdogo wake aliumwa familia ikashindwa kumpeleka hospitali baadae mara mapepo mara malaria imepanda kichwani.

Kuna muda wote nilitaka kuwaacha, huyu matako makubwa akasikitika kwanini namuacha wakati natakiwa kumlipia kodi mwezi unaofuata.
Huyu mwingine alidai anajifunza kunizoea maana namkaripia na mimi ni mkorofi (ni kweli), kwanza niko mpenzi wake wa kwanza.

Huyo mmoja kasoro zake zote nikitafuta chanzo ni hali duni ya nyumbani kwao ambayo imemuingia akilini na kwenye lifestyle. Anapenda sherehe kama MC, kuchangisha birthday parties, kwenda harusini kiholela na beach parties. Familia yao ina matatizo ambayo ukizaa naye tu lazima watoto wayaridhi na siko tiyari. We unaunganisha familia ambayo wajomba walikataa shule, binamu alijiua kisa umaskini, kule walikosa hela ya kwenda hospitali wakampeleka kwa mchungaji kuombewa. Tafrani tu.

Kinachokataliwa sio umaskini ni madhara yatokanayo na umaskini. Sasa nije kuoa miaka 5 au 6 baadae niambiwe nimebagua si kunisingizia, kwanza huyo matako makubwa najitahidi kumuacha. My worst nightmare ni itakuwaje nikimpa mimba? Maana habari za hubby na kunitajia majina ya watoto zimeanza.
Umetema madini mzee..

Maskini aliejisahau ni mzigo mkubwa, apo ata familia inaweza kuja kukuletea sulubu baadae, umeangalia mbali sana

Kwaiyo Matako makubwa anajichoresha tu
 
Wanasema Love doesn't asks why.....

Ingawa ni ukweli mapenzi ya Masikini na Tajiri kibongo bongo yameisha tangu Profesa Jay apate lile Zari la Mentali

Kwasasa ni vyema kuoana watu wenye vipato vinavyo lingana

Ukisema eti wewe Mtoto wa Masikini (Mwanaume) utakuja kupata Mke kule Ushuani mwenye kutoka familia bora itakuwa ni kama Kusubiri Meli Airport
 
Tatizo sio hela tatizo ni mindset inayotengenezwa na hali ya kiuchumi. Nina mademu wawili mmoja familia inajiweza na mwingine familia ya kipato cha chini sana. Huyo wanaojiweza kwao mapenzi hajui ila yuko real, nikitaka kuoa kuhusu yeye sijiulizi mara mbili. Ana akili ya maisha kuliko maelezo, ana uzoefu na shughuli za nyumbani kwao na akishauri kitu unajua hapa kuna uhai wa akili. Nimeanza kumuona tupo sekondari, form four kapiga Div. 1 ya 10 serikalini, dip kamaliza na 4+ GPA.

Huyu mwingine mrembo zaidi, bright future behind her, ngozi nyororo na mapenzi anayajua sana. Huyu nimemkamata anacheat mara mbili, mara moja na mbaba mtu mzima kama sponsor. Tatizo ni umaskini hadi kodi ananitegemea wakati yuko chuo. Wadogo zake wote hawajafika form four wanakataa shule, yeye tu ndio kapiga diploma kwa mbinde na penyewe kasoma mwaka mmoja wa ziada kisa akili chache kichwani na kuendekeza starehe akafeli mtihani (sababu kwao huwezi pata starehe, na elimu sio kipaumbele ukoo mzima). Mdogo wake aliumwa familia ikashindwa kumpeleka hospitali baadae mara mapepo mara malaria imepanda kichwani.

Kuna muda wote nilitaka kuwaacha, huyu matako makubwa akasikitika kwanini namuacha wakati natakiwa kumlipia kodi mwezi unaofuata.
Huyu mwingine alidai anajifunza kunizoea maana namkaripia na mimi ni mkorofi (ni kweli), kwanza niko mpenzi wake wa kwanza.

Huyo mmoja kasoro zake zote nikitafuta chanzo ni hali duni ya nyumbani kwao ambayo imemuingia akilini na kwenye lifestyle. Anapenda sherehe kama MC, kuchangisha birthday parties, kwenda harusini kiholela na beach parties. Familia yao ina matatizo ambayo ukizaa naye tu lazima watoto wayaridhi na siko tiyari. We unaunganisha familia ambayo wajomba walikataa shule, binamu alijiua kisa umaskini, kule walikosa hela ya kwenda hospitali wakampeleka kwa mchungaji kuombewa. Tafrani tu.

Kinachokataliwa sio umaskini ni madhara yatokanayo na umaskini. Sasa nije kuoa miaka 5 au 6 baadae niambiwe nimebagua si kunisingizia, kwanza huyo matako makubwa najitahidi kumuacha. My worst nightmare ni itakuwaje nikimpa mimba? Maana habari za hubby na kunitajia majina ya watoto zimeanza.
We hakuna anaekupenda hapo, zaidi wanapendea hela zako, mtoto wa kike hata kwao wakiwa matajiri vipi, mali zote ni urithi wa watoto wa kiume.
 
Walengwa ni mabinti wenye soko kubwa chini ya miaka 28

Kwa ulaya na Marekani mambo ya kuhusisha familia hayana uzito kama huku kwetu, hata binti aolewe na kapuku hayo ni maamuzi yake na atapewa kila baraka.

Shida inakuja kwetu Afrika

1.familia ya binti ipo vizuri kiuchumi, binti, kaka, dada na wadogo zake wamesomeshwa shule private, hawajawai kulala njaa, parking ina gari kadhaa, n.k.

ndugu wengine nao hasa wa upande wa baba kina baba mdogo / mkubwa nao wapo vizuri

binti anaona kabisa familia yake na ndugu zake wana status ya juu, wewe ulie na hali ya chini ni kama unaenda kuweka doa.

mwanaume huna hata pikipiki, binti wa watu kalelewa mambo safi, hao kaka zake watakuelewa kweli umtoe dada yao ushuani umpeleke uswazi ?
Binafsi siwezi kumruhusu binti yangu aolewe na kapuku.
 
Mdogo mtoto wa baba mdogo, kwao wako vizuri kiuchumi aliolewa na kijana kitanda chake ni mabox ila dogo ni mpambanaji na home hakupewa chochote ila leo hii pamoja na shem ni mwalimu tena primary anaendesha land-rover dsc 4 na mjengo wa maana na duka ujenzi
Chai.
Hakuna mwenye maendeleo hayo akubali kupoteza muda kufanya kazi mshahara usiozidi laki 3.
 
Tatizo sio hela tatizo ni mindset inayotengenezwa na hali ya kiuchumi. Nina mademu wawili mmoja familia inajiweza na mwingine familia ya kipato cha chini sana. Huyo wanaojiweza kwao mapenzi hajui ila yuko real, nikitaka kuoa kuhusu yeye sijiulizi mara mbili. Ana akili ya maisha kuliko maelezo, ana uzoefu na shughuli za nyumbani kwao na akishauri kitu unajua hapa kuna uhai wa akili. Nimeanza kumuona tupo sekondari, form four kapiga Div. 1 ya 10 serikalini, dip kamaliza na 4+ GPA.

Huyu mwingine mrembo zaidi, bright future behind her, ngozi nyororo na mapenzi anayajua sana. Huyu nimemkamata anacheat mara mbili, mara moja na mbaba mtu mzima kama sponsor. Tatizo ni umaskini hadi kodi ananitegemea wakati yuko chuo. Wadogo zake wote hawajafika form four wanakataa shule, yeye tu ndio kapiga diploma kwa mbinde na penyewe kasoma mwaka mmoja wa ziada kisa akili chache kichwani na kuendekeza starehe akafeli mtihani (sababu kwao huwezi pata starehe, na elimu sio kipaumbele ukoo mzima). Mdogo wake aliumwa familia ikashindwa kumpeleka hospitali baadae mara mapepo mara malaria imepanda kichwani.

Kuna muda wote nilitaka kuwaacha, huyu matako makubwa akasikitika kwanini namuacha wakati natakiwa kumlipia kodi mwezi unaofuata.
Huyu mwingine alidai anajifunza kunizoea maana namkaripia na mimi ni mkorofi (ni kweli), kwanza niko mpenzi wake wa kwanza.

Huyo mmoja kasoro zake zote nikitafuta chanzo ni hali duni ya nyumbani kwao ambayo imemuingia akilini na kwenye lifestyle. Anapenda sherehe kama MC, kuchangisha birthday parties, kwenda harusini kiholela na beach parties. Familia yao ina matatizo ambayo ukizaa naye tu lazima watoto wayaridhi na siko tiyari. We unaunganisha familia ambayo wajomba walikataa shule, binamu alijiua kisa umaskini, kule walikosa hela ya kwenda hospitali wakampeleka kwa mchungaji kuombewa. Tafrani tu.

Kinachokataliwa sio umaskini ni madhara yatokanayo na umaskini. Sasa nije kuoa miaka 5 au 6 baadae niambiwe nimebagua si kunisingizia, kwanza huyo matako makubwa najitahidi kumuacha. My worst nightmare ni itakuwaje nikimpa mimba? Maana habari za hubby na kunitajia majina ya watoto zimeanza.
Darasa zito sana.

Hapo ukiweka moyo wa huruma utaingia kwenye majuto ya milele
 
Umetema madini mzee..

Maskini aliejisahau ni mzigo mkubwa, apo ata familia inaweza kuja kukuletea sulubu baadae, umeangalia mbali sana

Kwaiyo Matako makubwa anajichoresha tu
Huyo nikishalala nae hata story hatuna. Ananikera tu, kuna siku tukabishana Diamond anadate na Zuchu, nilikuwa nabisha kumbe sijui. Yule good upstairs hawezi leta habari za hivyo
 
We hakuna anaekupenda hapo, zaidi wanapendea hela zako, mtoto wa kike hata kwao wakiwa matajiri vipi, mali zote ni urithi wa watoto wa kiume.
Anayenipendea hela ni mmoja, huyo mwingine mwaka wa tatu huu hata sijui namba yake imesajiliwa jina gani. Hajawahi omba hata mia ya kujazia kwenye vocha, hela zangu anazipata kwenye zawadi na outings. Namjua kukuzidi, hakuna gold digger anafake miaka mitatu yote
 
Walengwa ni mabinti wenye soko kubwa chini ya miaka 28

Kwa ulaya na Marekani mambo ya kuhusisha familia hayana uzito kama huku kwetu, hata binti aolewe na kapuku hayo ni maamuzi yake na atapewa kila baraka.

Shida inakuja kwetu Afrika

1.familia ya binti ipo vizuri kiuchumi, binti, kaka, dada na wadogo zake wamesomeshwa shule private, hawajawai kulala njaa, parking ina gari kadhaa, n.k.

ndugu wengine nao hasa wa upande wa baba kina baba mdogo / mkubwa nao wapo vizuri

binti anaona kabisa familia yake na ndugu zake wana status ya juu, wewe ulie na hali ya chini ni kama unaenda kuweka doa.

mwanaume huna hata pikipiki, binti wa watu kalelewa mambo safi, hao kaka zake watakuelewa kweli umtoe dada yao ushuani umpeleke uswazi ?
Una akili ndogo sana.
Matajiri wengi 75% wametokea familia masikini,
Masikini ni baba yake yeye ana future yake
 
Walengwa ni mabinti wenye soko kubwa chini ya miaka 28

Kwa ulaya na Marekani mambo ya kuhusisha familia hayana uzito kama huku kwetu, hata binti aolewe na kapuku hayo ni maamuzi yake na atapewa kila baraka.

Shida inakuja kwetu Afrika

1.familia ya binti ipo vizuri kiuchumi, binti, kaka, dada na wadogo zake wamesomeshwa shule private, hawajawai kulala njaa, parking ina gari kadhaa, n.k.

ndugu wengine nao hasa wa upande wa baba kina baba mdogo / mkubwa nao wapo vizuri

binti anaona kabisa familia yake na ndugu zake wana status ya juu, wewe ulie na hali ya chini ni kama unaenda kuweka doa.

mwanaume huna hata pikipiki, binti wa watu kalelewa mambo safi, hao kaka zake watakuelewa kweli umtoe dada yao ushuani umpeleke uswazi ?
Ulaya na Amerika ipi unaongelea?

Kila sehemu kuna mila na desturi zao, hata Tanzania hii kuna mila ambazo hata uwe na pesa vipi huwezi kuoa koo, kabila au imani fulani. Jionee:


View: https://youtube.com/shorts/zK8IR2K-m1Q?si=9ss7-sdwAn516bWS
 
Anayenipendea hela ni mmoja, huyo mwingine mwaka wa tatu huu hata sijui namba yake imesajiliwa jina gani. Hajawahi omba hata mia ya kujazia kwenye vocha, hela zangu anazipata kwenye zawadi na outings. Namjua kukuzidi, hakuna gold digger anafake miaka mitatu yote
mwanamke huyo labda kama yuko kwao. kumbuka siku ukimuoa wazazi wake watakata pesa yote wanayompa. mzigo wote utakuwa wa kwako, na ameshazoea maisha ya kifahar, hapo ndio akili itakukaa sawa
 
mwanamke huyo labda kama yuko kwao. kumbuka siku ukimuoa wazazi wake watakata pesa yote wanayompa. mzigo wote utakuwa wa kwako, na ameshazoea maisha ya kifahar, hapo ndio akili itakukaa sawa
Nasema hivi, namjua kukuzidi. Kuwa na hela kwao haimaanishi wanampa atumie kiholela, matumizi yake nayajua hamna kitu anaweza nificha, makadirio ya transactions zake za simu na benki najua.

Alafu mimi sio kwamba nina akili finyu ya mtaa na hayo unayosema leo nilishayaweka kwenye mizani muda mrefu. Mojawapo ya sababu inayonifanya nimkubali ni wazazi wake ambao kwa uchunguzi wangu wako vizuri sana kimalezi, binti hafyatuki tu akawa wife material kwenye familia ya walevi wa ulanzi. Hata dada yake amenyooka. Kwanza familia yao haina migogoro, pia mama yake anampenda mamamkwe wake na huwa anaishi nae sababu baba hakai sana nyumbani.

Huyo mwingine kwanza wazazi wake waligoma kumlipia ada, chakula na malazi alipo-carry somo. We unaweza oa mtu akifeli wazazi wanakaa pembeni, walitarajia aishije? Si ndio maana kuna binamu yake alijiua.
Mdogo wake kaumwa wameshindwa kumpeleka hospitali wakaenda kwa wachungaji uchwara, degedege wanaita mapepo. Wewe unaweza oa hapo?
 
Nasema hivi, namjua kukuzidi. Kuwa na hela kwao haimaanishi wanampa atumie kiholela, matumizi yake nayajua hamna kitu anaweza nificha, makadirio ya transactions zake za simu na benki najua.

Alafu mimi sio kwamba nina akili finyu ya mtaa na hayo unayosema leo nilishayaweka kwenye mizani muda mrefu. Mojawapo ya sababu inayonifanya nimkubali ni wazazi wake ambao kwa uchunguzi wangu wako vizuri sana kimalezi, binti hafyatuki tu akawa wife material kwenye familia ya walevi wa ulanzi. Hata dada yake amenyooka. Kwanza familia yao haina migogoro, pia mama yake anampenda mamamkwe wake na huwa anaishi nae sababu baba hakai sana nyumbani.

Huyo mwingine kwanza wazazi wake waligoma kumlipia ada, chakula na malazi alipo-carry somo. We unaweza oa mtu akifeli wazazi wanakaa pembeni, walitarajia aishije? Si ndio maana kuna binamu yake alijiua.
Mdogo wake kaumwa wameshindwa kumpeleka hospitali wakaenda kwa wachungaji uchwara, degedege wanaita mapepo. Wewe unaweza oa hapo?
nakwambia hivi huyo mwanamke wazazi wake wakijua anaolewa na masikini watamtenga , hskuna mzazi anaetaka mtoto wake aolewe na masikini,..
 
nakwambia hivi huyo mwanamke wazazi wake wakijua anaolewa na masikini watamtenga , hskuna mzazi anaetaka mtoto wake aolewe na masikini,..
Maskini nani?

Mwanzoni ulisema anazuga maisha ananipendea hela (kwa mantiki hii ulimaanisha nina hela), baadae ukadai nikimuoa mzigo wa matumizi utaniangukia, sasa unadai wazazi wake watamtenga akiolewa na mimi na unadai mimi ni maskini (ndani ya lisaa tiyari ramri yako inaonyesha nimefirisika).

Mtu umemsoma leo hata jina humjui, ushajua tabia zake na atalofanya na ambavyo wazazi wake watafanya. Kuna mawili, ama una nyota ya kubeti, ama ya uganga wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom