Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #181
Same here broMzima wa afya kabisa ,naendelea kufurahia likizo yangu na familia
Karibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same here broMzima wa afya kabisa ,naendelea kufurahia likizo yangu na familia
Karibu sana
Nimevote apo kikubwa uhaiVishu Mtata gari yako imesha fika au bado 😆
Bro acha kutupa moyo, hiyo Prado rangi ya kijivu sio yako 😁Nimevote apo kikubwa uhai
Usha anza, yupo Sasa ??Safi kabisa
Yule binti hajambo?
Prado, kuna uzi nilisoma huku zinachomoka ringi, niliigawa ile mkuu.Bro acha kutupa moyo, hiyo Prado rangi ya kijivu sio yako 😁
Upo JF na hauna gari ¿ Ulipataje approval yakuwa expert member maana mimi nilituma Card ya BMW yangu ndio nikawa expert membership 😎Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao cha dharura.
Lengo la kuitisha kikao ni kujua idadi ya ma jobles tusio na magari, humu jf maana kila uzi ninao tembelea idadi kubwa ya member ni mataita.
Tuki ijua idadi yetu, tuna weza tukawa tuna waomba lift hawa ma don😆😂.
I mean no malice to nobody .
View attachment 3201802
aisee ume bakiza nini Sasa??Prado, kuna uzi nilisoma huku zinachomoka ringi, niliigawa ile mkuu.
Ita kuwa modes, wali sinzia 😂😂Upo JF na hauna gari ¿ Ulipataje approval yakuwa expert member maana mimi nilituma Card ya BMW yangu ndio nikawa expert membership 😎
Passo mkuuaisee ume bakiza nini Sasa??
Sasa kwenye hichi kikao una fanya nini??Passo mkuu
Waliopiga kura hapo wengi nipo nao kundi mojaSasa kwenye hichi kikao una fanya nini??
Wewe endelea kushindia shati la kijani, usi jifanye pastor hapaKwa Neema na Baraka za Mungu, mwaka huu mpya usipite, kabla nyote kupokea muujiza wa magari yenu.
Epukeni uvivu, vaene mioyo ya ujasiri bidii, na subra katika kuyafikia malengo yenu mahususi kwa mwaka huu 2025.
Na Mungu Muaminifu atawafanikisha,
Aimen 🙏
Mmeanza figisu nyie hicho cheo changu mniachieWe mbona wa kishua sana, siku uki muona makamu wa raisi una weza hama chama😆😂
mimi nimeshatekeleza wajibu wangu wa kinabii kwenu wadau wa JF msio miliki magari, na mpo wengi kweli ndrugo zango, bado kidogo mlingane na wasio na ajira,Wewe endelea kushindia shati la kijani, usi jifanye pastor hapa
mimi Kama raisi wa ma jobless, nasema nyinyi wa kishua hamtu fai hukuMmeanza figisu nyie hicho cheo changu mniachie
Mkuu hivi hilo shati la kijani, una livuaga kweli😂😂mimi nimeshatekeleza wajibu wangu wa kinabii kwenu wadau wa JF msio miliki magari, na mpo wengi kweli ndrugo zango, bado kidogo mlingane na wasio na ajira,
sidaiwi chochote mbele ya haki siku ya mwisho 🐒
hili swala la kukataana sisi mafukara limetokea wapi?mimi Kama raisi wa ma jobless, nasema nyinyi wa kishua hamtu fai huku