Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Alikusudia kusema wengi wao ni wezi huko maofisini...kama CAG reports zingefanyiwa kazi wengi wangekuwa jela!
Ccm wakiachana na vikindi vya miungu watu wachache wanaojifanya wao ndio wenye nchi na kulea mafisadi hayo unayotabiri hayawezi kutokea.Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Obviously msomi ana akiliSasa chukua hao wa ma PHD kumi wakalishe na msukuma peke yake kama hawajatoka jasho ogopa mtu anae tumia akili yake timamu na yule alie kalili ma upuuzi kibao l.Ndio hayo maupuuzi mmejaza kichwani kwamba msomi ndo ana akili.
Wasukuma wana mchango mdogo kwenye uchumi wa nchi? Sijui kama umewahi kutembelea maeneo tofauti ya nchi hii tofauti na mkoa uliozaliwa. Unless kama una maana yako ya uchumi.uzuri wana mchango mdogo sana kwenye uchumi wa nchi...😂
Umejaa chuki na ubaguzi. We wa wapi kwani?Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Leta ushahidi.uzuri wana mchango mdogo sana kwenye uchumi wa nchi...[emoji23]
Mchango mdogo wakati mikoa yote wa kaskazini ukiijumlisha ndio unapata GDP ya mkoa mmoja tu wa Mwanza, bado unasema hawana tija.Wasukuma wana mchango mdogo kwenye uchumi wa nchi? Sijui kama umewahi kutembelea maeneo tofauti ya nchi hii tofauti na mkoa uliozaliwa. Unless kama una maana yako ya uchumi.
Sijui nilitaka kusemaje. Inaonekana wewe hujui maana ya uchumi mzee. Hayo unaodai wafanyabiashara siyo wa huko kwani wanaishi na watu ama wako hewani au wanaishi huko unakopasema? Soma ujielimishe maana ya uchumi kwanza maana neno hilo ni gumu kwako, kwamba mfanyabiashara atoke huko aje Kanda ya Ziwa kwa sababu anawapenda watu wake ama kuna fursa kubwa? Kwa nini wasibaki huko kwenu? Anyway watabaki huko kwani kuna nini? 🤣🤣Wafanyabiashara wengi wa huko ni watu wa kaskazini, nyie mko mnafuga n'gombe
Wanyantuzu ndo akina nani? Wanyantuzu ndo wasukuma haswa! Wewe unadaka mambo usiyoyajua! Maeneo gani huko ambako wanafanya chagulaga na kunyea porini?Kanda ya ziwa Karne hii Bado watu wanajisaidia porini,wanautanaduni wa chagulaga yaani ukiwa kwenye ngoma unaweza kimbaka mwanamke,Bado hawaelewani miongoni mwao, Kuna Wahaya japo wapi Kanda ya Ziwa hawataki kufananishwa na wasukuma,Kuna Wakurya,Wajalio,wanyantunzu wa bariadi wote hawa hawako pamoja. Lakini Kuna wakara,wazanaki na Hata Kagera Kuna makabola meingi yapo tofauti na Wahaya so unaposema Kanda ya Ziwa wako wengi unabidi uchanganue usiwajumiishe wote sio wamojja hao.
Una maanisha wabunge wa sasa au hata wale waliopita: akina Dr.Festus Limbu (Magu), Dr.Lawrence Masha (Nyamagana), Dr.Anthony Diallo (Ilemela), Prof.Pius Mwandu (Maswa), Dr.Kebwe S. Kebwe (Serengeti), Prof.Opulukwa (Maswa), Prof.Philemon Sarungi (Rorya), n.k?Kanda ya Ziwa ni Washamba, hawana impact yoyote, wabunge wao wote la saba
Asante kwa ukumbusho [emoji23]uzuri wana mchango mdogo sana kwenye uchumi wa nchi...[emoji23]
Na kwa kutokuwapenda kwao huko ndo inabidi muwapelekee moto hasa 🔥. Na wajiandae; baada ya miaka 100 mbeleni asilimia kubwa ya ardhi ya Tanzania itakuwa mikononi mwa Wasukuma. Kila palipo na ardhi yenye rutuba Wasukuma lazima wajipenyeze hapo.Wanyantuzu ndo akina nani? Wanyantuzu ndo wasukuma haswa! Wewe unadaka mambo usiyoyajua! Maeneo gani huko ambako wanafanya chagulaga na kunyea porini?
Nyinyi hamuwapendi wasukuma na hamtakaa muwapende ndo maana umekalia kuongelea mambo ya kijinga!
Haya maeneo ya Geita niliyokutajia ndio Geita vijijini. Unataka Geita ipi ?- nimezungumzia GEITA VIJIJINI, kaangalie Maendeleo ya vijiji vya GEITA VIJIJINI na Vijiji vya Wilaya ya Hai
-Hai, ndio Wilaya yenye mabilionea wengi wa kichagga
Amekariri na vijumba vyao vya enzi ya ukoloni. Sasa hivi Geita wanapiga mijengo ya kisasa na wanaishi wenyewe. Siyo wao huko Hai wanajenga vijumba Kwa ajili ya waombolezaji, wenyewe wako mikoani wanakaanga chips.Mara vijiji mara mji! Wewe na wenzako mnapenda sifa za kijanga tu! Wewe unadhani Geita vijijini watu hawajengi nyumba nzuri nyinyi ndo mnajua kujenga peke yenu? Kama unazungumzia Mabilionea wa hela za Kibongo njoo Katoro Geita vijijini uwaone!
Bora huyo kuliko mwenyekiti wa CHADOMO Mwenye Div 0 ya Ihungo.Usitukane ongea kwa staha. Yani, nchi imsikilize form four failure? Hamna hata chembe ya aibu? Hamjui Mwenyekiti alishawadharau kuwateulia Mgalu feki?
Bila kusahau Tabora na KataviSisi ndo tulimuangusha Membe 2015.Na 2030 sisi ndo tutawachagulia Rais.Kuigawa Mwanza na Shinyanga lilikuwa kosa kubwa sana.Maana wajumbe NEC na mkutano mkuu Baada ya kutoka Mwanza na Shinyanga, sasa wanatoka Mwanza,Shinyanga,Geita na Simiyu. Hawa ndo wanaleta Rais. Walimchagua Magufuli 2015 Kikwete hatawasasahu kwa kumwangusha Membe.
Pesa alitoa Sana kusaidia harakati za Uhuru John Rupia msukuma toka Shinyanga. Hao unaowataja walikuwa wanywa kahawa Tu.Wapigania Uhuru 90% walikuwa wenyeji wa Pwani na Moslems na ndio maana Kuna baadhi ya Picha zinamuonesha Mwl Amevaa barakashia,
Hivi unawajua Matajiri wa kutoka Pwani Kina Dossa Azizi walivyotoa pesa zao kupigania Uhuru?
Hata nusu ya Bunda ni Sukuma Tu. Aidha nusu ya chunya na Manyoni ni Sukuma tuYaani ndo itakuwa balaa kabisa.Yale majina matano 2030 itakuwa balaa .Mimi ninajua Mwanza,Shinyanga, Simiyu na Geita hawa huwa wanapigia kura jina moja. JK HATAWASAHAU walivyomnyima kura Membe.