"Never underestimate the power of fools in large numbers. They can elect one of their own to rule".Kanda ya ziwa ndyo kila kitu kwa Nchi hii ila kwa wanaoelewa. Na na ndyo kanda inayotoa watu makini sana kwa wanaoelewa pia wanaelewa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Never underestimate the power of fools in large numbers. They can elect one of their own to rule".Kanda ya ziwa ndyo kila kitu kwa Nchi hii ila kwa wanaoelewa. Na na ndyo kanda inayotoa watu makini sana kwa wanaoelewa pia wanaelewa hili
Typical CHADEMA rhetoric borrowed from GermanKanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Mimi mwenyeji wa Ngara Kagera, ni wa kanda hiyo hiyo ya ziwa. Wasukuma ndio kabila kubwa kuliko yote Tanzania.Tofautisheni usukumani na kanda ya ziwa maana siyo kila mwenye asili ya kanda ya Ziwa ni msukuma
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Fikra za ukanda kwa Tanzania zinajengwa na wanasiasa wajinga wajinga tu wasioona mbali kwa mustakabali mwema wa taifa.Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Hakuna shida, kwani, hawalipi Kodi? Mgao wa pesa ya maendeleo inabidi Uwe, mtu mmoja shilingi moja! Lakini katika kujenga viwanda na miundombinu, vigezo vya kisayansi ndio vitumike, sio idadi ya watu, na vigezo vingine vya kipuuzi.Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Hai Kuna nini pale ? Mashina ya migomba kama mguu wa mbuzi. Vijiji vimechoka hakuna mzunguko wa fedha. Nenda Geita vijijini ukutane na trading Centers zilizochangamka kama Katoro, Nkome, Nzera, Lwamgasa, Nyarugusu na Bukoli. Usilinganishe Hai na Geita, huko Hai ni makaburini Tu. Koma kabisa.Unaweza kulinganisha Maendeleo ya VUNJO na kisesa kwa Mpina?
Au Unaweza Kulinganisha GEITA VIJIJINI na Hai kwa Maendeleo?
Wanaozaliana Sana ni Kigoma, rukwa, ruvuma,Mtwara , mikoa ya Nagari ya Hindi , znzKanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Mzee Mohamed Nina swaliBale...
Abdul na Ally Sykes walikuwa vijana.
Sheikh Suleiman Takadir ndiye alikuwa Mzee.
- nimezungumzia GEITA VIJIJINI, kaangalie Maendeleo ya vijiji vya GEITA VIJIJINI na Vijiji vya Wilaya ya HaiHai Kuna nini pale ? Mashina ya migomba kama mguu wa mbuzi. Vijiji vimechoka hakuna mzunguko wa fedha. Nenda Geita vijijini ukutane na trading Centers zilizochangamka kama Katoro, Nkome, Nzera, Lwamgasa, Nyarugusu na Bukoli. Usilinganishe Hai na Geita, huko Hai ni makaburini Tu. Koma kabisa.
Ndo hapo sasaKwani viongozi wanapatikana kwa njia ya kura hadi uogope wingi wao?
Na Raisi ndiye anaechagua viongozi wengine woteUzuri n kua viongozi hawachaguliwi ki democratic hasa nafasi ya Rais
Mara vijiji mara mji! Wewe na wenzako mnapenda sifa za kijanga tu! Wewe unadhani Geita vijijini watu hawajengi nyumba nzuri nyinyi ndo mnajua kujenga peke yenu? Kama unazungumzia Mabilionea wa hela za Kibongo njoo Katoro Geita vijijini uwaone!- nimezungumzia GEITA VIJIJINI, kaangalie Maendeleo ya vijiji vya GEITA VIJIJINI na Vijiji vya Wilaya ya Hai
-Hai, ndio Wilaya yenye mabilionea wengi wa kichagga
Kanda ya ziwa wameshatushika pabaya kutokana na kuzaliana kwao kwa wingi. Hasa wasukuma. Hata Rais akitoka upande mwingine, kuna nafasi muhimu hazitaikwepa Kanda ya Ziwa ile ya Wasukuma na subtribes zake. Ujumbe ndani ya NEC ya imedhihirisha hilo. Na wamejua umuhimu wa kuja pamoja. Hatuna cha kufanya.Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.
Yeah, ni kanda kubwa na ina watu wengi ambao ni turufu kwenye medani za siasa, biashara na uchumi. Lakini viongozi wake hawaleti maendeleo na wana ubinafsi. Kifupi viongozi hawana ushawishi serikalini kwenye kuleta maendeleo, ni Magu tu ndiyo akithubutu naye kwa sababu alikuwa kiongozi wa juu. Kanda ya ziwa unayoiona imejengwa na juhudi za sekta binafsi na siyo serikali. Kwa sasa kanda haina waziri hata mmoja, mawizri wote wamepurulwa. Siku ikitokea uchaguzi umefuata haki, wataamua rais awe nani!! Ipo siku nchi haitaamini kilichotokea. Watu wa kule hawana mapenzi na rais kutoka ccm kabisa.
Ongeza Prof. Muhongo na Waitara na Esther Matiko na ChegeMpina na Biteko sio darasa la saba, punguza dharau.
Makosa waliyafanya wale waliojidai wanawasema Sukima g ambayo haikuwepo, mdomo huo umewaumba na wao sasa wame gang up...Kanda ya ziwa wameishaujua mtaji wao kwenye siasa za Tanzania. Wanajua jinsi walivyo wengi. Na bahati mbaya au nzuri ndiyo wanaongoza kwa kuzaliana nchini. Dalili zinaonyesha wanataka kuutumia mtaji huo kukandamiza wengine. Leo hii hata wabunge wao ni kama hawasemehi majimbo yao tena bali kanda ya ziwa yote. Ni kama kila mbunge wa eneo hilo anawakilisha kanda yote.
Tusipokuwa makini watatukandamiza nchi yote sababu ya wingi wao. Watataka lazima mtu fulani mkubwa serikalini atoke kwao. Watalazimisha gawio kubwa la miradi nk. Nadhani huko mbeleni mfumo wa majimbo hautaepukika.