Tusipobadili mfumo wa Elimu, kila mwaka tutajenga madarasa hadi viwanja viishe!

Sasa mbonqa huna lolote lw maana uliloshauri? Unasema tu waangali3 mfumo, je kweny3 huo mfumo wewe umeona dosari gani hasa mahsusi? J3 ujenzi wa madarasa na madawati wewe hujaona kuwa kama sehemu ya suluhisho la hizo changamoto?
 
Sasa mbonqa huna lolote lw maana uliloshauri? Unasema tu waangali3 mfumo, je kweny3 huo mfumo wewe umeona dosari gani hasa mahsusi? J3 ujenzi wa madarasa na madawati wewe hujaona kuwa kama sehemu ya suluhisho la hizo changamoto?
" siyo suluhisho la kudumu"
 
H
Wabongo wanafyatuana Sana.
Ndo maana kila mwaka watoto wanaongezeka.
Hilo nalo ni neno.Nchi tulikuwa milioni tisa miaka ya sitini sasa tuko zaidi ya mara 6 (600% plus)
Wakati wa Raisi Nyerere alijua kwenda na wakati kuanzisha UMATI(Uzazi wa Mpango) akisaidiwa na taasisi za Umoja wa Mataifa.
Nimemsikia Raisi Magufuli akihimiza kufyatua watoto kwa kwenda mbele,lakini ameishia kusema wingi ni mtaji bila kuonyesha huo mtaji wa uzazi bila mipaka.
Je Nyerere na Magufuli nani sahihi kwenye sera za uzazi?
Kwa mwendo huu usishange hao hao wakaja na sera ya mtoto mmoja.
 
Tukianzia kwako mkuu, wewe unadhan nini hasa kifanyike

Wewe ni sehemu ya tatizo la nchi hii. Sio kila mtu atakuwa polisi, hakimu na bwana jela. Sio kila anayetambua tatizo basi huyo huyo aje na suluhisho!! Kwani Mungu aliposema “Usiue” alikuwambia pia usiue kwa risasi, panga, jiwe, sumu nk?? Go beyond kutaka anayesema tatizo aseme pia na suluhisho, je wewe nafasi yako ni nini??

Turudi kwenye mada. Elimu isiyo na msingi sio kwa ajili ya kila mtu!! Elimu ya juu sio kwa ajili ya kila mtu. Moja ya njia za kupunguza kuwa na wahitimu wa elimu ya juu isiyowasaidia katika kupata ajira au hata kujiajiri - ni kuthamanisha elimu ya msingi. Ili anayemaliza darasa la saba awe na uwezo wa kuamua anataka au anaweza nini maishani mwake. Kupata mwanafunzi aliyepata chini ya nusu ya alama za jumla na kusema aende sekondari ni kupeleka tatizo ngazi ya juu bila kumsaidia.

Elimu ya msingi iwe ni elimu ya maarifa na stadi za maisha! Sio nadharia!!
 
Na hapo serikali inatulazimisha tuseme harafu baadaye hakuna madarasa.
Achana na hayo mbaya zaidi wanasema kujiajiri na wanao sema hivyo wameajiriwa.
Addition points
 
Wanajenga madarasa ya kupigia story watoto
 
Wazo zuri lakini linahiaji maboresho. Akiangalia darasa la saba tu atakuwa amechelewa. Muda wa kujenga madara ya nyongeza hautatosha, Nashauri tathmini ifanyike kuanzia darasa la tano ili madarasa yajengwe kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa na si kwa njia ya zima moto.
 
Ukuaji Wa uchumi China umekuja ivi karibuni wakishakuwa wengi mbona.
 
Mwisho kama elimu ya uzazi hatitolewa kwa baadhi ya maeneo TANZANIA tumekwisha.
[/


Hapo ndo napingana nawewe! Nchi haiwezi kuendelea bila watu! Wenye uwezo wa kuzaa wazaliane tu hili linchi ni likubwa mno na liko tupu
 
Leo umetisha mzee
 
Wape ushauri nn cha kufanya
 

Acheni ubinafsi na uoga kuhusu changamoto ya population hatuwezi kuitatua kwa kuacha kuzaa,tujifunze kutoka Nigeria, China na India kwani wao wanawezaje?!!!!!!
 
Kuna haja ya kupitia upya sera ya elimu.
1. Elimu ya msingi iwe form four.
2. Elimu ya sekondari iwe form six na kwamba isiwe kumbakumba. Yaani ziwepo shule chache za sekondari na idadi ya wanafunzi iwe fixed. Wazazi watakao taka watoto wao ambao hawajafaulu kwenda sekondari wawe na uhuru kuwaleka private.
3. Vyuo vikuu navyo vidhibitiwe idadi ya wadahiliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…