Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

Mnapenda kufanya sasa kwa sababu mmeshamuona Mhe. Samia Suluhu Hassan kama uchochoro kupitisha ajenda zenu zilizofeli katika tawala zilizopita.
 
Mnapenda kufanya sasa kwa sababu mmeshamuona Mhe. Samia Suluhu Hassan kama uchochoro kupitisha ajenda zenu zilizofeli katika tawala zilizopita.
ajenda ipi ilifeli awamu iliyopita wakati huu mchakato umeanza awamu ya tano?
 
Wamasai ni watu wapuuzi sana yaani fikiria unatelekeza maiti ya baba yako porini iliwe na fisi
Hili jambo ni vita vya nchi mbili kiuchumi. Kenya anawatumia wamasai hawa kuharibu ekolojia ya wanyama upande wa Tanzania ili wanyama wahamie Kenya na Watalii wasije tena Tanzania. Wanyama wakiondoka Tanzania basi ndo kifo cha sekta ya Utalii Tanzania ambayo kwa miaka mingi ndo imekuwa ikichangia zaidi kwenye pato la Taifa
 
Hata tukisema tuzuie wahamiaji,hatuwezi zuia watu kuzaliana hasa kwenye jamii zetu za kiafrika.
Futa Ngorongoro kama eneo maalum. Acha watu waishi. Kwanini wanyama wanapewa kipaumbele kuliko binadamu? Mna ajenda zenu za kuondoa baffer iliyowekwa na wamaasai pale. Mnataka kumaliza wanyama wetu.
 
Futa Ngorongoro kama eneo maalum. Acha watu waishi. Kwanini wanyama wanapewa kipaumbele kuliko binadamu? Mna ajenda zenu za kuondoa baffer iliyowekwa na wamaasai pale. Mnataka kumaliza wanyama wetu.
Utakuwa umechanganyikiwa wewe! Serikali imalize wanyama Ngorongoro? Watu tunazungumzia wanyama kulindwa ili utalii uwepo wewe unazungumzia wanyama kumalizwa! utakuwa umewehuka wewe
 
Umewahi kusikia Tibetan Sky Burials?

Hawa ndugu zao wakifa huwa wanakatakata maiti na kuwapa Tai (vultures)
Tena wanakata na kuwagia ndege kama wewe unavyompa mbwa nyama

Kila watu na njia zao za kuwaaga wapendwa wao
Waacheni hata waweke juu ya miti
 
Hilo tu! Si mtengeneze zoo, hao wanyama wanaopotea ili watalii wawaone kwa urahisi? Yaaani ebu nishawishi kwa hoja nyingine. Mimi hii haijanikaa. Aah kumbe umeorodhesha hoja nyingine, ngoja niendelee kuzisoma.
 
3. Kuna taarifa za uhakika pia kuwa Wamasai waishio Ngorongoro hawana hata makabuli. Hivyo ikitokea mmasai amefariki anaachwa aliwe na fisi na mbweha. kibinadamu hii si sawa.
Wafundisheni namna ya kuwastiri wenzao wanaofariki.
 
Mpuuuzi ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…