Tusipotezeane muda! Ukweli ni kwamba 'Ulidanganywa' na 'Wanafiki' kuhusu Kabudi na Lukuvi, ila sasa 'Unatuzuga' na 'Kujikosha' tu Kwao

Hv kuna jitu lilopenda kuabudiwa kama bwana yule????
 
Umenena vyema aisee JK anamharibia mama alianza vizuri but anapoteza focus kadri siku zinavokwenda
 
Mie nawataka wajiajiri ka.a wanavyohubiri ktk majukwaa ya siasa
 
na cha Kushangaza anatolewa na Kupelekwa kuwa Mshauri tena kwa Waziri Mkuu ambaye nae pia mpaka sasa 'anakonda' na hapati Usingizi kwakuwa ameshajua hatakiwi ila basi tu hakuna namna na anavutiwa Kasi.
Mtaalam@ GENTAMYCINE Hapo umenena.muda haudanganyi.
 
GENTAMYCINE siasa kitu Cha ajabu Sana.Hata mwenda zake,aliwatoa wawili na akawarudisha tena.Si wengine Bali ni Simbachawene na Mwigulu.
 
GENTAMYCINE (Antibiotic) katika ubora wako. Mtanzania yeyote akiwa kwenye kiti number moja, anawaona watanzania wengine wote waliobaki ni hamnazo. Hili lilianza hasa awamu ya 5.
 
Umenena mkuu voicer

Cc GENTAMYCINE
 
Awatoe pwanigang. Anajaza wajinga wanajua kupiga tu anaacha vichwa na watendaji bora.
Amesema wajipimie kulingana na urefu wa kamba zao. Kikubwa wasivimbiwe tu (ndiyo maana ya wajipimie). Wewe kama huna kamba kama GENTAMYCINE na mimi, jitulize waache wenye kamba wale kodi zako.

2025 mitano tena, Kazi iendelee.
 
Mama kafeli mapema sana. Hana dira, hana maono na hana mwelekeo. Kwenye vikao vyake sio ajenda yoyote anayoisimamia. Ni vijembe tu na mafumbo ya pwani ndivyo vilivyotawala.
Shida kubwa kwake ni kutokuwa na vision kama kiongozi. Hajui hata anasimamia kipi. Anapelekwa na upepo wa Msoga, chama kuu, praise team kigogo, wapinzani, wakosoaji wa aliyemrithisha, wasanii mazuzu.. Hakujiandaa kushika nchi.. yaani hajui hata jahazi alipeleke wapi. Hana mwelekeo, agenda imebaki kuwa vijembe na kusutana kizenji.
 
Kinachofanya Kassimu a survive mpaka sasa ni dini yake tu hata hivyo hafiki mbali atapigwa chini si muda mrefu within this year
 
Aiseee mnachekesha yani raisi aanze kujikosha kwa kabudi na lukuvi kwa kuwa wao ni Akina nani[emoji3][emoji3][emoji3] mnahisi Huyu mama ni mpumbavu labda hyo maamuz kafanya akiwa kalewa....
Wewe umesema
 
Asante.......lakini pia sisi wengine tunamuunga mkono Mama na tunamuombea kwa Mwenyezimungu atuvushe hapa tulipo.Tunajuwa sooner au later ataruhusu new katiba na mwamba aachiliwe na waliohusika kuchunguzwa.


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Alaaaniwe amtegemeae mwanadamu. Kuna wasomi wengi sana ktk nchi lakini kula siku ni mawaziri wale wale
Hapo tambua kuna mambo mawili,kuna kusoma na kuelimika na kutumia elimu kuratibu mambo,na kunakusoma ukaelimika na kushindwa kuratibu mambo kisomi,hili la kwanza,
Pili hakuna binadamu asie na mapungufu,hivyo basi kumhukumu mtu kwa mabaya na kushindwa kuona mema/jema lake nalo ni tatizo,
Lukuvi pamoja na mapungufu yake uswaiba wake na mwendazake vyovyote ilivyo hatuwezi kukataa kukubali amejaribu kuinyoosha wizara ambayo wengi ilikuw a changamoto tena kaalamoto,ardhi imekuwa wizara yenye mchango unaoonekana kwenye kulitunisha kapu la serikali,mifumo aliyosaidia kuiweka kukusanya mapato imetusaidia wengi katika kale ka ukakasi na mifumo ya kimazoea ya utendaji wa wizara nyingi.
Leo hii unamiliki kiwanja huko newala wewe uko muleba unakusanya uduvi kuitikia wito wa kujiajiri ila,muda wakulipa kodi ya ardhi ukifika unajiwekea kasaliokako kwenye simu na kuitisha control no yako ya malipo mnamalizana na Lukuvi,unaendelea na majukumu yako kwa amani.
Popote watakapokuweka Ndugu yangu Lukuvi,tambua baadhi yetu watanzania tutakuheshimu kW mema yako katika kuichakata na kujaribu kuipa sekta ya ardhi thamani yake,umejaribu kufanya jambo,umejaribu kwa weledi mkuu,hayo mengine waachie wenye mamlaka ya uteuzi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…