Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Kuna kujiajiri na kujiajiri kubangaiza maisha, means kujiajiri definition au maana yake sio kuuza duka tu.
Na watu wengi ndipo wanapojichanganya kwenye hiyo definition wakisikia neno "kujiajiri" ikiwemo wewe.
Mtu anayeuza duka anabangaiza maisha lakini bado amejiajiri.
CEO au mtu anayemiliki biashara kubwa au company kadhaa ambapo kwa mwezi anaingiza sio chini ya 100 to 200 million kama faida na anawalipa wafanyakazi wake mishahara ya laki mpaka million kadhaa na mwenyewe anajilipa million kadhaa. naye amejiajiri vilevile.
Au mfanya biashara wa kiwango cha kati ambaye anaingiza 3 to 5 million kwa mwezi naye amejiajiri vilevile.
So hapo wote wamejiajiri ila ukubwa wako wa mawazo na uwezo wako wa akili ndio utadetermine umejiajiri kivipi na hiyo ndio maana kuna course za uchumi na biashara (MBA) nk.. au hizi courses zisingekuwepo.
Pia ni ngumu kumkuta mtu aliyesoma akiuza duka (kubangaiza maisha) bali kama anafanya biashara basi ni something reliable au labda awe msomi uchwara.
Sababu kwa akili ya mtu aliyesoma akaelimika kuuza kaduka bado ni hatua ya chini sana kuweza kuwa something realiable bali lazima atataka kuboresha na kupanda juu zaidi kwenye chochote kile.
Na usidiscourage kujiajiri au kungekuwa hakuna sekta binafsi ambazo wao ndio watakuajiri ili wakulipe hizo million mbili.
Sababu Company binafsi zote zimeanzishwa na watu walio na uthubutu, sio waoga wa maisha na wenye akili ili watengeneze ajira nyingi zaidi kwa wengine. au kama kila mtu anakimbia moto then nani atazima moto?
Na usitegemee 2 million serikalini easily na kwa mwingine million mbili anaona ni pesa ya kawaida sana hivyo atataka kutafuta zaidi na zaidi na sio kustick kwenye one point then ukistaafu urudi tena chini. angalia wastaafu wanavyohangaika sasa hivi.
Na Fun fact hakuna tajiri yoyote duniani aliyeajiriwa pia kusema matajiri wanasomesha watoto wao ili waajiriwe sio kweli kabisa, labda tajiri mbadilisha mboga.
bali matajiri watasomesha watoto wao ili waje kuwarithisha na kuendeleza utajiri wao sasa tuone wewe uje kuwarithisha wanao hiyo ajira.
Kwangu mimi kuajiriwa ni uoga wa maisha considering sipendi kuwa chini ya kima yoyote hivyo nitapita njia zangu mwenyewe. and actually that's what a man supposed to be fearless, brave, strong physically and mentally. and not to be a scared little girl.
So hapo hakuna ambaye yuko sahihi zaidi ya mwingine bali kila mtu anakuwa na preference zake na sio universal truth.
Kikubwa kinachowatofautisha hao wawili ni ukubwa wa mawazo, ambitions na akili ya mtu husika.
Na watu wengi ndipo wanapojichanganya kwenye hiyo definition wakisikia neno "kujiajiri" ikiwemo wewe.
Mtu anayeuza duka anabangaiza maisha lakini bado amejiajiri.
CEO au mtu anayemiliki biashara kubwa au company kadhaa ambapo kwa mwezi anaingiza sio chini ya 100 to 200 million kama faida na anawalipa wafanyakazi wake mishahara ya laki mpaka million kadhaa na mwenyewe anajilipa million kadhaa. naye amejiajiri vilevile.
Au mfanya biashara wa kiwango cha kati ambaye anaingiza 3 to 5 million kwa mwezi naye amejiajiri vilevile.
So hapo wote wamejiajiri ila ukubwa wako wa mawazo na uwezo wako wa akili ndio utadetermine umejiajiri kivipi na hiyo ndio maana kuna course za uchumi na biashara (MBA) nk.. au hizi courses zisingekuwepo.
Pia ni ngumu kumkuta mtu aliyesoma akiuza duka (kubangaiza maisha) bali kama anafanya biashara basi ni something reliable au labda awe msomi uchwara.
Sababu kwa akili ya mtu aliyesoma akaelimika kuuza kaduka bado ni hatua ya chini sana kuweza kuwa something realiable bali lazima atataka kuboresha na kupanda juu zaidi kwenye chochote kile.
Na usidiscourage kujiajiri au kungekuwa hakuna sekta binafsi ambazo wao ndio watakuajiri ili wakulipe hizo million mbili.
Sababu Company binafsi zote zimeanzishwa na watu walio na uthubutu, sio waoga wa maisha na wenye akili ili watengeneze ajira nyingi zaidi kwa wengine. au kama kila mtu anakimbia moto then nani atazima moto?
Na usitegemee 2 million serikalini easily na kwa mwingine million mbili anaona ni pesa ya kawaida sana hivyo atataka kutafuta zaidi na zaidi na sio kustick kwenye one point then ukistaafu urudi tena chini. angalia wastaafu wanavyohangaika sasa hivi.
Na Fun fact hakuna tajiri yoyote duniani aliyeajiriwa pia kusema matajiri wanasomesha watoto wao ili waajiriwe sio kweli kabisa, labda tajiri mbadilisha mboga.
bali matajiri watasomesha watoto wao ili waje kuwarithisha na kuendeleza utajiri wao sasa tuone wewe uje kuwarithisha wanao hiyo ajira.
Kwangu mimi kuajiriwa ni uoga wa maisha considering sipendi kuwa chini ya kima yoyote hivyo nitapita njia zangu mwenyewe. and actually that's what a man supposed to be fearless, brave, strong physically and mentally. and not to be a scared little girl.
So hapo hakuna ambaye yuko sahihi zaidi ya mwingine bali kila mtu anakuwa na preference zake na sio universal truth.
Kikubwa kinachowatofautisha hao wawili ni ukubwa wa mawazo, ambitions na akili ya mtu husika.