Ni Kwa sababu wameruhusiwa kuoa na kuzaa Sasa wanasikiliza ushauri wa wenza wao[emoji3][emoji3][emoji3]Ktk makanisa makubwa yenye migogoro ya kipuuzi ni KKKT na Anglican!
haya mambo huwezi kuyakuta kanisa Katoliki hata mara moja!
Husda, wivu, kijicho, umimi na ubinafsi hasa wa viongozi wao ndio yanayomaliza haya makanisa!
Kupimo kipi zaidi ya Dubai watu wanaacha maduka wazi wanaenda kuswali na hakuna vibaka nitajie nchi moja tu ya kikristo yenye mfano huo[emoji3][emoji3] sisi wakristu tunashida hatupendi ukweliAnalinganisha watoto wa "HALALI" na watoto wa "HARAMU"?, kumbe ana MIRADI sasa hapo KKKT si angehama tu? huyu hata akihamia KKKT EA kwa MWAIKALI bado watashindwana, watu walisha mjaza KIBURI, na njia ya mwenye kiburi ni ipi? unaita watu MATAPELI, waongo MAJAMBAZI, kwa kipimo gani? mwenye uwezo wakupima wanaadamu ni Mungu peke yake... mimi namshauri aanzishe kanisa lake ajiri waislamu.
Hakika, wasimvimbishe kichwa akajikuta ametupwa kuzimu kama LuciferTunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.
Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi
Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Mbona makasiriko shehe, pilipili usokula zakuwashiani?🤣Makanisa ya kkkt huwa yana vurugu. Hakuna mtumishi wa Yyt wa kiroho anaepaswa kuwa likizo. Shetan halali. Hata hivyo huko hakuna Neno la Mungu bali maandiko tu na ufahamu wa kidunia. Ila Mafundisho ya ati unaenda mbinguni huwezi yapata.
Wewe angalia tabia za watu wanaosali kwenye makanisa hayo sijui Rc, anglicana, walokole, kkkt matendo yao hata wasabato sihukumu mtu ila torati ishahukumu ni wanajiita wakristo ila mambo ya Kristo hawayataki pombe wako, sigara wamo,zinaa wamo, uwongo leo wanasifia mchungaji asiye na macho ya kuyaona hayo ili awavushe kweli[emoji16][emoji16] Wao vipofu na mchungaji kipofu pasipo Neema ya Yesu wote mbinguni hawaendi. Yesu atusaidia maana kwa hayo alikuja.
Aisee, una makasiriko duh😀Mashetani ni kama wewe unayebariki uhuni wa malasusa!
Muulize babaWewe mwenzetu unaabudu wapi kusiko na changamoto?
Huwa sina ubia au uanachama na Chadema and for that matter Bavicha ila nawaunga mkono kwa 1,000,000,000,000% times kwa wanachokifanya. Mwenye akili yeyote atakuwa na Chadema kwa namna yoyte ile. Wezi, wahuni, kama nyinyi ndio mko CCM. Waungwana tuko Chadema.
Nikukumbushe kuwa Wachungaji wote Mwajiriwa wa KKKT wanaolipwa mshahara kila mwisho wa mwezi na sharika zao wenyewe.Tunakumbushana tu kwa sababu maneno yamekuwa mengi kufuatia Mchungaji Kimaro kupewa Likizo ya lazima na mwajiri wake ambaye ni KKKT.
Hiyo ni kawaida sana kwenye ajira za Sekta binafsi
Tusikuze mambo na kumpa faida shetani
Taasisi kamili kwanini sasa analilia Usharika usio wake? Mwombeeni, vinginevyo mtamwangamiza kwa maneno yenu"ELIONA KIMARO HAPO ALIPO TAYARI NI TAASISI KAMILI"
Kanisa la kkkt ni la kiuinjilisti na ndicho afanyacho Kimaro uinjilisti unafahamika ni uhubiri zaidi.
Mwajiri pale KKKT ni Katibu wa DayosisiNikukumbushe kuwa Wachungaji wote Mwajiriwa wa KKKT wanaolipwa mshahara kila mwisho wa mwezi na sharika zao wenyewe.
Kwa mantiki hiyo kama ushirika wako sadaka Za kila wiki ni kidogo huna chako kama mchungaji.
Ndio sababu wachungaji wanaopendwa na maaskofu wanapangiwa zile sharika zenye waumini wenye uwezo Ili mchungaji apate mshahara.
Kazi ya dayosisi na Jimbo ni kupata asili mia ya sadaka kila wiki.
Huyo Katibu mkuu ni mwajiri ambaye hana fedha Za kuwalipa wachungaji, Bali wenye fedha na mishahara ni waumini.Mwajiri pale KKKT ni Katibu wa Dayosisi
Ndio azingatie masharti ya Ajira yake hai Waumini hatawakuta kule CMAHuyo Katibu mkuu ni mwajiri ambaye hana fedha Za kuwalipa wachungaji, Bali wenye fedha na mishahara ni waumini.
Hata Katibu mkuu analipwa kupitia sadaka Za waumini.
Vyanzo vya mapato ya Dayosisi ni sadaka kutoka kwa waumini.
Usichokijua Hata Penshion wachungaji hawawekewi Kila mwezi.Ndio azingatie masharti ya Ajira yake hai Waumini hatawakuta kule CMA
Mchungaji siyo Mtumishi wa UmmaUsichokijua Hata Penshion wachungaji hawawekewi Kila mwezi.
Kama hujui na huamini kwamba wapo wachungaji ambao ni taasisi, waambie KKT wakamguse Mastai wa Kimara tujue joto na baridi.Thubutu!
Watumishi wa NGO hawalipiwi Pension kila mwezi?Mchungaji siyo Mtumishi wa Umma
KKKT ni Ngo
Kwani Mastai na Kimaro Wana tofauti gani?Kama hujui na huamini kwamba wapo wachungaji ambao ni taasisi, waambie KKT wakamguse Mastai wa Kimara tujue joto na baridi.
NdiyoKumbe anaweza kuwashtaki CMA?