Tusisahau vita vya Sudan, waarabu bado wanachinjana na kuwindana mji mkuu

Tusisahau vita vya Sudan, waarabu bado wanachinjana na kuwindana mji mkuu

Sijawahi kuona hata siku moja ukiandika kuhusu DRC kama watu hawafi na hakuna kinachotokea vile ..
Hahaha Waswali sie ni masabufa ya watu weupe

wakitoa kipaumbele Congo nasi tunatoa kipaumbele

wakipuuza nasi tunapuuza

nakumbuka kuna ajali ya Treni iliwahi kutokea miaka ya nyuma

hadi TBC walikuwa wanatoa habari ' kwa mujibu wa BBC' watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha
 
Wewe Mzee ni kubwa jinga haujawahi hata kumiliki akili bora hata unazidiwa mbali kimaarifa na reasoning hata na Maghayo pamoja na mabangi yake.

Hiyo ni Civil war sio vita ya kidini bali ni vita ya madaraka, mifano ya vita za namna hiyo ipo sehemu nyingi duniani mfano halisi kwa Wagalatia ni Angola Jonas Savimbi aliingia msituni na genge lake kupinga utawala uliopo madarakani ,mfano mwingine ni South Sudan damu nyingi zimemwagika vita ya wenyewe kwa wenyewe baada ya uhuru.

Mbona Rwanda walivyochinjana haukusema Yesu kawatuma wewe Mpumbavu usiye na akili ?
Asee wee mkorea Mufti kuku The Infinity acha vituko.

CC raraa reree Extrovert
 
Jamaa hawachoki, yaani ndio kama wanaanza vile..............

Clashes involving armoured vehicles and heavy weapons continued between the Sudan Armed Forces (SAF) and Rapid Support Forces (RSF) across large parts of the Sudanese capital of Khartoum on Tuesday, especially focused on the SAF General Command.

Citizens of Khartoum told Radio Dabanga that fierce fighting broke out between the army and the Rapid Support in armoured vehicles in the neighbourhood of El Shajara to the west. They also pointed to the exchange of artillery shelling between the army and the rapid support of the arms corps in the Bahri region.

Witnesses confirmed the sound of violent explosions as a result of mutual shelling between the SAF and the RSFG towards the General Command.

Callers from Omdurman pointed to the exchange of heavy shelling between the army and the secret support heavy shelling from the Karari military base.

Shells fell in the neighbourhood of Burri that damaged five houses.

On Monday, the war in Sudan entered its seventh month, as violent clashes continued between the Sudan Armed Forces (SAF) and Rapid Support Forces (RSF) towards Bahri in Khartoum North. The Forces of Freedom and Change Central Council (FFC-CC) executive office said that the war has expanded into El Gezira and White Nile states, as the US embassy called for access to humanitarian aid.

Intense confrontations continued this week between the SAF and RSF in the Sudan capital Khartoum and its sister cities Omdurman and Khartoum North. The fierce fighting between the Sudanese army and its paramilitary counterpart in Khartoum continues unabated, with an increasing number of civilians being hit. El Nau Hospital in Omdurman, one of the only remaining functional hospitals in the region, was hit by a shell.

Huku huwezi kuwasikia wafuasi wa munyaazi wakisema pray for Sudanese wakat Kuna raia wanakufa wengi tu unafiki mtupu
 
Hehehe kwa unavyokesha ukipambana kujibu hoja za watu kwa machungu iwe hauumii sheikh???
Kujibu hoja ni moja na kuumia ni mbili, najibu hoja pale ambapo naona unaleta upotoshaji
 
Kujibu hoja ni moja na kuumia ni mbili, najibu hoja pale ambapo naona unaleta upotoshaji

Kwa jinsi unavyojibu mtu anaweza akaeleza kwamba unaumia kishenzi....
 
Jamaa hawachoki, yaani ndio kama wanaanza vile..............

Clashes involving armoured vehicles and heavy weapons continued between the Sudan Armed Forces (SAF) and Rapid Support Forces (RSF) across large parts of the Sudanese capital of Khartoum on Tuesday, especially focused on the SAF General Command.

Citizens of Khartoum told Radio Dabanga that fierce fighting broke out between the army and the Rapid Support in armoured vehicles in the neighbourhood of El Shajara to the west. They also pointed to the exchange of artillery shelling between the army and the rapid support of the arms corps in the Bahri region.

Witnesses confirmed the sound of violent explosions as a result of mutual shelling between the SAF and the RSFG towards the General Command.

Callers from Omdurman pointed to the exchange of heavy shelling between the army and the secret support heavy shelling from the Karari military base.

Shells fell in the neighbourhood of Burri that damaged five houses.

On Monday, the war in Sudan entered its seventh month, as violent clashes continued between the Sudan Armed Forces (SAF) and Rapid Support Forces (RSF) towards Bahri in Khartoum North. The Forces of Freedom and Change Central Council (FFC-CC) executive office said that the war has expanded into El Gezira and White Nile states, as the US embassy called for access to humanitarian aid.

Intense confrontations continued this week between the SAF and RSF in the Sudan capital Khartoum and its sister cities Omdurman and Khartoum North. The fierce fighting between the Sudanese army and its paramilitary counterpart in Khartoum continues unabated, with an increasing number of civilians being hit. El Nau Hospital in Omdurman, one of the only remaining functional hospitals in the region, was hit by a shell.

Waione Kimsboy na Alwaz kwenye failing.
 
Huwezi kumzuia mtu kufikiri, ila nitaendelea kuweka kumbukumbu sawa wakati wote

Kumbe unajua hivyo, sasa dini yenu hutaka kulazmisha watu wasitumie ubongo na kufikiri, waishi tu kama mazombi ya kujilipua mabomu.
 
Kumbe unajua hivyo, sasa dini yenu hutaka kulazmisha watu wasitumie ubongo na kufikiri, waishi tu kama mazombi ya kujilipua mabomu.
Dini yeyote inalazimisha watu ndio maana inakutaka utii kilichoandikwa , kama unataka uhuru achana na dini fanya mambo yako
 
Dini yeyote inalazimisha watu ndio maana inakutaka utii kilichoandikwa , kama unataka uhuru achana na dini fanya mambo yako

Masuala la dini ni imani ya watu binafsi, maana isingekua kwa muarabu kuja kuwaambia kuhusu 'mungu' wake, hamngejua yupo, hamna namna ya kudhihirisha uwepo wa huyo 'allah' wenu, zaidi ya nyie kukata watu vichwa mkiwalazimisha wamuabudu.
 
Masuala la dini ni imani ya watu binafsi, maana isingekua kwa muarabu kuja kuwaambia kuhusu 'mungu' wake, hamngejua yupo, hamna namna ya kudhihirisha uwepo wa huyo 'allah' wenu, zaidi ya nyie kukata watu vichwa mkiwalazimisha wamuabudu.
Wewe unasema dini au mwarabu? kama dini zote hakuna uhuru ni kutii tu kilichoandikwa , ebu weka hoja yako sawasawa nikusaidie
Hata hawa walipewa maelekezo na Mungu wao

Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
 
Wewe unasema dini au mwarabu? kama dini zote hakuna uhuru ni kutii tu kilichoandikwa , ebu weka hoja yako sawasawa nikusaidie
Hata hawa walipewa maelekezo na Mungu wao

Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3

Nyie yenu muarabu kawashikilia akili mlazimishe wasiotaka kumuabudu, mnaua watu kisa mungu ambaye hamuna namna ya kudhihirisha uwepo wake.
Mnalazimisha ugomvi na dini zote, mkipigwa mnalalamika.
 
Nyie yenu muarabu kawashikilia akili mlazimishe wasiotaka kumuabudu, mnaua watu kisa mungu ambaye hamuna namna ya kudhihirisha uwepo wake.
Mnalazimisha ugomvi na dini zote, mkipigwa mnalalamika.
Sasa hawa wanaua kuku au mbuzi? halafu tuambie hawa watu wanaotaka kuuliwa kisa nini?


Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3

Wewe ruka ruka tu wakati hakuna dini kati hizi mbili haijafanya mauaji kwa amri ya Mungu wao kwenye maandiko yao
 
Sasa hawa wanaua kuku au mbuzi? halafu tuambie hawa watu wanaotaka kuuliwa kisa nini?


Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3

Wewe ruka ruka tu wakati hakuna dini kati hizi mbili haijafanya mauaji kwa amri ya Mungu wao kwenye maandiko yao

Mnapaswa muache watu wajiamulie mambo ya imani, nani wa kumuabudu, wahubirieni sio kuwachinja, mnaingia kwenye basi na kutea na kuua abiria kisa hawamuabudu huyo muarabu wenu

al-Shabab armed group have hijacked a bus in Kenya and killed 28 non-Muslims on board after singling them out from the rest of the passengers.

 
Back
Top Bottom