Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

Kuna watu wamezaliwa sehemu wao ndio mbolea yenyewe sasa.
Mzee ana konekshen za mashamba ya mihogo anawauzia wahindi elf 10 kwa debe wao wanasafirisha ulaya kuiuza laki 1 kwa debe

mtoto akienda hizo shule anaweza kupata exposure na connections kuuza hio mihogo kwa laki huko ulaya 😂😂
 
Mzee ana konekshen za mashamba ya mihogo anawauzia wahindi elf 10 kwa debe wao wanasafirisha ulaya kuiuza laki 1 kwa debe

mtoto akienda hizo shule anaweza kupata exposure na comnections kuuza hio mihogo kwa laki huko ulaya [emoji23][emoji23]
Ngoja nikwambie kit... hao watoto hawahangaikagi kabisa kuchekecha akili, hayo uliiongea wanafanya watoto masikini na ndio wanaohitaji mabadiliko chanya ya maisha.

Hao watoto mambo safi waumize kichwa ili iweje? Wakati kila kitu kipo kwenye mstari?

Note this.... kuna watoto kwenye maisha wanafanya maisha ili kutimiza wajibu tu. Lakini wanakuwa na kila kitu kwenye maisha.
 
Ngoja nikwambie kit... hao watoto hawahangaikagi kabisa kuchekecha akili, hayo uliiongea wanafanya watoto masikini na ndio wanaohitaji mabadiliko chanya ya maisha.

Hao watoto mambo safi waumize kichwa ili iweje? Wakati kila kitu kipo kwenye mstari?

Note this.... kuna watoto kwenye maisha wanafanya maisha ili kutimiza wajibu tu. Lakini wanakuwa na kila kitu kwenye maisha.

hapa wabongo tunaitana kina flani mambo safi lakini wahindi wa hapa kwetu wanawaona wa kawaida tu.

Mtoto akienda hizi shule akipata exposure ya kuchanganyikana na wengine walio juu zaidi anaanza kujiona ule utajiri wa nyumbani ambao wabongo tunauita mambo safi, si kitu kwa watoto ataokutana nao, hapa ndipo akiwa na akili lazima atatafuta mbinu za kuinua status yake
 
Point niliyoona hapo ni connection wala sio aina ya shule mtu atasoma,hilo jambo limeshapita na wakati.

Kwanza mtu anayesoma shule kama hizo sidhani kama ana ajirika maana wengi wao huishia kusimamia biashara/ miradi ya mbalimbali.
Tukirudi kwenye "konekshen", kama una connection ya uhakika hata ukisoma huko porini una nafasi nzuri ya kutoboa kwa urahisi kuliko anayesoma hizi shule za kisasa huku mjini ambaye hana connection.

Maisha ya sasa haijalishi umesoma / hujasoma/ umesoma shule nzuri au mbaya.

Ile hali ya kubadili elimu uliyopata shuleni kuwa pesa ndio jambo la msingi sana.
Mimi nilivyomuelewa mleta mada ni kwamba unapata wepesi wa kuaminiwa na mashirika ya Kimaifa na ametaja baadhi.

Ila na mimi sidhani km kuna hasara endapo mtoto akisoma shule za viwango hivyo na akapata ulaji pale TANAPA,TPDC,BOT,TPA NK km kamishina mkuu.
 
Hata huko mbele Ylaya matajiri na wanasiasa wanapeleka watoto wao aina hizi za shule. Ni shule ambazo zina mitaala yao ila kwakweli huku connections, kujua lugha, exposure, n.k. ndio muhimu.

Shule hizi zimejaa Arusha na Moshi kama vile; International School of Tanganyika, International School of Moshi, Braeburn, Kennedy House, St Constantine, n.k.

Kwa hizi shule huwa zinajaa Wazungu lakini pia kuna jamii fulani ya watu wa huko Moshi (waliojaa pia Arusha) huwa wanasomesha watoto wao na nimeshuhudia zile nafasi chache za kudhamini kuwasomesha Watanzania bure wanawekana wao.

Niseme tu ya kwamba hizi shule zina potential kubwa sana kwenye masuala ya ajira, biashara, kujenga connection na maendeleo kwa ujumla.

Wanafunzi wengi wa hizi shule pindi wakiwa wadogo tu lugha za Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, n.k, huwa ni kama kunywa maji.

Mchanganyiko wao na matabaka mengine unasaidia sana wawe na exposure kubwa sana kuliko hata mwanafunzi wa Feza, ama St. Francis ama Makongo.

Wengi wakimaliza hizi shule hupata kazi katika mashirika ya kimataifa kama UN, UNHCR, WHO, SADC, Google, Microsoft, n.k.

Pia kupata mambo kama wawekezaji, hizi huwa washajenga utandu wa comnections inakuwa rahisi pamoja na kupata idea mpya za biashara.
Wachagga walikuwa Zamani bana.

Enzi hizo wazee wetu hawajui kitu.


Wachagga wakawa wanakimbia njaa huko Kilimanjaro wanaenda kuchukua kila kitu kizuri kazi, ardhi na vyeo.

Leo mpaka Masai anaijua pesa. Competition imekuwa kubwa.

Jamii za kichagga zimeingiwa kwenye wimbi la ulevi na mirungi.

Vijana hawana Jipya, wamebaki kutafuna MKOKAA na kujisifia Mimi mchagga,Mimi mchagga, Uchaggani kuko hivi Mara vile. Kimario ana pesaaa😂😂.


Choka mbayaaaa
 
Nimesikia kuwa hata huko mbele matajiri na wanasiasa wanapeleka watoto wao Harvard, Yale nk si kwa sababu ya ubora wa elimu. Ni sababu ya connections na status ambayo vyuo hivyo vinakupa.
Eton college ya UK imetoa mawaziri wakuu zaidi ya 20 kati ya 55

Wabunge wengi pia wamesoma Cambridge na Oxford na Oxbridge college

Kweli kabisa ukisoma huko unanolewa na fursa ni nyingi hata Glasgow Uni

Kuna vyuo au shule ukisoma % kubwa utapata mchongo sehemu
 
Inategemeana tu..ninawajua wawili ambao kweli wanafanya kazi A list one othem anafanya kazi google HQ na mwingine anafanya amazon HQ. wote ni havard graduates. Ni ngumu kusoma vyuo A list kama umetoka shule zetu. Ila wapo wengine wapo tu kama kina p funk majani na mwenzie master jay wote ni IST students ila wakachagua u producer.
 
Wachagga walikuwa Zamani bana.

Enzi hizo wazee wetu hawajui kitu.


Wachagga wakawa wanakimbia njaa huko Kilimanjaro wanaenda kuchukua kila kitu kizuri kazi, ardhi na vyeo.

Leo mpaka Masai anaijua pesa. Competition imekuwa kubwa.

Jamii za kichagga zimeingiwa kwenye wimbi la ulevi na mirungi.

Vijana hawana Jipya, wamebaki kutafuna MKOKAA na kujisifia Mimi mchagga,Mimi mchagga, Uchaggani kuko hivi Mara vile. Kimario ana pesaaa😂😂.


Choka mbayaaaa
Usijidanganye mkuu, gap bado refu sana.

Watu wanasomesha watoto shule hizi tangu kitambo lakini jamii zingine bado wamekariri necta utasema wapo sawa ? hata uende Kagera ama Mbeya huko huwezi kuta hizi shule

Tukija kwenye biashara ndio kabisaaa, Kampuni za ndege tu hizi mpaka leo ni wachaga ndio wanamiliki, makabila mengi bado wapo kwenye biashara za kuchuuza bidhaa za china hapo Kariakoo lakini hata hapo kariakoo wachaga wapo wa kutosha tu.

Gepu bado refu mno
 
Hata huko mbele Ylaya matajiri na wanasiasa wanapeleka watoto wao aina hizi za shule. Ni shule ambazo zina mitaala yao ila kwakweli huku connections, kujua lugha, exposure, n.k. ndio muhimu.

Shule hizi zimejaa Arusha na Moshi kama vile; International School of Tanganyika, International School of Moshi, Braeburn, Kennedy House, St Constantine, n.k.

Kwa hizi shule huwa zinajaa Wazungu lakini pia kuna jamii fulani ya watu wa huko Moshi (waliojaa pia Arusha) huwa wanasomesha watoto wao na nimeshuhudia zile nafasi chache za kudhamini kuwasomesha Watanzania bure wanawekana wao.

Niseme tu ya kwamba hizi shule zina potential kubwa sana kwenye masuala ya ajira, biashara, kujenga connection na maendeleo kwa ujumla.

Watanzania wengi huwa tukiona mtu kwao wakiwa na utajiri wa kipimo flani mfano familia ina gari kama V8 tunaanza kuwaita mambo safi na pengine mtu wa familia hio anaridhika lakini mtoto akienda hizi shule akipata exposure ya kuwajua wenzake wahindi, waarabu na wazungu anaona wenzake kwao zipo Ferarri, Lambogini, n.k, anaanza kujiona ule utajiri wa nyumbani ambao wabongo tunauita mambo safi, si kitu kwa familia za marafiki zake, hii itampa moto wa kutaka kuinua zaidi status ya huko kwao.

Wanafunzi wengi wa hizi shule pindi wakiwa wadogo tu lugha za Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, n.k, huwa ni kama kunywa maji.

Mchanganyiko wao na matabaka mengine unasaidia sana wawe na exposure kubwa sana kuliko hata mwanafunzi wa Feza, ama St. Francis ama Makongo.

Wengi wakimaliza hizi shule hupata kazi katika mashirika ya kimataifa kama UN, UNHCR, WHO, SADC, Google, Microsoft, n.k.

Pia kupata mambo kama wawekezaji, hizi huwa washajenga utandu wa comnections inakuwa rahisi pamoja na kupata idea mpya za biashara.
Niko kwenye hayo mashirika na hatuna watu wa hivyo, tuna Kayumba tu na wana akili mbaya, shirika moja niliwahi kua na hao wa ada za milion40 wawili, kitu walikua wanajua ni kunyoosha kingereza, kutaka mafanikio kwa pupa, na wote waliangukia pua
 
Usijidanganye mkuu, gap bado refu sana.

Watu wanasomesha watoto shule hizi tangu kitambo lakini jamii zingine bado wamekariri necta utasema wapo sawa ? hata uende Kagera ama Mbeya huko huwezi kuta hizi shule
Kwahiyo ukienda shule zenye mitaala ya Cambridge HAKUNA watu wengine, Ni wachagga tu??
Tukija kwenye biashara ndio kabisaaa, Kampuni za ndege tu hizi mpaka leo ni wachaga ndio wanamiliki,
Kampuni gani za ndege, sema tu Precision. Haya makampuni yana Siri zake. Kwahiyo Fastjet ilikuwa inamilikiwa na Masha msukuma??
makabila mengi bado wapo kwenye biashara za kuchuuza bidhaa za china hapo Kariakoo lakini hata hapo kariakoo wachaga wapo wa kutosha tu.

Gepu bado refu mno
98% ya wachagga bado wachuuzi tu na biashara za Bar.

Uchumi wa nchi hii unamilikiwa na Wahindi.


=====

DAR = wote.


Dodoma = Shabiby + Gulamali

Shinyanga = Jambo.

Iringa = Asas


Morogoro = Abood.


Tanga = Binslum.


Singida = Mo Dewji.

Ninyi kazi yenu kubweka bweka na vibiashara vyenu vya Bar, maduka ya bidhaa za wizi na wizi serikalini.
 
Hata huko mbele Ylaya matajiri na wanasiasa wanapeleka watoto wao aina hizi za shule. Ni shule ambazo zina mitaala yao ila kwakweli huku connections, kujua lugha, exposure, n.k. ndio muhimu.

Shule hizi zimejaa Arusha na Moshi kama vile; International School of Tanganyika, International School of Moshi, Braeburn, Kennedy House, St Constantine, n.k.

Kwa hizi shule huwa zinajaa Wazungu lakini pia kuna jamii fulani ya watu wa huko Moshi (waliojaa pia Arusha) huwa wanasomesha watoto wao na nimeshuhudia zile nafasi chache za kudhamini kuwasomesha Watanzania bure wanawekana wao.

Niseme tu ya kwamba hizi shule zina potential kubwa sana kwenye masuala ya ajira, biashara, kujenga connection na maendeleo kwa ujumla.

Watanzania wengi huwa tukiona mtu kwao wakiwa na utajiri wa kipimo flani mfano familia ina gari kama V8 tunaanza kuwaita mambo safi na pengine mtu wa familia hio anaridhika lakini mtoto akienda hizi shule akipata exposure ya kuwajua wenzake wahindi, waarabu na wazungu anaona wenzake kwao zipo Ferarri, Lambogini, n.k, anaanza kujiona ule utajiri wa nyumbani ambao wabongo tunauita mambo safi, si kitu kwa familia za marafiki zake, hii itampa moto wa kutaka kuinua zaidi status ya huko kwao.

Wanafunzi wengi wa hizi shule pindi wakiwa wadogo tu lugha za Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, n.k, huwa ni kama kunywa maji.

Mchanganyiko wao na matabaka mengine unasaidia sana wawe na exposure kubwa sana kuliko hata mwanafunzi wa Feza, ama St. Francis ama Makongo.

Wengi wakimaliza hizi shule hupata kazi katika mashirika ya kimataifa kama UN, UNHCR, WHO, SADC, Google, Microsoft, n.k.

Pia kupata mambo kama wawekezaji, hizi huwa washajenga utandu wa comnections inakuwa rahisi pamoja na kupata idea mpya za biashara.
Ulichoandika ni sahihi kabisa, kuna siku niliamua kutembelea shule ya Braeburn nipate tu ufahamu wa nini kinachoendelea pale. Haki nilijifunza kitu kikubwa sana, jamani watanzania wengi sana wamewekeza kwenye elimu, ile shule Ina watoto wa ki Tanzania wengi huwezi amini, na nilipojifunza zaidi aina ya magari yaliyopo pale, ni mwendo wa Ist, spacio, yaaani magari ya pesa ndogo. But ukienda shule za English medium Necta, utabaki mdomo wazi hayo magari ni V8, Range nk sasa nilichojifunza kuna watu wanathamini kuwekeza kwenye Elimu kuliko magari.
 
Niko kwenye hayo mashirika na hatuna watu wa hivyo, tuna Kayumba tu na wana akili mbaya, shirika moja niliwahi kua na hao wa ada za milion40 wawili, kitu walikua wanajua ni kunyoosha kingereza, kutaka mafanikio kwa pupa, na wote waliangukia pua
Ukimtazama Prof wetu ICSID unaweza kuhamasika kulipa hiyo M40 kama unayo.
 
Kwahiyo ukienda shule zenye mitaala ya Cambridge HAKUNA watu wengine, Ni wachagga tu??

Kampuni gani za ndege, sema tu Precision. Haya makampuni yana Siri zake. Kwahiyo Fastjet ilikuwa inamilikiwa na Masha msukuma??

98% ya wachagga bado wachuuzi tu na biashara za Bar.

Uchumi wa nchi hii unamilikiwa na Wahindi.


=====

DAR = wote.


Dodoma = Shabiby + Gulamali

Shinyanga = Jambo.

Iringa = Asas


Morogoro = Abood.


Tanga = Binslum.


Singida = Mo Dewji.

Ninyi kazi yenu kubweka bweka na vibiashara vyenu vya Bar, maduka ya bidhaa za wizi na wizi serikalini.
Hizo shule ni watu wa moshi ndio waliojaa zaidi nje ya wazungu ma wahindi, sijasema kwamba hakuna wengine, ila tatizo wengine hao hata kama pesa ipo wakisikiaga tu bei milioni 40 wanaona hakuna tofauti na shule hizi za Necta wanasomeshea huko feza na saint francis,

Hakuna aliebisha kwamba wahindi na waarabu kwa hapa Tz ndio wana uchumi mkubwa, hapa tunajizungumzia sisi makabila yenye asili ya hapa Tanzania, naona umekosa kabisa kabila lingine umekimbilia kwa wahindi

Kanywe maji usipaniki
 
Eton college ya UK imetoa mawaziri wakuu zaidi ya 20 kati ya 55

Wabunge wengi pia wamesoma Cambridge na Oxford na Oxbridge college

Kweli kabisa ukisoma huko unanolewa na fursa ni nyingi hata Glasgow Uni

Kuna vyuo au shule ukisoma % kubwa utapata mchongo sehemu
Umeona swali lao moja la entrance exam kwa mwaka huu? Hakika ile ni shule ya kuzalisha viongozi. Licheki mtandaoni.
 
Back
Top Bottom