Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

Kweli kuna ndugu yangu anafanya kazi shule moja ya awali ipo mikocheni inaitwa lexis, nilijitia kihelehele kutaka kumpeleka mwanangu akaniambia hii shule ada yake huiwezi kwanza wanaosoma hapo ni watoto wa mabalozi, mawaziri na madoni kucheki ada nursery tu ni usd 3500 kwa mwaka halafu ni day, nikasema kweli hii shule siiwezi ila hao wanafunzi wao wa miaka 5 wanafanya vitu mtoto wa darasa la pili au latatu wa english medium schools za milioni 2 hadi 4 kwa mwaka hawezi kufanya maana nilienda kwenye mahafali na exhibition ya shule yao. Tuzidi kutafuta hela kwa bidii kubwa
 
Kweli kuna ndugu yangu anafanya kazi shule moja ya awali ipo mikocheni inaitwa alexia, nilijitia kihelehele kutaka kumpeleka mwanangu akaniambia hii shule ada yake huiwezi kwanza wanaosoma hapo ni watoto wa mabalozi, mawaziri na madoni kucheki ada nursery tu ni usd 3500 kwa mwaka halafu ni day, nikasema kweli hii shule siiwezi ila hao wanafunzi wao wa miaka 5 wanafanya vitu mtoto wa darasa la pili au latatu wa english medium schools za milioni 2 hadi 4 kwa mwaka hawezi kufanya maana nilienda kwenye mahafali na exhibition ya shule yao. Tuzidi kutafuta hela kwa bidii kubwa
cha mtoto hapo, braeburn ama internetional school of Tanganyika, chekechea milioni 20 huko
 
Hata huko mbele Ylaya matajiri na wanasiasa wanapeleka watoto wao aina hizi za shule. Ni shule ambazo zina mitaala yao ila kwakweli huku connections, kujua lugha, exposure, n.k. ndio muhimu.

Shule hizi zimejaa Arusha na Moshi kama vile; International School of Tanganyika, International School of Moshi, Braeburn, Kennedy House, St Constantine, n.k.

Kwa hizi shule huwa zinajaa Wazungu lakini pia kuna jamii fulani ya watu wa huko Moshi (waliojaa pia Arusha) huwa wanasomesha watoto wao na nimeshuhudia zile nafasi chache za kudhamini kuwasomesha Watanzania bure wanawekana wao.

Niseme tu ya kwamba hizi shule zina potential kubwa sana kwenye masuala ya ajira, biashara, kujenga connection na maendeleo kwa ujumla.

Wanafunzi wengi wa hizi shule pindi wakiwa wadogo tu lugha za Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, n.k, huwa ni kama kunywa maji.

Wengi wakimaliza shule wanapata njia nyepesi kuingia moja kwa moja vyuo vikubwa kidunia kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k. huku wanazidi kuongeza connection na uzito wa status.


wanapata wepesi wa kuaminiwa na mashirika ya Kimaifa kama UN, UNHCR, UNICEF, connection na kujuana na wenzao watoto wa wazito wa nchi mbalimbali zinawasaidia sana hapa, sidhani kama kuna hasara endapo mtoto akisoma shule hizi na akaja kupata ulaji TANAPA,TPDC,BOT,TPA.

Kibiashara hasa biashara za familia inasaidia pia, Watanzania wengi huwa tukiona mtu kwao wakiwa na utajiri wa kipimo flani mfano familia ina biashara za kuwafanya wawe wanatembelea v8 na range tunaanza kuwaita mambo safi na pengine mtu wa familia hio anaridhika lakini mtoto akienda hizi shule akipata exposure ya kuwajua wenzake wahindi, waarabu na wazungu anaona wenzake kwao zipo Ferarri, Lambogini, n.k, anaanza kujiona ule utajiri wa nyumbani ambao wabongo tunauita mambo safi, si kitu kwa familia za marafiki zake, hii itampa moto wa kutaka kuimarisha zaidi biashara ya familia iwe hata kimataifa, kama mihogo walikuwa wanawauzia wahindi elf 10 lwa debe wao wanaenda kuuza laki 2 huko ulaya, connections zinaweza kumsaidia ajue namna ya kuuza moja kwa moja ulaya.



Pia kupata mambo kama wawekezaji, hizi huwa washajenga utandu wa comnections inakuwa rahisi pamoja na kupata idea mpya za biashara.
Sema wamekudanga sana.
IST ipo Dar, na kusoma hizo shule huna guarantee Ya kufanikiwa maisha.
 
Point niliyoona hapo ni connection wala sio aina ya shule mtu atasoma,hilo jambo limeshapita na wakati.

Kwanza mtu anayesoma shule kama hizo sidhani kama ana ajirika maana wengi wao huishia kusimamia biashara/ miradi ya mbalimbali.
Tukirudi kwenye "konekshen", kama una connection ya uhakika hata ukisoma huko porini una nafasi nzuri ya kutoboa kwa urahisi kuliko anayesoma hizi shule za kisasa huku mjini ambaye hana connection.

Maisha ya sasa haijalishi umesoma / hujasoma/ umesoma shule nzuri au mbaya.

Ile hali ya kubadili elimu uliyopata shuleni kuwa pesa ndio jambo la msingi sana.
Usome shule ya kata hio connection unatoa wap?,
 
Shule hizi zimejaa Arusha na Moshi kama vile; International School of Tanganyika, International School of Moshi, Braeburn, Kennedy House, St Constantine, n.k.

Kwa hizi shule huwa zinajaa Wazungu, wahindi, waarabu, wakorea, n.k. lakini pia kuna jamii fulani ya watu wa huko Moshi (waliojaa pia Arusha) huwa wanasomesha watoto wao na nimeshuhudia zile nafasi chache za kudhamini kuwasomesha Watanzania bure wanawekana wao.

Hata huko mbele Ulaya matajiri , wanasiasa, wafalme, n.k. wanapeleka watoto wao aina hizi za shule. Ni shule ambazo zina mitaala yao ila kwakweli huku connections, kujua lugha, exposure, n.k. ndio muhimu.

Niseme tu ya kwamba hizi shule zina potential kubwa sana kwenye masuala ya ajira, biashara, kujenga connection na maendeleo kwa ujumla.

Wanafunzi wengi wa hizi shule pindi wakiwa wadogo tu lugha za Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, n.k, huwa ni kama kunywa maji.

Wengi wakimaliza shule wanapata njia nyepesi kuingia moja kwa moja vyuo vikubwa kidunia kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k. huku wanazidi kuongeza connection na uzito wa status.


wanapata wepesi wa kuaminiwa na mashirika ya Kimaifa kama UN, UNHCR, UNICEF, connection na kujuana na wenzao watoto wa wazito wa nchi mbalimbali zinawasaidia sana hapa, sidhani kama kuna hasara endapo mtoto akisoma shule hizi na akaja kupata ulaji TANAPA,TPDC,BOT,TPA.

Kibiashara hasa biashara za familia inasaidia pia, Watanzania wengi huwa tukiona mtu kwao wakiwa na utajiri wa kipimo flani mfano familia ina biashara za kuwafanya wawe wanatembelea v8 na range tunaanza kuwaita mambo safi na pengine mtu wa familia hio anaridhika lakini mtoto akienda hizi shule akipata exposure ya kuwajua wenzake wahindi, waarabu na wazungu anaona wenzake kwao zipo Ferarri, Lambogini, n.k, anaanza kujiona ule utajiri wa nyumbani ambao wabongo tunauita mambo safi, si kitu kwa familia za marafiki zake, hii itampa moto wa kutaka kuimarisha zaidi biashara ya familia iwe hata kimataifa, kama mihogo walikuwa wanawauzia wahindi elf 10 lwa debe wao wanaenda kuuza laki 2 huko ulaya, connections zinaweza kumsaidia ajue namna ya kuuza moja kwa moja ulaya.



Pia kupata mambo kama wawekezaji, hizi huwa washajenga utandu wa comnections inakuwa rahisi pamoja na kupata idea mpya za biashara.
Hao wanasoma sio kutaguta ajira kama mimi na wewe.

Hao tayari kila kitu kiko poa.
 
Wachagga walikuwa Zamani bana.

Enzi hizo wazee wetu hawajui kitu.


Wachagga wakawa wanakimbia njaa huko Kilimanjaro wanaenda kuchukua kila kitu kizuri kazi, ardhi na vyeo.

Leo mpaka Masai anaijua pesa. Competition imekuwa kubwa.

Jamii za kichagga zimeingiwa kwenye wimbi la ulevi na mirungi.

Vijana hawana Jipya, wamebaki kutafuna MKOKAA na kujisifia Mimi mchagga,Mimi mchagga, Uchaggani kuko hivi Mara vile. Kimario ana pesaaa😂😂.


Choka mbayaaaa
Kuna ukweli fulani hapa.
 
Zamani nilikuwa nabeza, leo hii dogo yupo la 4 ada ni 3m. No problem. Elimu ni muhimu
Kwa sababu unazo. Kwa hiyo akimaliza hilo la Saba atapata Cheti cha Diploma?

Bahati mbaya akimalize Chuo aje na bahasha kutafuta kazi mshahara wa milioni moja kwa mwezi.

Hii ni hasara kubwa mno.

Kwa kuwa unazo sawa endelea lakini usisahau kumwekea mazingira ya kiuchumi hapo baadae asitarajie ajira.
 
Wachagga walikuwa Zamani bana.

Enzi hizo wazee wetu hawajui kitu.


Wachagga wakawa wanakimbia njaa huko Kilimanjaro wanaenda kuchukua kila kitu kizuri kazi, ardhi na vyeo.

Leo mpaka Masai anaijua pesa. Competition imekuwa kubwa.

Jamii za kichagga zimeingiwa kwenye wimbi la ulevi na mirungi.

Vijana hawana Jipya, wamebaki kutafuna MKOKAA na kujisifia Mimi mchagga,Mimi mchagga, Uchaggani kuko hivi Mara vile. Kimario ana pesaaa[emoji23][emoji23].


Choka mbayaaaa
[emoji23][emoji23]
 
Inshu sio walimu inshu ni wanafunzi anaokutana nao pale ni watoto wa mabalozi wa nchi mbali mbali watoto wa wanadiplomasia hao marafiki zake mwisho wa siku ndio watakaompa maconnection
Na mimi nachojua ni hivyo. Lakini pia wanaosomesha huko ndio hawa hawa mafisadi wenye pesa ambao watoto wao hawahitaji elimu hiyo kutoka kimaisha.

Yaani hata asipoenda kusoma huko yeye maisha yake tayari ni mazuri.
 
Point niliyoona hapo ni connection wala sio aina ya shule mtu atasoma,hilo jambo limeshapita na wakati.

Kwanza mtu anayesoma shule kama hizo sidhani kama ana ajirika maana wengi wao huishia kusimamia biashara/ miradi ya mbalimbali.
Tukirudi kwenye "konekshen", kama una connection ya uhakika hata ukisoma huko porini una nafasi nzuri ya kutoboa kwa urahisi kuliko anayesoma hizi shule za kisasa huku mjini ambaye hana connection.

Maisha ya sasa haijalishi umesoma / hujasoma/ umesoma shule nzuri au mbaya.

Ile hali ya kubadili elimu uliyopata shuleni kuwa pesa ndio jambo la msingi sana.
Yaani unataka kulinganisha kusoma Feza, International school Tanganyika, havard, na kusoma udom temeke secondary!?
We jamaa acha utani,hizo shule na vyuo vya kishua vina miundombinu Bora na waalimu wenye weredi. Mtoto anapata mafunzo kwa vifaa Bora,
Sisi tulijifunza practical physics, chemistry kwa nadharia tu, chemical hakuna, huwezi kulinganisha na wanaosoma na vifaa duni.
Ukiwa DIT,practicals unafanya na mashine za kizamani zilizotolewa msaada na Soviet Union, ukienda field tanesco,unaishia kufunga service line, harafu unataka Uwe engineer kama aliyetoka havard!
 
Shule hizi zimejaa Arusha na Moshi kama vile; International School of Tanganyika, International School of Moshi, Braeburn, Kennedy House, St Constantine, n.k.

Kwa hizi shule huwa zinajaa Wazungu, wahindi, waarabu, wakorea, n.k. lakini pia kuna jamii fulani ya watu wa huko Moshi (waliojaa pia Arusha) huwa wanasomesha watoto wao na nimeshuhudia zile nafasi chache za kudhamini kuwasomesha Watanzania bure wanawekana wao.

Hata huko mbele Ulaya matajiri , wanasiasa, wafalme, n.k. wanapeleka watoto wao aina hizi za shule. Ni shule ambazo zina mitaala yao ila kwakweli huku connections, kujua lugha, exposure, n.k. ndio muhimu.

Niseme tu ya kwamba hizi shule zina potential kubwa sana kwenye masuala ya ajira, biashara, kujenga connection na maendeleo kwa ujumla.

Wanafunzi wengi wa hizi shule pindi wakiwa wadogo tu lugha za Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, n.k, huwa ni kama kunywa maji.

Wengi wakimaliza shule wanapata njia nyepesi kuingia moja kwa moja vyuo vikubwa kidunia kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k. huku wanazidi kuongeza connection na uzito wa status.


wanapata wepesi wa kuaminiwa na mashirika ya Kimaifa kama UN, UNHCR, UNICEF, connection na kujuana na wenzao watoto wa wazito wa nchi mbalimbali zinawasaidia sana hapa, sidhani kama kuna hasara endapo mtoto akisoma shule hizi na akaja kupata ulaji TANAPA,TPDC,BOT,TPA.

Kibiashara hasa biashara za familia inasaidia pia, Watanzania wengi huwa tukiona mtu kwao wakiwa na utajiri wa kipimo flani mfano familia ina biashara za kuwafanya wawe wanatembelea v8 na range tunaanza kuwaita mambo safi na pengine mtu wa familia hio anaridhika lakini mtoto akienda hizi shule akipata exposure ya kuwajua wenzake wahindi, waarabu na wazungu anaona wenzake kwao zipo Ferarri, Lambogini, n.k, anaanza kujiona ule utajiri wa nyumbani ambao wabongo tunauita mambo safi, si kitu kwa familia za marafiki zake, hii itampa moto wa kutaka kuimarisha zaidi biashara ya familia iwe hata kimataifa, kama mihogo walikuwa wanawauzia wahindi elf 10 lwa debe wao wanaenda kuuza laki 2 huko ulaya, connections zinaweza kumsaidia ajue namna ya kuuza moja kwa moja ulaya.



Pia kupata mambo kama wawekezaji, hizi huwa washajenga utandu wa comnections inakuwa rahisi pamoja na kupata idea mpya za biashara.
wachaga mna sifa za kijinga sijui kwanini hata hamuoni aibu? nyie mnaumwa siyo bure.
 
Shule hizi zimejaa Arusha na Moshi kama vile; International School of Tanganyika, International School of Moshi, Braeburn, Kennedy House, St Constantine, n.k.

Kwa hizi shule huwa zinajaa Wazungu, wahindi, waarabu, wakorea, n.k. lakini pia kuna jamii fulani ya watu wa huko Moshi (waliojaa pia Arusha) huwa wanasomesha watoto wao na nimeshuhudia zile nafasi chache za kudhamini kuwasomesha Watanzania bure wanawekana wao.

Hata huko mbele Ulaya matajiri , wanasiasa, wafalme, n.k. wanapeleka watoto wao aina hizi za shule. Ni shule ambazo zina mitaala yao ila kwakweli huku connections, kujua lugha, exposure, n.k. ndio muhimu.

Niseme tu ya kwamba hizi shule zina potential kubwa sana kwenye masuala ya ajira, biashara, kujenga connection na maendeleo kwa ujumla.

Wanafunzi wengi wa hizi shule pindi wakiwa wadogo tu lugha za Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, n.k, huwa ni kama kunywa maji.

Wengi wakimaliza shule wanapata njia nyepesi kuingia moja kwa moja vyuo vikubwa kidunia kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k. huku wanazidi kuongeza connection na uzito wa status.


wanapata wepesi wa kuaminiwa na mashirika ya Kimaifa kama UN, UNHCR, UNICEF, connection na kujuana na wenzao watoto wa wazito wa nchi mbalimbali zinawasaidia sana hapa, sidhani kama kuna hasara endapo mtoto akisoma shule hizi na akaja kupata ulaji TANAPA,TPDC,BOT,TPA.

Kibiashara hasa biashara za familia inasaidia pia, Watanzania wengi huwa tukiona mtu kwao wakiwa na utajiri wa kipimo flani mfano familia ina biashara za kuwafanya wawe wanatembelea v8 na range tunaanza kuwaita mambo safi na pengine mtu wa familia hio anaridhika lakini mtoto akienda hizi shule akipata exposure ya kuwajua wenzake wahindi, waarabu na wazungu anaona wenzake kwao zipo Ferarri, Lambogini, n.k, anaanza kujiona ule utajiri wa nyumbani ambao wabongo tunauita mambo safi, si kitu kwa familia za marafiki zake, hii itampa moto wa kutaka kuimarisha zaidi biashara ya familia iwe hata kimataifa, kama mihogo walikuwa wanawauzia wahindi elf 10 lwa debe wao wanaenda kuuza laki 2 huko ulaya, connections zinaweza kumsaidia ajue namna ya kuuza moja kwa moja ulaya.



Pia kupata mambo kama wawekezaji, hizi huwa washajenga utandu wa comnections inakuwa rahisi pamoja na kupata idea mpya za biashara.
Acha kutulisha matango pori ndugu. Kwa hiyo wote waliofanikiwa hapa Tz wamesoma hizo shule? Theory ya maisha ni complex sana
 
Back
Top Bottom