KingOligarchy
Senior Member
- Sep 28, 2013
- 139
- 375
ARUSHA STAND UP!!!!!! TEAM CHUGAAAAAAcha wivu. Watu wa moshi arusha ndio wengi aliowaona huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ARUSHA STAND UP!!!!!! TEAM CHUGAAAAAAcha wivu. Watu wa moshi arusha ndio wengi aliowaona huko
Hizi ni za arusha tu mimi napoishi . Za moshi Sina taaarifa zaidi ya moja nayoijuaa ya UWC East Africa ambayo zamani ilikuwa ikiitwa ISM.Taja zinapatikana Arusha zifike tano.
Na moshi zifike tano.
Kilimanjaro na Arusha ni mikoa tofauti.
Kennedy House International School
Jaffery international school
Tanganyika Junior School
Braeburn School
Arusha Meru Int.School Primary School
UWC East Africa — Arusha Campus
St. Constantine's International School
Litletreasure and blossom internatio
AnakaririshwaZamani nilikuwa nabeza, leo hii dogo yupo la 4 ada ni 3m. No problem. Elimu ni muhimu
Shule zetu zinajenga watu kukariri mitihani na kujibu maswali.Kweli kuna ndugu yangu anafanya kazi shule moja ya awali ipo mikocheni inaitwa alexia, nilijitia kihelehele kutaka kumpeleka mwanangu akaniambia hii shule ada yake huiwezi kwanza wanaosoma hapo ni watoto wa mabalozi, mawaziri na madoni kucheki ada nursery tu ni usd 3500 kwa mwaka halafu ni day, nikasema kweli hii shule siiwezi ila hao wanafunzi wao wa miaka 5 wanafanya vitu mtoto wa darasa la pili au latatu wa english medium schools za milioni 2 hadi 4 kwa mwaka hawezi kufanya maana nilienda kwenye mahafali na exhibition ya shule yao. Tuzidi kutafuta hela kwa bidii kubwa
IST iko moja tu haihusiani na ISMnikusahishe ya kwamba IST wana tawi Arusha na kwamba hakunaga guarantee 100% ya kufanikiwa ila tunaangalia probability (uwezekano)
Uko kwenye mashirika mangapi mkuu...sema ukweli ni kwamba kayumba hana qualification worldwide, Cambridge ndio elimu inayotambulika dunia nzima. Wanaosoma Cambridge hawaombwi mambo mengi linapokuja suala la kuapply vyuo huko duniani na ni rahisi kupata scholarships kuliko wewe unaetoka kayumba, kwa wewe kupata scholarship ulaya na marekani labda ukasome masters au phd, lakini watoto waliopiga Cambridge ni wachache sana wanaolipa ada ulaya. Watu hawaangalii akili nyingi wanaangalia exposure, mtu unaakili nyingi wakati hata kiingereza hujui kuzungumza na unataka kufanya worldwide companies, mwenzio hana akili sana lakini anazungumza lugha tatu tofauti na zote ni international, chuo kasoma MIT, kazi kafanya 1st world countries yupo updated kwenye ufanisi na technologies, hiyo project yake tu sio poa wewe wa UDSM huna nafasi. Labda public health WHO kigoma hukooo.Niko kwenye hayo mashirika na hatuna watu wa hivyo, tuna Kayumba tu na wana akili mbaya, shirika moja niliwahi kua na hao wa ada za milion40 wawili, kitu walikua wanajua ni kunyoosha kingereza, kutaka mafanikio kwa pupa, na wote waliangukia pua
Ndio maana wenzetu hawaangalii mtoto kufaulu tu mitihani wanaangalia na ubunifu piaShule zetu zinajenga watu kukariri mitihani na kujibu maswali.
Shule zao zinajenga uelewa kwa watoto na kujitambua
IST wabongo ni wachache sana mkuu sio cha wachaga wala nn wengi ni wahindi, wazungu na watoto wa mabalozi wa nchi za ulaya na viongozi wabunge na mawaziri wachache sana wafanyabiashara .ngozi nyeusi ni wachache sana na wengi ni scholarship. Kwenye darasa wabongo unakuta hawafiki hata kumi. Tuende mbele turudi nyuma 40mil sio masikhara kwa mtanzania hata awe na mshahara wa 10 mil kwa mwezi.Hizo shule ni watu wa moshi ndio waliojaa zaidi nje ya wazungu ma wahindi, sijasema kwamba hakuna wengine, ila tatizo wengine hao hata kama pesa ipo wakisikiaga tu bei milioni 40 wanaona hakuna tofauti na shule hizi za Necta wanasomeshea huko feza na saint francis,
Hakuna aliebisha kwamba wahindi na waarabu kwa hapa Tz ndio wana uchumi mkubwa, hapa tunajizungumzia sisi makabila yenye asili ya hapa Tanzania, naona umekosa kabisa kabila lingine umekimbilia kwa wahindi
Kanywe maji usipaniki
Zote alizotaja hapo ziko Arusha na bado hajataja zote.Taja zinapatikana Arusha zifike tano.
Na moshi zifike tano.
Kilimanjaro na Arusha ni mikoa tofauti.
Kwa hiyo St.Kayumba ndio wanaeleweshwa? Mimi ndio najua dogo alivyo nondo kwa level yake. Lugha anatema, tabia ipo sawa, ana uwezo wa kuhoji why thisAnakaririshwa
Wanakaririshwa amini hivyo usiwaamini sana, jiongeze kwa kumpa maarifa mengine ya kujitambua na kuelewa zaidi. Lengo la shile zetu ni watu wafaulu kwa mbonu zoteKwa hiyo St.Kayumba ndio wanaeleweshwa? Mimi ndio najua dogo alivyo nondo kwa level yake
Mkuu kwa hiyo wewe ndio unamjua vizuri kuliko mimi na walimu wake? Acha hizo bro. Kumpa maarifa mengine ni obvious hata kwa asiyekaririshwa kwa sababu school hawezi kufundishwa kila kitu.Wanakaririshwa amini hivyo usiwaamini sana, jiongeze kwa kumpa maarifa mengine ya kujitambua na kuelewa zaidi. Lengo la shile zetu ni watu wafaulu kwa mbonu zote
Safi, kama unawapenda watoto wako ni lazima upambane ili wapate elimu ya uhakika hukoKennedy House International School
Jaffery international school
Tanganyika Junior School
Braeburn School
Arusha Meru Int.School Primary School
UWC East Africa — Arusha Campus
St. Constantine's International School
Litletreasure and blossom international school
Usijidanganye Mkuu, hakuna maarifa yoyote huko kwenye St. Kayumba, rejea AIBU aliyotupatia Prof. Mruma huko kwa Mabeberu.Mkuu kwa hiyo wewe ndio unamjua vizuri kuliko mimi na walimu wake? Acha hizo bro. Kumpa maarifa mengine ni obvious hata kwa asiyekaririshwa kwa sababu school hawezi kufundishwa kila kitu.
Kama kukaririshwa ni hao wa kwako, dont generalise
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3526]Kweli kuna ndugu yangu anafanya kazi shule moja ya awali ipo mikocheni inaitwa alexia, nilijitia kihelehele kutaka kumpeleka mwanangu akaniambia hii shule ada yake huiwezi kwanza wanaosoma hapo ni watoto wa mabalozi, mawaziri na madoni kucheki ada nursery tu ni usd 3500 kwa mwaka halafu ni day, nikasema kweli hii shule siiwezi ila hao wanafunzi wao wa miaka 5 wanafanya vitu mtoto wa darasa la pili au latatu wa english medium schools za milioni 2 hadi 4 kwa mwaka hawezi kufanya maana nilienda kwenye mahafali na exhibition ya shule yao. Tuzidi kutafuta hela kwa bidii kubwa
Mkuu hapo IST ada zimepanda sana saizi ni milioni 85, wengi wamehamishiwa zingine.Mtu akisema hizi shule zimejaa wachaga nakataa kiufupi darasa halina wanafuzi hata kumi ngozi nyeusi angalia hiyo attachment hapo chini 2019 IST graduation
Mfano dogo yule Benjamin Fernandez alieanzisha "Nala"money transfer,amesoma IST,chuo kasoma Havard,huyo master Jay na Majani Hawa malejendi prodyuza wamesoma IST baadae master Jay akaenda mamtoni hukooo karudi kaanza mishe,ukija Kwa Ruge hakusoma IST lakini kuishi US kulimsaidia SanaaYaani unataka kulinganisha kusoma Feza, International school Tanganyika, havard, na kusoma udom temeke secondary!?
We jamaa acha utani,hizo shule na vyuo vya kishua vina miundombinu Bora na waalimu wenye weredi. Mtoto anapata mafunzo kwa vifaa Bora,
Sisi tulijifunza practical physics, chemistry kwa nadharia tu, chemical hakuna, huwezi kulinganisha na wanaosoma na vifaa duni.
Ukiwa DIT,practicals unafanya na mashine za kizamani zilizotolewa msaada na Soviet Union, ukienda field tanesco,unaishia kufunga service line, harafu unataka Uwe engineer kama aliyetoka havard!