Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

Tusiwabeze wanaosomesha watoto shule za Tsh. Milioni 40

Uko kwenye mashirika mangapi mkuu...sema ukweli ni kwamba kayumba hana qualification worldwide, Cambridge ndio elimu inayotambulika dunia nzima. Wanaosoma Cambridge hawaombwi mambo mengi linapokuja suala la kuapply vyuo huko duniani na ni rahisi kupata scholarships kuliko wewe unaetoka kayumba, kwa wewe kupata scholarship ulaya na marekani labda ukasome masters au phd, lakini watoto waliopiga Cambridge ni wachache sana wanaolipa ada ulaya. Watu hawaangalii akili nyingi wanaangalia exposure, mtu unaakili nyingi wakati hata kiingereza hujui kuzungumza na unataka kufanya worldwide companies, mwenzio hana akili sana lakini anazungumza lugha tatu tofauti na zote ni international, chuo kasoma MIT, kazi kafanya 1st world countries yupo updated kwenye ufanisi na technologies, hiyo project yake tu sio poa wewe wa UDSM huna nafasi. Labda public health WHO kigoma hukooo.
Hahah eti kigoma huko na unajiona bonge la mtu hahaha
 
Kiufupi marafiki wa watoto wako wanaanzia shule. So chagua marafiki wa watoto wako unataka wawe wa namna gani.

Point
Point.jpg
 
Kweli kuna ndugu yangu anafanya kazi shule moja ya awali ipo mikocheni inaitwa alexia, nilijitia kihelehele kutaka kumpeleka mwanangu akaniambia hii shule ada yake huiwezi kwanza wanaosoma hapo ni watoto wa mabalozi, mawaziri na madoni kucheki ada nursery tu ni usd 3500 kwa mwaka halafu ni day, nikasema kweli hii shule siiwezi ila hao wanafunzi wao wa miaka 5 wanafanya vitu mtoto wa darasa la pili au latatu wa english medium schools za milioni 2 hadi 4 kwa mwaka hawezi kufanya maana nilienda kwenye mahafali na exhibition ya shule yao. Tuzidi kutafuta hela kwa bidii kubwa
Nakazia Apo mkuu,
Hata yule kilaza wa international
Huwez mlinganisha na kilaza wa Marian au kayumba
 
Kwahiyo ukienda shule zenye mitaala ya Cambridge HAKUNA watu wengine, Ni wachagga tu??

Kampuni gani za ndege, sema tu Precision. Haya makampuni yana Siri zake. Kwahiyo Fastjet ilikuwa inamilikiwa na Masha msukuma??

98% ya wachagga bado wachuuzi tu na biashara za Bar.

Uchumi wa nchi hii unamilikiwa na Wahindi.


=====

DAR = wote.


Dodoma = Shabiby + Gulamali

Shinyanga = Jambo.

Iringa = Asas


Morogoro = Abood.


Tanga = Binslum.


Singida = Mo Dewji.

Ninyi kazi yenu kubweka bweka na vibiashara vyenu vya Bar, maduka ya bidhaa za wizi na wizi serikalini.

Nimekuwekea list ya matajiri wakubwa 10 bora katika soko la hisa Tanzania. Matajiri wenye hisa nyingi kwenye makampuni makubwa Tanzania.

Katika top 10. Weusi wapo wanne tu. Na hao weusi wote ni wachaga.

6 waliobaki wote ni weupe.

Wachaga wanatisha

The 10 richest Tanzanians on the Dar es Salaam Stock Exchange
Patrick Schegg a former Hedge fund manager, owns the most valuable portfolio on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) with his net worth valued at $23.5 million according to latest ranking of the wealthiest Tanzanian investors on the DSE done by Billionaires.Africa

The data used for this analysis is sourced from our data provider, S&P Global Market Intelligence, as well as publicly available documents and disclosures.

The valuation of their shares is determined by the prices recorded at the close of trading on June 26, with the valuations converted to U.S. dollars at the prevailing exchange rates.

It is important to note that Billionaires.Africa focuses on individual ownership rather than multi-generational family fortunes. In cases where the breakdown of ownership among siblings or couples is unclear, we attribute the fortune to the most prominent and visible member of the family.

Here are the 10 individuals who currently hold the highest stock ownership positions on the DSE.
1. Patrick Schegg

Net worth on the DSE: $23.5-million

Holdings: NMB Bank PLC, CRDB Bank PLC

Patrick Schegg, a former Hedge fund manager, owns the most valuable portfolio on the Dar es Salaam Stock Exchange. He holds a 1.94-percent stake in commercial bank CRDB and a 0.99-percent stake in NMB Bank. His shares in both banks are worth $ 23.5 million.

2. Aunali Rajabali

Net worth on the DSE: $23.4-million

Holdings: NMB Bank PLC

The Tanzanian tycoon founded Plasco Tanzania, a manufacturer of HDPE and UPVC pipes and fittings. Aunali and his brother, Sajjad Rajabali, own a 3.1-percent stake in NMB Bank.

3. Sajjad Rajabali
Net worth on the DSE: $23.4-million

Holdings: NMB Bank PLC

Sajjad Rajabali, like his brother Aunali, owns a 3.11 percent stake in NMB Bank PLC.

4. Hans Macha

Net worth on the DSE: $6.4-million

Holdings: CRDB Bank

Hans Aingaya Macha, a Tanzanian entrepreneur in the hospitality sector, is one of the largest shareholders of CRDB Bank PLC. His 1.25-percent stake is worth $6.4-million.

5. Ernest Massawe

Net worth on the DSE: $5.3-million

Holdings: TOL Gases Limited

Ernest Massawe is the founder and former managing partner of what is now EY Tanzania and former chairman of the Tanzania Association of Accountants. He owns a 32.49-percent stake in TOL Gases Limited. His stake is worth $ 5.3 million.

6. Murtaza Nasser

Net worth on the DSE: $2.7-million

Holdings: Tanzania Portland Cement

Murtaza Nasser owns 0.9% of Tanzania Portland Cement. His shareholding has a current value of $ 2.7 million.

7. Sayed Kadri

Net worth on the DSE: $2.1-million

Holdings: Tanzania Portland Cement, Swissport Tanzania, Tanzania Cigarette Public Limited

Tanzanian entrepreneur Sayed Kadri has a stock portfolio on the Dar es Salaam bourse that includes 0.59 percent of Tanzania Portland Cement, 0.5 percent of Swissport Tanzania, and 0.004 percent of Tanzania Cigarette Public Limited.

8. Said Bakhresa

Net worth on the DSE: $1.5-million

Holdings: Tanzania Portland Cement

Bakhresa, one of Tanzania’s wealthiest men, owns a 0.51% stake in Tanzania Portland Cement worth $ 1.5 million.

9. Arnold B.S Kilewo

Net worth on the DSE: $1.1-million

Holdings: 5.68-percent of TOL Gases, 0.013-percent in Tanzania Breweries

10. Harold Temu

Net worth on the DSE: $$720,000

Holdings: TOL Gases.
 
Nimekuwekea list ya matajiri wakubwa 10 bora katika soko la hisa Tanzania. Matajiri wenye hisa nyingi kwenye makampuni makubwa Tanzania.

Katika top 10. Weusi wapo wanne tu. Na hao weusi wote ni wachaga.

6 waliobaki wote ni weupe.

Wachaga wanatisha

The 10 richest Tanzanians on the Dar es Salaam Stock Exchange
Patrick Schegg a former Hedge fund manager, owns the most valuable portfolio on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) with his net worth valued at $23.5 million according to latest ranking of the wealthiest Tanzanian investors on the DSE done by Billionaires.Africa

The data used for this analysis is sourced from our data provider, S&P Global Market Intelligence, as well as publicly available documents and disclosures.

The valuation of their shares is determined by the prices recorded at the close of trading on June 26, with the valuations converted to U.S. dollars at the prevailing exchange rates.

It is important to note that Billionaires.Africa focuses on individual ownership rather than multi-generational family fortunes. In cases where the breakdown of ownership among siblings or couples is unclear, we attribute the fortune to the most prominent and visible member of the family.

Here are the 10 individuals who currently hold the highest stock ownership positions on the DSE.
1. Patrick Schegg

Net worth on the DSE: $23.5-million

Holdings: NMB Bank PLC, CRDB Bank PLC

Patrick Schegg, a former Hedge fund manager, owns the most valuable portfolio on the Dar es Salaam Stock Exchange. He holds a 1.94-percent stake in commercial bank CRDB and a 0.99-percent stake in NMB Bank. His shares in both banks are worth $ 23.5 million.

2. Aunali Rajabali

Net worth on the DSE: $23.4-million

Holdings: NMB Bank PLC

The Tanzanian tycoon founded Plasco Tanzania, a manufacturer of HDPE and UPVC pipes and fittings. Aunali and his brother, Sajjad Rajabali, own a 3.1-percent stake in NMB Bank.

3. Sajjad Rajabali
Net worth on the DSE: $23.4-million

Holdings: NMB Bank PLC

Sajjad Rajabali, like his brother Aunali, owns a 3.11 percent stake in NMB Bank PLC.

4. Hans Macha

Net worth on the DSE: $6.4-million

Holdings: CRDB Bank

Hans Aingaya Macha, a Tanzanian entrepreneur in the hospitality sector, is one of the largest shareholders of CRDB Bank PLC. His 1.25-percent stake is worth $6.4-million.

5. Ernest Massawe

Net worth on the DSE: $5.3-million

Holdings: TOL Gases Limited

Ernest Massawe is the founder and former managing partner of what is now EY Tanzania and former chairman of the Tanzania Association of Accountants. He owns a 32.49-percent stake in TOL Gases Limited. His stake is worth $ 5.3 million.

6. Murtaza Nasser

Net worth on the DSE: $2.7-million

Holdings: Tanzania Portland Cement

Murtaza Nasser owns 0.9% of Tanzania Portland Cement. His shareholding has a current value of $ 2.7 million.

7. Sayed Kadri

Net worth on the DSE: $2.1-million

Holdings: Tanzania Portland Cement, Swissport Tanzania, Tanzania Cigarette Public Limited

Tanzanian entrepreneur Sayed Kadri has a stock portfolio on the Dar es Salaam bourse that includes 0.59 percent of Tanzania Portland Cement, 0.5 percent of Swissport Tanzania, and 0.004 percent of Tanzania Cigarette Public Limited.

8. Said Bakhresa

Net worth on the DSE: $1.5-million

Holdings: Tanzania Portland Cement

Bakhresa, one of Tanzania’s wealthiest men, owns a 0.51% stake in Tanzania Portland Cement worth $ 1.5 million.

9. Arnold B.S Kilewo

Net worth on the DSE: $1.1-million

Holdings: 5.68-percent of TOL Gases, 0.013-percent in Tanzania Breweries

10. Harold Temu

Net worth on the DSE: $$720,000

Holdings: TOL Gases.
Soko la hisa la bongo ni takataka.


Hizo thamani za hisa unazoziona ni sawa na hot air balloon.


Mpaka makampuni ya KITAPELI Kama JATU yako DSE
 
nikusahishe ya kwamba IST wana tawi Arusha na kwamba hakunaga guarantee 100% ya kufanikiwa ila tunaangalia probability (uwezekano)

wanayo arusha pia lakini School ya fees ya arusha na dar zinatofautiana kwa kiasi kikubwa

Dar ni super expensive kwa Shula zote Braaeburn na IST kama una uwezo ni afadhali ungempelaka arusha kwa unafuu wa Bei
 
Arusha na moshi ni miji ya karibu sana wanashea vingi hata airport, wengi hufanya shughuli Arusha wanarudi Moshi and viceversa,

unataka list ya shule, ok!

Arusha Meru International school .
International school of Moshi
International school of Tanganyika
The Tanganyika schools
Keneddy house
St Constatine
UWC East Africa
Jaffery Academy
Christ Church International School
Sunflower internationa school

Kiufupi hawa watu wa Moshi na Arusha kwenye elimu wapo mbali mno, mtu akiwa na iwezo wa pesa haoni anasomesha huko.

Huko kwengine naona matajiri wengi bado wanakazania watoto wao shule hizi za Necta, bado wana mwamko mdogo kuamini kwamba shule ni saint marys ama saint francis.


Gharama ya kusomesha mtoto mmoja dar braeburn na IST unasomesha watoto kumi kwenye hizo shule ulizotaja

Ukanda huo wa Arusha international schools zipo nyingi je zina quality na standard ya Kimataifa? Tanzania shule ni tatu au nne zenye international standards

1.IST
2. Braeburn
3. HOPAC
4. DIA
 

Attachments

  • IMG_9734.jpeg
    IMG_9734.jpeg
    271.2 KB · Views: 13
Back
Top Bottom