GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wana Yanga SC wote walijaa hadi Pomoni kwa Mkapa wakijua kuwa kama Ugenini mlishinda Goli 2 basi leo kwa Mkapa Wanaijeria wangekufa / wangefungwa Goli nyingi kuanzia 3 kwenda mbele matokeo yake imeisha Suluhu ( 0 - 0 )
Najua mnashangilia Shingo upande tu huku mkiwa Wanafiki kwani matokeo mliyoyapata hamkuyatarajia kamwe na ndiyo maana Mashabiki wote wa Yanga SC waliokuwa Uwanjani wanamlaumu mno Kocha Mkuu wenu Nabi kwa Kubeti Kupanga Wachezaji wasio Wazoefu katika Mechi muhimu kama hii ya Leo tena ikichezewa Nyumbani nchini Tanzania.
Najua mnashangilia Shingo upande tu huku mkiwa Wanafiki kwani matokeo mliyoyapata hamkuyatarajia kamwe na ndiyo maana Mashabiki wote wa Yanga SC waliokuwa Uwanjani wanamlaumu mno Kocha Mkuu wenu Nabi kwa Kubeti Kupanga Wachezaji wasio Wazoefu katika Mechi muhimu kama hii ya Leo tena ikichezewa Nyumbani nchini Tanzania.