mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,174
- 2,912
Ivi Simba na Yanga Nan alikua na kibarua kigumu kumzid mwenzie?Ni sawa na kusema yanga walifungwa na simba kwa kuzidiwa kumbe wenzako walilenga robo fainal wakakuacha udemke kwa mkapa matokeo yake
Ile game mlizidiwa kimbinu huo ndio ukweli .
Ukitaka kuamin hilo angalia huyo profeseli wenu aliwaingiza wachezaj wote hakubakiza hata sub Moja lakin aligonga mwamba Kwa robertinyo.
Kuna muda muwe mnakubali ukweli pale mnapozidiwa na mpinzan wenu.
Na hata Simba na Yanga wakikutana fainal ya FA ,bingwa ni Mnyama hilo halina ubishi ,Nabi Hana jeur Kwa huyo Mzee wa kibrazil maana ashampiga Zaid ya mara tatu akiwa na timu tofaut tofaut ,Ile game angekalia usukani mgunda ni wazi mngeshinda maana mgunda amezidiwa mbinu na Nabi.
Kuingia nusu final shirikisho kusiwapumbaze kias hicho had mjione ni miungu watu.
Nyongeza hakuna mechi Yanga aliitaman kama ile ya derby maana alitaka atangazie ubingwa kibabe Kwa mnyama na mnyama aligoma hiyo dharau .