GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Asante kwa taarifa!Wana Yanga SC wote walijaa hadi Pomoni kwa Mkapa wakijua kuwa kama Ugenini mlishinda Goli 2 basi leo kwa Mkapa Wanaijeria wangekufa / wangefungwa Goli nyingi kuanzia 3 kwenda mbele matokeo yake imeisha Suluhu ( 0 - 0 )
Najua mnashangilia Shingo upande tu huku mkiwa Wanafiki kwani matokeo mliyoyapata hamkuyatarajia kamwe na ndiyo maana Mashabiki wote wa Yanga SC waliokuwa Uwanjani wanamlaumu mno Kocha Mkuu wenu Nabi kwa Kubeti Kupanga Wachezaji wasio Wazoefu katika Mechi muhimu kama hii ya Leo tena ikichezewa Nyumbani nchini Tanzania.
HahahaKajambe ulale popoma mkuu
Jibu la kikatili sana Apostle!Furaha mkiwa nayo nyie Wana Simba, inatosha.
Ukifurahia wewe pompoma inatoshaWana Yanga SC wote walijaa hadi Pomoni kwa Mkapa wakijua kuwa kama Ugenini mlishinda Goli 2 basi leo kwa Mkapa Wanaijeria wangekufa / wangefungwa Goli nyingi kuanzia 3 kwenda mbele matokeo yake imeisha Suluhu ( 0 - 0 )
Najua mnashangilia Shingo upande tu huku mkiwa Wanafiki kwani matokeo mliyoyapata hamkuyatarajia kamwe na ndiyo maana Mashabiki wote wa Yanga SC waliokuwa Uwanjani wanamlaumu mno Kocha Mkuu wenu Nabi kwa Kubeti Kupanga Wachezaji wasio Wazoefu katika Mechi muhimu kama hii ya Leo tena ikichezewa Nyumbani nchini Tanzania.
Itakuwa Scars huyoJibu la kikatili sana Apostle!
Baidhawee, sisi tulijua tumeshafuzu kuingia nusu fainali. Haikuwepo haja ya kutumia nguvu kubwa kuwachosha wachezaji. Everything was planned.
Naomba kukabidhi maiki kwa jamaa zetu waliokufa kiume. Hivi nani aliwaambia kifo kina jinsia?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Na ndio jibu sahihi. Unaanzaje kuhamanika na udhuni ya majirani kama wewe unafuraha? π π πJibu la kikatili sana Apostle!
Baidhawee, sisi tulijua tumeshafuzu kuingia nusu fainali. Haikuwepo haja ya kutumia nguvu kubwa kuwachosha wachezaji. Everything was planned.
Naomba kukabidhi maiki kwa jamaa zetu waliokufa kiume. Hivi nani aliwaambia kifo kina jinsia?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu hii comment muwekee lamination halafu akabandike ukutani kwake, ajue mpira ni mipango sio kutumia nguvu nyingi za kutaka sifa wakati hazitafutwi alama tatu pale bali ni aggregateEsperance kashinda moja ugenini kufika kwake kalinda ushindi wa goli moja akadroo.Mamelod kashinda nne ugenini kufika kwake kalinda ushindi wake akapata ushindi mwembamba wa goli mbili moja.
Hao sio kwamba walishindwa kufunguka bali waliiona mechi washa zimaliza na walinde walichokuwa nacho na kuepusha majeruhi kwa wachezaji wao.