Bahati nzuri wanaoteuliwa ni watanzania ambacho ndo kigezo kikuu. Mengine ni ziada
Hapa kwetu vigezo huwa havizingatiwi sana:Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Mama Samia asiwasahau Makonda na Sabaya. Kule magerezani kipindi hiki ndiyo huwa wanateuliwa nyapara wa wafungwa. Wasipowahishwa wataishia kusota kwa kazi ngumu.Rebecca Gyumi atapata ukuu wa wilaya
Natabiri tu
Ngoja nami nijipigie debe mwenyewe SSH mimi nafaa.
Utakuja hapa kuniambia, maan nachoona kwa shilole now time, teuzi ipo karibu wallah.Shilole zero Brain hawezi kuwa DC
Huamini?Ha ha ha ha haya bnaaaa....
Kwani huu ni utawala wa msoga? Heeeeh kumbe inaendeshwa kwa remote kweli? TobaaaahNani kakudanganya?? Unadhani zingekua zinaiva na bi mkubwa angeacha kumpa ulaji?? Mzee wa msoga unadhani alipenda kutajwa na Bashite kua anauza powder, hadi Rizmoko akahojiwa?? Msoga anampenda sana mwanae! Ni mara mia umuzingue msoga na sio mwanae
hawezi kumteua kahaba yuleUtakuja hapa kuniambia, maan nachoona kwa shilole now time, teuzi ipo karibu wallah.
Maza hawezi kufanya huo ujinga hata dak 1Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Duuh! Hii code imeaniacha Sana. Au yule Ndo..s?Kuna dada mmoja wa nyama choma anajitahidi sana kujipigia chapuo kijanja janja.
Asipoteuliwa sijui!!![emoji1745]
Na wanachama watiifu wa CCM.Bahati nzuri wanaoteuliwa ni watanzania ambacho ndo kigezo kikuu. Mengine ni ziada
Basi atamteuaBashite na bi mkubwa ni damu damu. Mama anakiri nyota yake ya kisiasa iling'arishwa na Bashite wakati wa bunge la katika.
Tanzania hii, kumbe bado sana.Acha kila mtu apate as long as ni mtanzania haina noma.
Yaani watu wengine sijui ubongo upo ugokoni au..Mama kaahidi kuwa katika teuzi zake atateua wanawake na wanaume 50/50.
Suala sio wanawake au wanaume kuteuliwa. Suala ni hao wanawake anaolazimisha awateue wana uwezo?
Tumeshuhudia vituko vingi kutoka kwa wabunge wa viti maalum. Wengine wamepewa hadi unaibu Waziri ila hata kusoma majibu walioandikiwa hawawezi.
Mama Samia Suluhu Hassan zingatia uwezo wa mtu sio kuteua tu ili uonekane umeteua wanawake.
Kuwa makini hatutaki malaya na wadangaji katika teuzi zako.
Umeona maana connections huna hata kujipigia debe ushindwe mkuuMimi ningekua na mimi sijaharibu,ningejipigia debe na mimi.. LOL