Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

Waziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa....
  1. Waziri ambaye ameteuliwa na kuapa mbele ya Rais, na ambaye ni mjumbe wa Baraza La Mawaziri ambalo maamuzi yake hayahojiwi na chombo chochote nchini, ana hadhi kiwango gani ndani ya serikali?
  2. Waziri na Rais wanawasiliana ama kuonana vipi ilihali Rais ndiye amewateua kama wasaidizi muhimu kusimamia sekta zote nchini?
  3. Wasaidizi wa rais wana mamlaka gani kumzuia Waziri kuonana na rais pale anapoomba kufanya hivyo?
  4. Ikulu yetu ina utaratibu gani wa kumsaidia rais kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuonana ama kujadiliana ama kuwasiliana kwa karibu na wasaidizi wake muhimu na wakuu wa sekta zote nchini? yaani Mawaziri na manaibu wao..
  5. Kauli ya Waziri Mkenda inatuma ujumbe gani kwetu sisi wapigakura ambao hapo Oktoba tutatumia vichinjio vyetu kuchagua viongozi wa nchi?

Karibuni tujadili

1. Labda huyo waziri hana hadhi ukikumbuka alishawahi kuambiwa: "No ses" na Bi kizomkazi pale propesa alipokataa sukari ya uganda isije bogo.
Alilikanyaga tena alipowatuhumu maofisa wa HESLAB kwamba walimfanyia kauzibe lakini tume ya bunge la betina ikamshushua.
 
Kuna dogo mmoja kanambia vitu vya kuhuzunisha na vimenifikirisha..

Kwenye hizi interview za ualimu ana division one o- level na a-level na chuo gpa 3.6 kwenye pepa za utumishi not selected

From credible source mitiani ya ualimu utumishi inavuja na watoto wa maskini Hawa penyi kwenye saili za uonevu..

Pole kwa WATANZANIA wa Hali ya Chini..
Kuna katibu wa CCM wa kata fulani huko Kusini, aliniomba nimfanyie mpango kijana wake aliyemaliza Shahada ya Elimu mwaka 2019 ili apate ajira serikalini, nikamwambia amwambie "Mama Mitano Tena" amsaidie.

WanaCCM hawajui kuwa shida za Tanzania zinazoendelezwa na CCM hazibagui wana CCM, au wa upinzani au asiye na chama!!
 
Hatimaye nyoka.anaanza kutoka kwenye kichuguu, zile tulizokuwa tunaona ni porojo sasa zinaanza ku emerge. Raisi anatulizwa anatafutiwa safari na.mikutano tuu.asishughulike na.mambo muhimu ndio haya.saa.

Sijui Kabendera hapo.anasemaje najua atatoa article tuu. Polepole na.shule.yake ya.uongozi.aliwaita.wahuni . Tukatae wahuni
 
Kuna katibu wa CCM wa kata fulani huko Kusini, aliniomba nimfanyie mpango kijana wake aliyemaliza Shahada ya Elimu mwaka 2019 ili apate ajira serikalini, nikamwambia amwambie "Mama Mitano Tena" amsaidie.

WanaCCM hawajui kuwa shida za Tanzania zinazoendelezwa na CCM hazibagui wana CCM, au wa upinzani au asiye na chama!!
Sahihi mkuu.
 
Ulinzi na usalama wa IKULU NA RAIS uko mikononi mwa walinzi wake na si yeyote yule

Yes analibwa na walinzi wake. Lakini walinzi sio kazi yao kuamua nani aonane na Rais. Kuna namna Ikulu inavyofanya kazi.
Uraisi ni taasisi kubwa na yenye maslahi mapana sana
 
Yes analibwa na walinzi wake. Lakini walinzi sio kazi yao kuamua nani aonane na Rais. Kuna namna Ikulu inavyofanya kazi.
Uraisi ni taasisi kubwa na yenye maslahi mapana sana
Aliyelalamika pia ni sehemu ya taasisi ya urais
 
Kauzibe kila sehemu!! Huu mfumo lazima ukome October hii. Watanganyika ni muda wa kuamua sasa.

Kama.Waziri anabaniwa wewe je mwanachi kapuku utapata unachostahili kisheria ama kikatiba?
Chukua hatua sasa, tuondoke na mbeba maono 2025.
 
Ni mmojawapo wa wasaidizi wa rais ingawa hakai wala kufanyia kazi Ikulu

Tunashindania nini kwani? Kuna kombe au tunalipwa? Kila mtu akae na ujinga wake. Mpaka anaenda kusema hadharani ina maana hana access na Rais kama wale walio wasaidizi wake moja kwa moja kule jumba kubwa.

Ila kina sisi tunajua kweli kweli. Basi na iwe kama ujuajin wetu ulivyo 😂 😂 😂 😂
 
Waziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa....
  1. Waziri ambaye ameteuliwa na kuapa mbele ya Rais, na ambaye ni mjumbe wa Baraza La Mawaziri ambalo maamuzi yake hayahojiwi na chombo chochote nchini, ana hadhi kiwango gani ndani ya serikali?
  2. Waziri na Rais wanawasiliana ama kuonana vipi ilihali Rais ndiye amewateua kama wasaidizi muhimu kusimamia sekta zote nchini?
  3. Wasaidizi wa rais wana mamlaka gani kumzuia Waziri kuonana na rais pale anapoomba kufanya hivyo?
  4. Ikulu yetu ina utaratibu gani wa kumsaidia rais kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuonana ama kujadiliana ama kuwasiliana kwa karibu na wasaidizi wake muhimu na wakuu wa sekta zote nchini? yaani Mawaziri na manaibu wao..
  5. Kauli ya Waziri Mkenda inatuma ujumbe gani kwetu sisi wapigakura ambao hapo Oktoba tutatumia vichinjio vyetu kuchagua viongozi wa nchi?

Karibuni tujadili

Waziri yupi sasa???
Waziri Rajabu au?¿
 
Kuna dogo mmoja kanambia vitu vya kuhuzunisha na vimenifikirisha..

Kwenye hizi interview za ualimu ana division one o- level na a-level na chuo gpa 3.6 kwenye pepa za utumishi not selected

From credible source mitiani ya ualimu utumishi inavuja na watoto wa maskini Hawa penyi kwenye saili za uonevu..

Pole kwa WATANZANIA wa Hali ya Chini..
Ajipange vizuri,historia ya mitihani ya nyuma haitomsaidia
 
Back
Top Bottom