Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

Waziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa....
  1. Waziri ambaye ameteuliwa na kuapa mbele ya Rais, na ambaye ni mjumbe wa Baraza La Mawaziri ambalo maamuzi yake hayahojiwi na chombo chochote nchini, ana hadhi kiwango gani ndani ya serikali?
  2. Waziri na Rais wanawasiliana ama kuonana vipi ilihali Rais ndiye amewateua kama wasaidizi muhimu kusimamia sekta zote nchini?
  3. Wasaidizi wa rais wana mamlaka gani kumzuia Waziri kuonana na rais pale anapoomba kufanya hivyo?
  4. Ikulu yetu ina utaratibu gani wa kumsaidia rais kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuonana ama kujadiliana ama kuwasiliana kwa karibu na wasaidizi wake muhimu na wakuu wa sekta zote nchini? yaani Mawaziri na manaibu wao..
  5. Kauli ya Waziri Mkenda inatuma ujumbe gani kwetu sisi wapigakura ambao hapo Oktoba tutatumia vichinjio vyetu kuchagua viongozi wa nchi?

Karibuni tujadili
Hivi Waziri Rajabu ni nani katika nchi hii?

Tuliwahi kusikia kuwa anaweza kumfokea yeyote katika nchi hii.

Mfumo ufanye kazi yake
 
Ni kuulize wewe aliyeleta hilo neno kwenye huu mjadala
Samia anawahonga wapinzani pesa kuanzia waziwazi makanisani mpaka kwa kificho kwa kumtumia mwanawe Abdul .

Tundu Lissu kasema Abdul kamfuata anataka kumuhonga ili Lissu asimseme mama yake.

Na mpaka sasa si Samia wala Abdul aliyekanusha habari hiyo.

Na huku bado Samia anawapiga watu mauzauza ya maridhiano.

Wewe unamuaona yuko sawa huyo mtu?
 
Inamaana hakuna channels za siri za moja kwa moja kati ya raisi na wateule wake? Yani waziri naye anakalishwa benchi kusubiri protokali za CF ndani ya ikulu?
Inashangaza kwa kweli.
 
Kuna dogo mmoja kanambia vitu vya kuhuzunisha na vimenifikirisha..

Kwenye hizi interview za ualimu ana division one o- level na a-level na chuo gpa 3.6 kwenye pepa za utumishi not selected

From credible source mitiani ya ualimu utumishi inavuja na watoto wa maskini Hawa penyi kwenye saili za uonevu..

Pole kwa WATANZANIA wa Hali ya Chini..
Interview kapata marks ngapi?
 
Tatizo lenu mnamchukulia poa yule mama 😃 ila me niwambie tu yule mama sio poa.
 
Interview kapata marks ngapi?
Mwalimu huwezi ku mpima kwa APTITUDE TEST.

UWEZO WA KUJIBU MULTIPLE CHOICE NDIO USEME KUA UMEMCHUJAA

WORSE ENOUGH MITIANI INA VUJA....NI BORA UCHUKUE MTU ALIE PATA 30-40% KWA KUTUMIA AKILI YAKE ILA SIO MTU MWENYE 80%_ 100% ya kudesa

Siku zote naamini mwalimu ni content/ mwalimu sio G.P.A mwalimu mzur hapatikani kwa maswali ya multiple choice 😊😊☺️☺️

Ntacho mshaur Kama kakosa aachane na kuwa mwalimu atumie ELIMU yake vizuri ku KICK ODDS & LIFE na ni brainy nzurii TU Ila ndio ivoo
 
Waziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa....
  1. Waziri ambaye ameteuliwa na kuapa mbele ya Rais, na ambaye ni mjumbe wa Baraza La Mawaziri ambalo maamuzi yake hayahojiwi na chombo chochote nchini, ana hadhi kiwango gani ndani ya serikali?
  2. Waziri na Rais wanawasiliana ama kuonana vipi ilihali Rais ndiye amewateua kama wasaidizi muhimu kusimamia sekta zote nchini?
  3. Wasaidizi wa rais wana mamlaka gani kumzuia Waziri kuonana na rais pale anapoomba kufanya hivyo?
  4. Ikulu yetu ina utaratibu gani wa kumsaidia rais kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuonana ama kujadiliana ama kuwasiliana kwa karibu na wasaidizi wake muhimu na wakuu wa sekta zote nchini? yaani Mawaziri na manaibu wao..
  5. Kauli ya Waziri Mkenda inatuma ujumbe gani kwetu sisi wapigakura ambao hapo Oktoba tutatumia vichinjio vyetu kuchagua viongozi wa nchi?

Karibuni tujadili

Msanii hujamwelewa Waziri, alikuwa anasistiza umakini wa Raisi kusikiliza hoja za watendaji wake wake na kuwafundisha, kuwaelimisha na kuwapa hekima wasaidizi wake. Msanii😁 please read between the lines of the whole speech.
 
Hili linaonyesha msaidizi wa Rais anaweza muamrisha hata IGP au DGS what a useless state
 
Mwalimu huwezi ku mpima kwa APTITUDE TEST.

UWEZO WA KUJIBU MULTIPLE CHOICE NDIO USEME KUA UMEMCHUJAA

WORSE ENOUGH MITIANI INA VUJA....NI BORA UCHUKUE MTU ALIE PATA 30-40% KWA KUTUMIA AKILI YAKE ILA SIO MTU MWENYE 80%_ 100% ya kudesa

Siku zote naamini mwalimu ni content/ mwalimu sio G.P.A mwalimu mzur hapatikani kwa maswali ya multiple choice [emoji4][emoji4][emoji3526][emoji3526]

Ntacho mshaur Kama kakosa aachane na kuwa mwalimu atumie ELIMU yake vizuri ku KICK ODDS & LIFE na ni brainy nzurii TU Ila ndio ivoo
Bora umshauri atafute njia nyingine ya kusongesha maisha yake.
Ajira aweke pending.
 
Screenshot_2025-02-03-16-05-21-734_com.twitter.android~2.jpg
 
Back
Top Bottom