Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Steve Nyerere au Shilole wana nguvu kuliko WaziriWaziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa....
- Waziri ambaye ameteuliwa na kuapa mbele ya Rais, na ambaye ni mjumbe wa Baraza La Mawaziri ambalo maamuzi yake hayahojiwi na chombo chochote nchini, ana hadhi kiwango gani ndani ya serikali?
- Waziri na Rais wanawasiliana ama kuonana vipi ilihali Rais ndiye amewateua kama wasaidizi muhimu kusimamia sekta zote nchini?
- Wasaidizi wa rais wana mamlaka gani kumzuia Waziri kuonana na rais pale anapoomba kufanya hivyo?
- Ikulu yetu ina utaratibu gani wa kumsaidia rais kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuonana ama kujadiliana ama kuwasiliana kwa karibu na wasaidizi wake muhimu na wakuu wa sekta zote nchini? yaani Mawaziri na manaibu wao..
- Kauli ya Waziri Mkenda inatuma ujumbe gani kwetu sisi wapigakura ambao hapo Oktoba tutatumia vichinjio vyetu kuchagua viongozi wa nchi?
Karibuni tujadili
Ameagiza wakalitizame na hiloSijui Rais mwenyewe amelichukuliaje
🤣 🤣 🤣Narudia tena malipo ni hapa hapa duniani nakumbuka nilipata tabu sana kumpata waziri mkenda ofisini kwake hahahahaaaa.
😲😲😲Kuna dogo mmoja kanambia vitu vya kuhuzunisha na vimenifikirisha..
Kwenye hizi interview za ualimu ana division one o- level na a-level na chuo gpa 3.6 kwenye pepa za utumishi not selected
From credible source mitiani ya ualimu utumishi inavuja na watoto wa maskini Hawa penyi kwenye saili za uonevu..
Pole kwa WATANZANIA wa Hali ya Chini..
🤔 🤔 🤔Sasa huyo Waziri kama kweli alikuwa na lengo la kuonana na rais akakataliwa alishindwa nini kumpigia Steve Mengele, au Shilole au Mwijaku wamsaidie? Ina maana hana namba zao?
🤣 🤣 🤣Rais mwenyewe Unakuta alikua ameenda Saloon kupaka Hina unadhani atakua na Muda wa kuonana na Mtendaji wake
Hata aliyepo amechoka, ndiyo maana ameamua kulisanua tu.Muda wowote mkeka utachanika wizara ya elimu. Nimetoka kuota tu sasa hivi ni ndoto tu.
Crown prince wenu mimi simtambui.Ndie crown 👑 prince MTOTO wa kiume wa sa100
Ukitzama vyema yule mleta kikaratasi alipita nyuma hadi upande aliokuwa amekaa katibu wa rais then ndio akaja na kimemoMnadhan Prof Mkenda ni mjinga hadi aseme yale yote hadharani mbele ya WaTz...? Anajua nini kitatokea na amejipanga.
Ndiyo maana hata kile kikaratasi amekisoma kwa kujiamini huku akiwageukia walimpatia.
Prof Mkenda October apigiwe kura nyingi arudi bungeni huyu mzee ana faida kwa nchi yetu.
Lete ushahidi wa hayo magumashiRais mwenyewe magumashi. Unategemea nini?
Mwaka gani na mzazi alikuwa na cheo gani?Dogo shule kwanza picha linaanza time over dogo kagoma kukusanya pepa anaendelea kujaza anaambiwa time is over anaendelea kujaza kwa hio ticha sababu dogo ni mtoto wa mkubwa inabidi amuache aendelee kujaza mpaka atakapojisikia yeye kukusanya chumba kizima kabakia peke yake
Ngoja niendelee kunywa mtori labda nyama nita,zikuta chini!Rais mwenyewe magumashi. Unategemea nini?
🤣🤣🤣Steve Nyerere au Shilole wana nguvu kuliko Waziri
Magumashi ni nini kwanza?Lete ushahidi wa hayo magumashi
Taarifa alikuwa nazo kuwa unamtafuta?Narudia tena malipo ni hapa hapa duniani nakumbuka nilipata tabu sana kumpata waziri mkenda ofisini kwake hahahahaaaa.
Mkenda yuko tayari kwa lolote hataki ujinga na hili lilimkera sana ndo maana ameongea hapo!Mnadhan Prof Mkenda ni mjinga hadi aseme yale yote hadharani mbele ya WaTz...? Anajua nini kitatokea na amejipanga.
Ndiyo maana hata kile kikaratasi amekisoma kwa kujiamini huku akiwageukia walimpatia.
Prof Mkenda October apigiwe kura nyingi arudi bungeni huyu mzee ana faida kwa nchi yetu.