Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Wasaidizi wakina Mwijaku unategemea nini?Rais mwenyewe magumashi. Unategemea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasaidizi wakina Mwijaku unategemea nini?Rais mwenyewe magumashi. Unategemea nini?
Huyo aendelee hivyo kula hela za mama yakeNdie crown 👑 prince MTOTO wa kiume wa sa100
Dogo shule aliyosoma tuna story zakeNgoja Abdul akusikie 🏃🏃🏃🏃
Inaonekana mama hajui chochote kinachoendelea nchiniWaziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa....
- Waziri ambaye ameteuliwa na kuapa mbele ya Rais, na ambaye ni mjumbe wa Baraza La Mawaziri ambalo maamuzi yake hayahojiwi na chombo chochote nchini, ana hadhi kiwango gani ndani ya serikali?
- Waziri na Rais wanawasiliana ama kuonana vipi ilihali Rais ndiye amewateua kama wasaidizi muhimu kusimamia sekta zote nchini?
- Wasaidizi wa rais wana mamlaka gani kumzuia Waziri kuonana na rais pale anapoomba kufanya hivyo?
- Ikulu yetu ina utaratibu gani wa kumsaidia rais kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuonana ama kujadiliana ama kuwasiliana kwa karibu na wasaidizi wake muhimu na wakuu wa sekta zote nchini? yaani Mawaziri na manaibu wao..
- Kauli ya Waziri Mkenda inatuma ujumbe gani kwetu sisi wapigakura ambao hapo Oktoba tutatumia vichinjio vyetu kuchagua viongozi wa nchi?
Karibuni tujadili
Wasaidizi wa Rais wanafuata amri ya Abdul Mwijaku Zembwela Maulid Kitenge Steve Mengele unategemea nini?Kawasagia kunguni
Hii kauli ilinishtua sana waziri hana access na Boss wakeWaziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa....
- Waziri ambaye ameteuliwa na kuapa mbele ya Rais, na ambaye ni mjumbe wa Baraza La Mawaziri ambalo maamuzi yake hayahojiwi na chombo chochote nchini, ana hadhi kiwango gani ndani ya serikali?
- Waziri na Rais wanawasiliana ama kuonana vipi ilihali Rais ndiye amewateua kama wasaidizi muhimu kusimamia sekta zote nchini?
- Wasaidizi wa rais wana mamlaka gani kumzuia Waziri kuonana na rais pale anapoomba kufanya hivyo?
- Ikulu yetu ina utaratibu gani wa kumsaidia rais kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuonana ama kujadiliana ama kuwasiliana kwa karibu na wasaidizi wake muhimu na wakuu wa sekta zote nchini? yaani Mawaziri na manaibu wao..
- Kauli ya Waziri Mkenda inatuma ujumbe gani kwetu sisi wapigakura ambao hapo Oktoba tutatumia vichinjio vyetu kuchagua viongozi wa nchi?
Karibuni tujadili
Naku tafuta mkuuNgoja Abdul akusikie 🏃🏃🏃🏃
SIo kila nyuzi ni za kucomment, Bando langu halafu linifunge mimi mwenyewe? Vidole komaWaziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa....
- Waziri ambaye ameteuliwa na kuapa mbele ya Rais, na ambaye ni mjumbe wa Baraza La Mawaziri ambalo maamuzi yake hayahojiwi na chombo chochote nchini, ana hadhi kiwango gani ndani ya serikali?
- Waziri na Rais wanawasiliana ama kuonana vipi ilihali Rais ndiye amewateua kama wasaidizi muhimu kusimamia sekta zote nchini?
- Wasaidizi wa rais wana mamlaka gani kumzuia Waziri kuonana na rais pale anapoomba kufanya hivyo?
- Ikulu yetu ina utaratibu gani wa kumsaidia rais kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuonana ama kujadiliana ama kuwasiliana kwa karibu na wasaidizi wake muhimu na wakuu wa sekta zote nchini? yaani Mawaziri na manaibu wao..
- Kauli ya Waziri Mkenda inatuma ujumbe gani kwetu sisi wapigakura ambao hapo Oktoba tutatumia vichinjio vyetu kuchagua viongozi wa nchi?
Karibuni tujadili
Majibu kwa hali ya sasa ni hayaWaziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa....
- Waziri ambaye ameteuliwa na kuapa mbele ya Rais, na ambaye ni mjumbe wa Baraza La Mawaziri ambalo maamuzi yake hayahojiwi na chombo chochote nchini, ana hadhi kiwango gani ndani ya serikali?
- Waziri na Rais wanawasiliana ama kuonana vipi ilihali Rais ndiye amewateua kama wasaidizi muhimu kusimamia sekta zote nchini?
- Wasaidizi wa rais wana mamlaka gani kumzuia Waziri kuonana na rais pale anapoomba kufanya hivyo?
- Ikulu yetu ina utaratibu gani wa kumsaidia rais kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuonana ama kujadiliana ama kuwasiliana kwa karibu na wasaidizi wake muhimu na wakuu wa sekta zote nchini? yaani Mawaziri na manaibu wao..
- Kauli ya Waziri Mkenda inatuma ujumbe gani kwetu sisi wapigakura ambao hapo Oktoba tutatumia vichinjio vyetu kuchagua viongozi wa nchi?
Karibuni tujadili
Anaweka Wasaidizi mafala unategemea nini?Inaonekana mama hajui chochote kinachoendelea nchini
Kuna dogo mmoja kanambia vitu vya kuhuzunisha na vimenifikirisha..Huyo aendelee hivyo kula hela za mama yake
ccm ni laana kwa taifaRais mwenyewe magumashi. Unategemea nini?
Kwa faida ya wengi tusimulieDogo shule aliyosoma tuna story zake
Kwa utawala huu GPA yako kubwa weka pembeni saka Connector popote ilipoKuna dogo mmoja kanambia vitu vya kuhuzunisha na vimenifikirisha..
Kwenye hizi interview za ualimu ana division one o- level na a-level na chuo gpa 3.6 kwenye pepa za utumishi not selected
From credible source mitiani ya ualimu utumishi inavuja na watoto wa maskini Hawa penyi kwenye saili za uonevu..
Pole kwa WATANZANIA wa Hali ya Chini..
Dogo shule kwanza picha linaanza time over dogo kagoma kukusanya pepa anaendelea kujaza anaambiwa time is over anaendelea kujaza kwa hio ticha sababu dogo ni mtoto wa mkubwa inabidi amuache aendelee kujaza mpaka atakapojisikia yeye kukusanya chumba kizima kabakia peke yakeKwa faida ya wengi tusimulie
Nipo home hapa tutumie njia gani kuwasiliana...Ile simu huwa naacha ofisiniNaku tafuta mkuu
😅 Inaumiza Sana vijana wa familia za KIMASIKINI watajinyongaKwa utawala huu GPA yako kubwa weka pembeni saka Connector popote ilipo