Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

1. Labda huyo waziri hana hadhi ukikumbuka alishawahi kuambiwa: "No ses" na Bi kizomkazi pale propesa alipokataa sukari ya uganda isije bogo.
Alilikanyaga tena alipowatuhumu maofisa wa HESLAB kwamba walimfanyia kauzibe lakini tume ya bunge la betina ikamshushua.
 
Kuna katibu wa CCM wa kata fulani huko Kusini, aliniomba nimfanyie mpango kijana wake aliyemaliza Shahada ya Elimu mwaka 2019 ili apate ajira serikalini, nikamwambia amwambie "Mama Mitano Tena" amsaidie.

WanaCCM hawajui kuwa shida za Tanzania zinazoendelezwa na CCM hazibagui wana CCM, au wa upinzani au asiye na chama!!
 
Hatimaye nyoka.anaanza kutoka kwenye kichuguu, zile tulizokuwa tunaona ni porojo sasa zinaanza ku emerge. Raisi anatulizwa anatafutiwa safari na.mikutano tuu.asishughulike na.mambo muhimu ndio haya.saa.

Sijui Kabendera hapo.anasemaje najua atatoa article tuu. Polepole na.shule.yake ya.uongozi.aliwaita.wahuni . Tukatae wahuni
 
Sahihi mkuu.
 
Ulinzi na usalama wa IKULU NA RAIS uko mikononi mwa walinzi wake na si yeyote yule

Yes analibwa na walinzi wake. Lakini walinzi sio kazi yao kuamua nani aonane na Rais. Kuna namna Ikulu inavyofanya kazi.
Uraisi ni taasisi kubwa na yenye maslahi mapana sana
 
Yes analibwa na walinzi wake. Lakini walinzi sio kazi yao kuamua nani aonane na Rais. Kuna namna Ikulu inavyofanya kazi.
Uraisi ni taasisi kubwa na yenye maslahi mapana sana
Aliyelalamika pia ni sehemu ya taasisi ya urais
 
Kauzibe kila sehemu!! Huu mfumo lazima ukome October hii. Watanganyika ni muda wa kuamua sasa.

Kama.Waziri anabaniwa wewe je mwanachi kapuku utapata unachostahili kisheria ama kikatiba?
Chukua hatua sasa, tuondoke na mbeba maono 2025.
 
Ni mmojawapo wa wasaidizi wa rais ingawa hakai wala kufanyia kazi Ikulu

Tunashindania nini kwani? Kuna kombe au tunalipwa? Kila mtu akae na ujinga wake. Mpaka anaenda kusema hadharani ina maana hana access na Rais kama wale walio wasaidizi wake moja kwa moja kule jumba kubwa.

Ila kina sisi tunajua kweli kweli. Basi na iwe kama ujuajin wetu ulivyo πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Waziri yupi sasa???
Waziri Rajabu au?ΒΏ
 
Ajipange vizuri,historia ya mitihani ya nyuma haitomsaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…