Tutajie orodha ya kozi ambazo hazitoi ajira ili tupate kuzifahamu

Mambo ya nguvu za kiume pia
 
Nenda vyuoni mkuu hasa private probably ukaonwaaaa
 
Shahada ya kwanza
😂😂😂😂😂Kuna siku nilikuwa dodoma kwenye daladala Kaka mnamnyatia nyatia dada,anamuuliza uliza maswali,akaulizwa anasoma chuo gani nasikia binti anajibu anasoma mipango,Kaka kauliza unasoma kozi gani?dada kamjibu anasoma GPA.🙄🙄.....ndio wewe Sasa😂
 
Ahahaha umesema ukweli mtupu procument na hzo ba Ni upuuzi sna hata uwe na ile ya bodi yao Bado msoto Ni mkali mno dada angu anayo hyo procument ila mkp sas hajapata Kaz

Account no koz Kali sna alfu ajira zake zipo kila siku
 
Aisee Bora hat unasema ukweli mnk Kuna watu wabishi sna wanakumbia hyo kozi Ni dili San kwa Sasa watu wa hesabu wnapata kz mapema mno sas njoo mtaani utaonekana mjinga sna na hata ualimu uwezi kuwa dah mbaya San

Mm Ni mesoma account nimeshafanya kazi karibia kampuni tano HV na Wala Sina CPA
 
Unanikumbusha UDSM enzi hizo chini ya Prof. Masenge
 
Dah aisee pole Bora ungepga ata bachelor ya statistics sema unaweza namba sana piga MASTERS YA STATITICS AU ENGINEERING
Mkuu hakuna stress mbaya kama kusoma hali ya kuwa huna pesa!! Maisha ya masters ili uyafurahie atleast uwe umeajiriwa,yaani unasoma huku pesa inaingia. Inatia sonona pale mbapo umesota mtaani na bachelor yako hujui mustakabali wa kazi, majukumu yanakuandama halafu uendelee tena kukaa darasani, ngumu sana!!!

Upo zako mabibo hostel unawaona wenzako wanaokuja kuchukua masters na Phd wote wanapaki ndinga zao nje ya block , wewe unakanyaga kwa miguu mpk soli inaisha. Kula yako inategemea boom la HESLB au viskolaship unavyokuwa funded nusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…