Sasa mzee,dizain ya watu kama hawa si tu tunampoteza tu once akiachwa au achilia mbali kuachwa akisalitiwa tuHe is in love. Just let him.enjoys his life. He is doing the right thing. U dont expect a guy who is in luv to do less than what Nikki2 is doing to his gyal
Sasa mzee,dizain ya watu kama hawa si tu tunampoteza tu once akiachwa au achilia mbali kuachwa akisalitiwa tu
Ya kupigiwaKaongea uongo, wanaume wenye wanawake wenye wanawake wazuri zaidi wanakuwa na maisha ya wasi wasi sana
Mchagga wa darajambili Arusha😂Kijamaa hakipo sawa..sijui ni mchagga wa wapi yule
Tunasubiri amalize kunyonyeshaKweli sikuizi akuna wanaume kuna wanaume wa dar wale waliomliza jumanature mpka wakamsaidiia kuandika albamu ya ugali wameenda wapi? Jamani machalii wa mere Pesa ya tanzanite imekata au km ipo fungeni uyu mtoto mdomo ndio atajua biblia ilimaanisha nini? Kusema tuishi na hao viumbe kwa akili maana ni wajanja km nyoka!!! Nature na vurugu zake za temeke walimkalisha chini sasa wew jidai msomi na darasani ulikua unaingia na pen tu ata scientific calculator ujui kuiwasha ukipokonywa tonge km wenzako ndio utajua habar ya hawa viumbe na upuuzi unao post.
Kweli mkuu sikupingi, ukiwa nademu mwenye akili kubwa unahisi raha kila maraMwanamke mvuto unaisha Hilo la kwanza la pili Mwanamke akiwa na mvuto halafu anadharau hisia za ngono zinaisha kabisaaa yaani,a matter of time tu.
Napenda sana mwanamke mwenye akili ya mambo zinanihamasisha hata kumtamani kimapenzi.Tufanye hivi mambo yanaenda,unamuelekeza kitu anafanya kwa ustadi, hapo nyumbani mambo yanakaa sawa hata ukisafiri mwezi mzima unakuta pesa imetumiwa vizuri,watoto wamenawiri.Sio umeacha laki 5 kwa mkeo awape mafundi wakija,mafundi wamechelewa kidogo tu kesha punguza kaenda kufanya mambo yake hapo umesisitiza balaa.Sasa unajiuliza huyu hajui umuhimu wa hii pesa???mbona nishaongea nae,ukiuliza umenuniwa,Khaaaa.
Kua na mke mpk kuna mda ukimuwaza unasikia raha tu kuna watu wanafaidi jamani uzuri sawa ni muhimu kwa kiasi chake lakini Mwanamke mwerevu Ni baraka kwenye familia.
Mwanamke mvuto unaisha Hilo la kwanza la pili Mwanamke akiwa na mvuto halafu anadharau hisia za ngono zinaisha kabisaaa yaani,a matter of time tu.
Napenda sana mwanamke mwenye akili ya mambo zinanihamasisha hata kumtamani kimapenzi.Tufanye hivi mambo yanaenda,unamuelekeza kitu anafanya kwa ustadi, hapo nyumbani mambo yanakaa sawa hata ukisafiri mwezi mzima unakuta pesa imetumiwa vizuri,watoto wamenawiri.Sio umeacha laki 5 kwa mkeo awape mafundi wakija,mafundi wamechelewa kidogo tu kesha punguza kaenda kufanya mambo yake hapo umesisitiza balaa.Sasa unajiuliza huyu hajui umuhimu wa hii pesa???mbona nishaongea nae,ukiuliza umenuniwa,Khaaaa.
Kua na mke mpk kuna mda ukimuwaza unasikia raha tu kuna watu wanafaidi jamani uzuri sawa ni muhimu kwa kiasi chake lakini Mwanamke mwerevu Ni baraka kwenye familia.
Kabisa.Mwanamke mvuto unaisha Hilo la kwanza la pili Mwanamke akiwa na mvuto halafu anadharau hisia za ngono zinaisha kabisaaa yaani,a matter of time tu.
Napenda sana mwanamke mwenye akili ya mambo zinanihamasisha hata kumtamani kimapenzi.Tufanye hivi mambo yanaenda,unamuelekeza kitu anafanya kwa ustadi, hapo nyumbani mambo yanakaa sawa hata ukisafiri mwezi mzima unakuta pesa imetumiwa vizuri,watoto wamenawiri.Sio umeacha laki 5 kwa mkeo awape mafundi wakija,mafundi wamechelewa kidogo tu kesha punguza kaenda kufanya mambo yake hapo umesisitiza balaa.Sasa unajiuliza huyu hajui umuhimu wa hii pesa???mbona nishaongea nae,ukiuliza umenuniwa,Khaaaa.
Kua na mke mpk kuna mda ukimuwaza unasikia raha tu kuna watu wanafaidi jamani uzuri sawa ni muhimu kwa kiasi chake lakini Mwanamke mwerevu Ni baraka kwenye familia.
HahahaKijamaa hakipo sawa..sijui ni mchagga wa wapi yule
Mkuu siamini ulichoandika hahahah hahahahahMlio karibu, hebu mmegeeni kdg ,hahahaha
Hahaha, Mkuu soma comments za wadau, wanalalamika tu, hawachukui maamuzi magumu, sie soldiers huwa tunapenda action sio kulalama tuMkuu siamini ulichoandika hahahah hahahahah