UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Mbona imebadilika na sasa imekubali chanjo na kuzileta? sasa hapo kinashindikana nini kingine?Serikali iliyokuwa inapinga chanjo awamu ya tano ina moral authority gani ya kuweza kutoa elimu juu ya chanjo leo hii?Yaani serikali ileile iliyokuwa inashirikiana na Magufuli katika awamu ya tano katika kupinga chanjo leo hii ibadilike kutoa elimu juu ya chanjo? WTF!