Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #61
Usinipangie cha kuandikaMbona huwaonei huruma wagogo!! Kabila lako? Kuna mkoa una Hali duni kama Dodoma vijijini!??? Wewe unaujua ukweli so bure Kuna tatizo broooo
Kumbe unaropokaropoka tu hata mishahara yao huijui! Ndiyo maana umeambiwa wagogo ni wachafu.Mwalimu yupi analipwa pesa hiyo mtaje Kwa jina na TGTS
ChiefSisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Ivi kweli eee [emoji23][emoji23][emoji23]hatimae waalimu wamepata msemaji wao
Sina Shaka juu ya Hilo hakika unawapenda na kuwatakia neemaAsante sana ETUGRUL BEY japo walimu wanaona nawapa makavu ila nawapenda sana
Walimu hiyo siyo Mishahara, ni kifuta Jasho tu,naunga hoja ya kuwatetea ila nao wana mambo ya kidwanzi sanaMbovu sana yani nawaonea huruma, wanalipwa mshahara duni
Ni wajingaWalimu hiyo siyo Mishahara, ni kifuta Jasho tu,naunga hoja ya kuwatetea ila nao wana mambo ya kidwanzi sana
2M-3M wa secondary, primary au vyuo vya kati na vyuo vikuu?Katika kada 10 zinazolipwa vizuri na serikali kuu walimu wamo.
Mishahara yao si haba kabisa. Walimu wengi tu wanalipwa kati ya 2M na 3m kwa mwezi. Hiyo hela ni ndogo?
Acheni kudharau walimu
Ukiona mwalimu ana maisha ya hovyo, huyo ana shida ya money management,, hata umlipe milioni 500 kwa mwezi, shida iko pale pale😄,Ule mshahara haumtoshi mwalimu kwa kula vizuri ili afundishe kwa moyo. Watoto watafaulu kwa kufundishwa na mwalimu mwenye njaa? Wizara mjitahidi kuhusu marupurupu ya waalimu.
Hakuna Mwl wa secondary anafika 3m nakataa..... labda cheo Cha Afisa elimu2M-3M wa secondary, primary au vyuo vya kati na vyuo vikuu?
Mleta mada anawazungumzia wa primary na secondary, ambao ili afikishe walau 1.8M anakuwa yuko kazini muda mrefu sana,sana,sana.
Si kweli.Haujui ualimu.ila mpwayungu ni Mwalimu au alishawahi kuwa ......anaujua ualimu ndani nje