Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #141
Asante๐๐ข๐ค๐ฎ ๐ฎ๐ค๐ข๐๐ฆ๐ค๐ ๐ฏ๐ข๐ฑ๐ฎ๐ซ๐ข ๐๐ ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐ง๐ข 140 ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐๐ญ๐๐ง๐ฒ๐๐ก๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ง๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ ๐ฎ๐ง๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐ฎ๐.
๐ฐ๐๐ฅ๐ฅ ๐ฌ๐๐ข๐Walimu wanalipwa vizuri shida ni mentality zao
๐ก๐ข๐๐ก๐จ ๐ง๐ข ๐๐๐ ๐ข๐ฅ๐ ๐ข๐ฅ๐Walimu wajitoe CWT. Waanzie hapo kwanza. Hakuna chama pale Kuna genge la wahuni.
Hhhahaha tuwasameheSasa mwalimu mwenyewe APEWE kusimamia uchaguzi mkuu.utaona anavyoshiriki kupindisha mstari.
Waanze wenyewe nasi tutafuata nyuma
Niko poa alihamdulillahNzuri kabisa,upo poa dear?
Kweli kabisa mzee. Nashukuru kwa kuliona hili na kutusemea. Nina imani CHAWA wa mama wanapita humu kila siku na bila shaka watalibeba na kumpelekea. Walimu wanatia huruma sana ktk nchi hii ya kusadikika.Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Walimu wanakufa huku jamaniKweli kabisa mzee. Nashukuru kwa kuliona hili na kutusemea. Nina imani CHAWA wa mama wanapita humu kila siku na bila shaka watalibeba na kumpelekea. Walimu wanatia huruma sana ktk nchi hii ya kusadikika.
Hapana jamani wanatia huruma jamaniIla ujue hii kazi hakuna aliyeshikiwa fimboo aisee Kwa hiyo wameamua kujitolea waache wamejipanga kufa njaa utake usitake kwani hawajaona tokea primary hadi secondary wanavyoteseka halafu mtu akaenda kuchukua bachelour in education basi waache
Hizi threads za Walimu zimeshachosha hapa jf....Agrrrrr!Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Ni upuuzi yaani..Hizi threads za Walimu zimeshachosha hapa jf....Agrrrrr!
Tutakomaa na nyinyi mpaka mkomeHizi threads za Walimu zimeshachosha hapa jf....Agrrrrr!
Sio kweliNjaa gani aisee?
Kwani hawalipwi mishahara. Tuacheni sana kuwatilia huruma..
Kuna makundi mengine yana shida kuliko wao.. Bora hata wao wana ajira aiseee
SI WAACHE KAZI...Sio kweli
Walimu hawana MATATIZO madogo ya utumishi Kama wengine. Ila Kuna pepo baya limewakuta walimu wameharibika tu kisaikolojia.
=====
Baada ya Idara ya:
- Afya
- Engineering
- Sheria (Law school)
Anayefuata kwa Mshahara mkubwa hapo ni Mwalimu. Walimu wa Sayansi Sasa hivi mishahara yao Ina upendeleo Maalum, wanaanzia ngazi ya tatu juu ya walimu wengine.
Wakati watumishi wengine huchukua likizo ya SIKU 28 Mara moja kwa MWAKA, Mwalimu ananufaika na LIKIZO kila wanafunzi wakifunga shule MARA 4 kwa MWAKA.
Mwalimu mwenye MADARAKA Wana POSHO Maalum ya madaraka, wakati hata Ma-Incharge vituo vya Afya na Zahanati WANAJITOLEA tu.
Sasa sijui unapobweka kuhusu Walimu unamaanisha NI?
Walimu daraja la IIIA๐คฃ๐คฃKuna watu wa kuwatetea ila sio walimu....hawa viumbe wana roho mbaya sana.....
Serikali iondoe kwanza walimu vilaza then ndio waboreshe we mazingira hawa walimu wenye elimu za kuunga unga sijui daraja la 111 A wana roho mbaya sana.
HhhahahaWalimu daraja la IIIA[emoji1787][emoji1787]
Wapewe haki zao, kwann waache kazi Kati ni haki yaoSI WAACHE KAZI...
WAMELAZIMISHWA?