Mkuu umepiga ikulu, hakuna kitu zaidi ya uchwawi........hapo wanajizatiti kuendelea kukalia nchi kishirikina, bila Mungu Mwenyezi kuingilia kati bongolala haitakuja kuendelea kamwe.Kwanza uelewe kwamba CHEIF ni neno la kizungu.
Pili MACHIFU ni viongozi wa kiafrika waliowekwa na wazungu kwa ajili ya kazi za kikoloni.
Afrika haijawahi kuwa na CHEIF. Hii CHIEF ni invention ya mkoloni.
Hawa wa sasa hivi wanaoitwa MACHIFU ni wachawi wa samia.
Hakuna kitu kama CHEIF. Haya ni machawi tu yaliyotafuta chaka zuri la kujifichia.
Asili yenu inatawaza wanawake kuongoza kabila? Haipo Afrika hiyo. Wanawake kuongoza ni desturi za wazungu acha kujisahaulisha makusudi.Ukiongelea uchifu unaongelea asili yetu..tamadunj..mila na miiko bila kusahau imani..wewe mlokole na mfia dini ambaye uliondolewa akili na utu wako kisa dini za wazungu na waarabu..ili wakutawale kuanzia akili na mali..unaona upuuzi kuenzi mila zako.
Bure kabisa..wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Taifa limekabidhiwa rasmi kuzimu.Kama wameweka tegemeo lao kwa uganga, uchawi, ulozi, mizimu, matunguli na mauchafu kama hayo.........usitegemee jambo la kinyume chake. Kukimbiza tu moto unaoitwa mwenge ni ibada kamili ya kishetani, itakuwa kwenda kuzindikwa mauchawi na hao wanaoitwa machifu...........
Acha kumkufuru Mungu. Karne ipi unaisema ilikuwa na hawa machifu wa kitapeli? Watu waliohusika kuchora dili za kuuza wenzao kwenye utumwa ni wanyama. Tusijiingize kwenye propaganda za kijinga.Afrika imekuwa na utaratibu huu wa utawala tangu enzi na enzi. Hizi tawala zilizoletwa na wakoloni hapa Afrika zina miongo michache tu iliyopita. Tusizidharau hizi taratibu zetu za jadi, kwa sababu ya taratibu za kigeni.
Milango ya kuzimu imefunguliwa rasmi kutuletea majanga ya kila namna. TUKEMEE HUU UHUNI TUNAOLAZIMISHIWA BILA RIDHAA YETU.Kwanza uelewe kwamba CHEIF ni neno la kizungu.
Pili MACHIFU ni viongozi wa kiafrika waliowekwa na wazungu kwa ajili ya kazi za kikoloni.
Afrika haijawahi kuwa na CHEIF. Hii CHIEF ni invention ya mkoloni.
Hawa wa sasa hivi wanaoitwa MACHIFU ni wachawi wa samia.
Hakuna kitu kama CHEIF. Haya ni machawi tu yaliyotafuta chaka zuri la kujifichia.
Si unaona Sasa mlipoambiwa nendeni shule mkasome mkaona Mnaambiwa ujinga madhara yake ndio hayo Sasa.Tangu lini bootlicker ikawa Ni matusi?Jamaa yangu huwa unajikuta bingwa wa matusi sana mimi nilishapita hiyo stage hakuna tusi jipya kwangu, kama kukutukana naweza kukutukana tusi jipya kwako ambalo litakuletea sonona ila let me ignore you for good reason.
Naunga mkonoTanzania ya Mwl Nyerere ilijengwa katika misingi ya umoja na ndio sababu kubwa ya kufuta uchifu.
Leo taifa letu lina zaidi ya miaka 60 tangu tupate uhuru anatokea mwanasiasa mmoja anaenzi uchifu.
Mataifa kama Uganda na Nigeria ambayo yaliendelea na uchifu yalijikuta yakipata matatizo makubwa ya ukabila kwasababu yalishindwa kumaliza tawala za kichifu.
Mungu saidia taifa letu liepukane na hili tatizo la ukabila ambalo wanasiasa wanataka kulizalisha,kulipalilia na kulikuza.
Wasalamu Ngongo kwasasa Uru Kushumundu.
Kwani kwasbb ni utaratibu wa tangu enzi km unavyosema ndo unaondoa ukweli kuwa ni ,uchawi,ushirikina,mizimu?Afrika imekuwa na utaratibu huu wa utawala tangu enzi na enzi. Hizi tawala zilizoletwa na wakoloni hapa Afrika zina miongo michache tu iliyopita. Tusizidharau hizi taratibu zetu za jadi, kwa sababu ya taratibu za kigeni.
Ukweli mtupuHana cha kupoteza,kwao Zanzibar hali ni shwari
Nao ni yaleyale mambo ya gizaniMwenge je?
Kabisa,huku ni kuinajisi nchi kabisa!Hakuna chifu hapo.
Machawi hayo yamejificha kwenye kichaka cha uchifu.
Aisee yaani wanatupa kazi hawa ya kuomba toba kila siku ,mambo gani haya jmnOna machawi yalivyojipanga...View attachment 2092075
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama hayo waliyomvika hapo.
Halafu pia kwanini mnachuna ngozi chui wetu?
Tusiache kuomba tu hawa watu sio kabisaTaifa limekabidhiwa rasmi kuzimu.
Kwani Zanzibar ni ya kwenu nyie machogo? Mlivukaje bahari mpaka kule? Au Waarabu ndiyo waliwaleta Zanzibar na majahazi yao?Zanzibar sio kwa mjaa laana huyo. Kibibi cha kiarabu kwao Oman huko kwa washenzi wenzie..
MaCCM na kauli mbio liwalo na liwe CCM lazima ikubalike na itawale Milele.
Zanzibar imevamiwa na majeshi yenu. Hakuna hali shwari mpaka myaondoe majeshi yenu ya vamizi.Hana cha kupoteza,kwao Zanzibar hali ni shwari
Mnasema ukweli leo kwamba nchi ni mali ya mchongameno kabla hajafa akawarithisha wanae wa CCM akina Mkapa. Ndiyo ukweli nchi siyo ya wananchi ni ya wachache.Tanzania ya Mwl Nyerere ilijengwa katika misingi ya umoja na ndio sababu kubwa ya kufuta uchifu.
Leo taifa letu lina zaidi ya miaka 60 tangu tupate uhuru anatokea mwanasiasa mmoja anaenzi uchifu.
Mataifa kama Uganda na Nigeria ambayo yaliendelea na uchifu yalijikuta yakipata matatizo makubwa ya ukabila kwasababu yalishindwa kumaliza tawala za kichifu.
Mungu saidia taifa letu liepukane na hili tatizo la ukabila ambalo wanasiasa wanataka kulizalisha,kulipalilia na kulikuza.
Wasalamu Ngongo kwasasa Uru Kushumundu.