Tuwaepuke wanasiasa wanataka kutuletea ukabila kupitia uChifu

Mkuu umepiga ikulu, hakuna kitu zaidi ya uchwawi........hapo wanajizatiti kuendelea kukalia nchi kishirikina, bila Mungu Mwenyezi kuingilia kati bongolala haitakuja kuendelea kamwe.
 
Asili yenu inatawaza wanawake kuongoza kabila? Haipo Afrika hiyo. Wanawake kuongoza ni desturi za wazungu acha kujisahaulisha makusudi.

Unawatukana wazungu at the same time unakumbatia taratibu zao; jinga.
 
Taifa limekabidhiwa rasmi kuzimu.
 
Afrika imekuwa na utaratibu huu wa utawala tangu enzi na enzi. Hizi tawala zilizoletwa na wakoloni hapa Afrika zina miongo michache tu iliyopita. Tusizidharau hizi taratibu zetu za jadi, kwa sababu ya taratibu za kigeni.
Acha kumkufuru Mungu. Karne ipi unaisema ilikuwa na hawa machifu wa kitapeli? Watu waliohusika kuchora dili za kuuza wenzao kwenye utumwa ni wanyama. Tusijiingize kwenye propaganda za kijinga.
 
Milango ya kuzimu imefunguliwa rasmi kutuletea majanga ya kila namna. TUKEMEE HUU UHUNI TUNAOLAZIMISHIWA BILA RIDHAA YETU.
 
Jamaa yangu huwa unajikuta bingwa wa matusi sana mimi nilishapita hiyo stage hakuna tusi jipya kwangu, kama kukutukana naweza kukutukana tusi jipya kwako ambalo litakuletea sonona ila let me ignore you for good reason.
Si unaona Sasa mlipoambiwa nendeni shule mkasome mkaona Mnaambiwa ujinga madhara yake ndio hayo Sasa.Tangu lini bootlicker ikawa Ni matusi?
 
Naunga mkono
 
Afrika imekuwa na utaratibu huu wa utawala tangu enzi na enzi. Hizi tawala zilizoletwa na wakoloni hapa Afrika zina miongo michache tu iliyopita. Tusizidharau hizi taratibu zetu za jadi, kwa sababu ya taratibu za kigeni.
Kwani kwasbb ni utaratibu wa tangu enzi km unavyosema ndo unaondoa ukweli kuwa ni ,uchawi,ushirikina,mizimu?
Hii haiondoi ukweli huu,haijalishi uliwekwa na kufuatwa na nani!
Haufai kenye nchi,tunamhitaji Mungu muumba wa mbingu na nchi sio machifu
 
Mobutu desseko kuku ngwendo wazabanga mafaz Yale ndio yalikuwa mapigo yake unasmbiwa Yule babu mchawi acha kbsa
 
Zanzibar sio kwa mjaa laana huyo. Kibibi cha kiarabu kwao Oman huko kwa washenzi wenzie..
MaCCM na kauli mbio liwalo na liwe CCM lazima ikubalike na itawale Milele.
Kwani Zanzibar ni ya kwenu nyie machogo? Mlivukaje bahari mpaka kule? Au Waarabu ndiyo waliwaleta Zanzibar na majahazi yao?
 
Mnasema ukweli leo kwamba nchi ni mali ya mchongameno kabla hajafa akawarithisha wanae wa CCM akina Mkapa. Ndiyo ukweli nchi siyo ya wananchi ni ya wachache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…